Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Umeanza ubishi wako.Kwani ndio leo ameanza kutokuvaa barakoa?
kushauri kuvaa barakoa ni ujuaji?
🤔🤔🤔Joe Biden kachanjwa lakini muda wote kavaa barakoa.
... that's the meaning of leadership! Unavaa barakoa sio kwa ajili yako zaidi ni kwa ajili ya kuwakinga wengine!
Ameanza kutokuvaa akiwa RAISKwani ndio leo ameanza kutokuvaa barakoa?
... hatari sana Mkuu. Ila Mama Janet ameonekana akishuka kwenye ndege Dodoma jioni hii akiwa ndani ya barakoa hongera kwake ameokoa makumi ya watu. Pia hongera kwa viongozi wa kanisa pale uwanjani (Uhuru) jana kwa kutuma ujumbe mzito kwa jamii kwa zile barakoa ambazo kila mmoja alivaa.Kama watu walivyo jazana pale uhuru lazima kutatokea mlipuko wa hatari
haha yaani ni moja ya foolish statement umeandika hapa. sidhani hata kama ana maana hiyo. simply ugonjwa wowote ukiuchukulia powa lazima ukudhuru.. sio lazima ukuondoe.Kwa kauli za huyu jamaa maana yake usipotambua covid lazima ikuue hii project kwa Tanzania nadhani wakubali imefeli waanzishe project nyingine
tatizo mmeichukulia barakoa kama chama pinzani. mmeshazika wengi mpaka kinara wa kupinga barakoa, ajabu bado mmekaza shingo
Mbona sijabisha jamaniUmeanza ubishi wako.
Mama D wacha ubishi.Evarist Chahali Kama hofu yako ni maambuki ya COVID 19 fanya kitu chochote kilicho ndani ya uwezo wako kutoa suluhu kwa hao watanzania unaowaongelea hapa akiewemo rais wetu. Kumbuka hakuna rais wa nchi bila wananchi
Na nikukumbushe makusanyiko ya watu bila barakoa wala sanitzer yapo nchi nzima. Hata ukimuuliza Tundu atakuambia alikua anaingia hadi kariakoo bila barakoa....
Labda sababu wewe na ukoo wako mnaishi ughaibuni ndio maana hujui..... ila kama una ndugu huku waulize vile wanaishi watakusaidi labda ili uweze kulisaidia taifa lako
Kama nia yako ni COVID 19 acha kulalamika fanya kitu chochote kilicho ndani ya uwezo wako kutoa suluhu kwa hao watanzania unaowaongelea hapa
Na kwa msaada zaidi nikukumbushe makusanyiko ya watu bila barakoa wala sanitzer yapo nchi nzima.
Labda sababu wewe na ukoo wako mnaishi ughaibuni ndio maana hujui..... ila kama una ndugu huku waulize vile wanaishi watakusaidi labda ili uweze kulisaidia taifa lako
Hii ni Kawe leo
Hii ni Mwenge leo
Kariakoo 5 months ago
Hii ndio hali halisi
Chahali kule twitter umeblock hata tunaotembelea tu kukusoma, tatizo nini? - Ondoa tofali kwanza kisha mambo mengine yaendelee
Tarehe 19.05.2020 wakati Tanzania ikikabiliwa na wimbi la kwanza la janga la korona, nilichapisha uchambuzi wa kiintelijensia kuhusu mustakabali wa urais wa Magufuli kwa jinsi "alivyozembea" kushuguhulikia janga hilo. Na katika kuhitimisha uchambuzi huo wa kurasa 23 nilibashiri kuwa janga hilo lingegharimu urais na uhai wake. You know the rest of the story. Kanuni za JF zinakataza kuweka links, otherwise I would have shared (it's a free ebook anyway).
But I'm not here to take credits bali kutanabaisha kuwa I am disappointed kuona Mama Samia akiendeleza "ubishi" wa mtangulizi wake katika handling ya janga hilo. I know mie si mtu sahihi kumshauri Rais wetu lakini yeye na takriban kila Mtanzania anafahamu vizuri the price late Magufuli paid kwa negligence kwenye kushughulikia janga hilo. As much as nisingependa kuwa "prophet of doom," Mama Samia anapaswa kuchukua hatua sasa, vingenevyo...
Pongezi nyingi kwa Rais Mstaafu Jakaya Kikwete kwa "kuonyesha uongozi licha ya kuwa mstaafu."
View attachment 1731079
Na pongezi pia kwa mama Janeth Magufuli ambaye leo amewasili Dodoma akiwa na barakoa.
View attachment 1731080
Mama Samia anapaswa kuelewa kuwa licha ya dunia kumwangalia kwa makini endapo atachukua hatua stahili kuinusu Tanzania dhidi ya janga hilo, lakini pia anaangaliwa na mamilioni ya Watanzania kuwapa leadership katika kuikabili Korona.
Kuna watakaosema ni mapema mno "kulaumu," lakini when it comes to COVID, timing is everything.
I'm not expecting much from her, kwa sababu tatizo zaidi ni CCM na sio mtu gani anaongoza nchi, lakini hili la barakoa lipo ndani ya uwezo wake.
I stand to be corrected.
Lisu wakati wa kampeni alikua anavaa barakoa?au ni unafiki tu unawasumbuakushauri kuvaa barakoa ni ujuaji?
Ulikua unamuona kila siku amevaa? Mimi nilikua namuona bilaAmeanza kutokuvaa akiwa RAIS
Ptuuu.Mmeanza wachambuzi uchwara, chuki zenu kwa jpm, won't help anything. Better shut up and go to sleep.
Ngoja mumzike na huyo mpya ndio akili zitawakaa sawa, tuwe taifa la maombolezo mwaka mzima.Msituchoshe,Mmeshaanza ujuaji wenu tena
Group linalomzunguka ndio linampumbaza namshauri alitimue lote... Akae sana na Kikwete atamsaidia Kikwete hajawahi Shindwa vita yeyote even Marehemu alimtafuta sana akaambiwa utaondoka wewe Jk Mtoto wa Mjini
Mtoto wa mjini jk naona anaanza kupasha jinsi gani atachukua usukani wa nchi kwa mlango wa uwani. Mama akizembea nchi inarudi kulekule.Group linalomzunguka ndio linampumbaza namshauri alitimue lote... Akae sana na Kikwete atamsaidia Kikwete hajawahi Shindwa vita yeyote even Marehemu alimtafuta sana akaambiwa utaondoka wewe Jk Mtoto wa Mjini