Mama Samia ameanza vibaya kwa kupuuza kuvaa Barakoa

Mama Samia ameanza vibaya kwa kupuuza kuvaa Barakoa

Mama anaxheza na coronavirus shauri yake na hii nyomi bila tahadhari tujiandae na janga lingine. Watu wanaangamia kwa kukosa maarifa
 
Joe Biden kachanjwa lakini muda wote kavaa barakoa.
🤔🤔🤔
... that's the meaning of leadership! Unavaa barakoa sio kwa ajili yako zaidi ni kwa ajili ya kuwakinga wengine!

dudus Kwa hiyo Joe Biden kachanjwa lakini bado anawakinga wenzie wasipate corona kwa kuvaa barakoa yake😐😐
Kwa maana hiyohiyo ni kwamba Chanjo haifanyi kazi na Biden ana corona kwa hiyo anavaa barakoa asiwaambukize wengine🙄🙄🙄🙄🙄🙄
 
Kama watu walivyo jazana pale uhuru lazima kutatokea mlipuko wa hatari
... hatari sana Mkuu. Ila Mama Janet ameonekana akishuka kwenye ndege Dodoma jioni hii akiwa ndani ya barakoa hongera kwake ameokoa makumi ya watu. Pia hongera kwa viongozi wa kanisa pale uwanjani (Uhuru) jana kwa kutuma ujumbe mzito kwa jamii kwa zile barakoa ambazo kila mmoja alivaa.
 
Chahali kule twitter umeblock hata tunaotembelea tu kukusoma, tatizo nini? - Ondoa tofali kwanza kisha mambo mengine yaendelee
 
  • Kicheko
Reactions: BAK
Na mtaendelea kumuona kaanza vibaya pale majina ya watarajiwa wenu kwa nafasi ya umakamu yaliyo kwenye kale kabeg ka walozi kuacha kutajwa kuziba nafasi.

Walalahoi na maskini leo wametoa demo kuwa wanaweza kuvunja uzio wakiamua. Mwaletee wateule mafisadi muone kama uzio wa kasiri la mfalme hauta vunjwa.
 
Kwa kauli za huyu jamaa maana yake usipotambua covid lazima ikuue hii project kwa Tanzania nadhani wakubali imefeli waanzishe project nyingine
haha yaani ni moja ya foolish statement umeandika hapa. sidhani hata kama ana maana hiyo. simply ugonjwa wowote ukiuchukulia powa lazima ukudhuru.. sio lazima ukuondoe.
 
Vifo vya kutisha kwa idadi kubwa vinakuja Mkuu. Mwezi ujao kutakuwa na vilio vya kusaga meno. Upumbavu wa baadhi ya Watanzania ndiyo chanzo cha maambukizi na vifo vya kutisha nchini.
tatizo mmeichukulia barakoa kama chama pinzani. mmeshazika wengi mpaka kinara wa kupinga barakoa, ajabu bado mmekaza shingo
 
Evarist Chahali Kama hofu yako ni maambuki ya COVID 19 fanya kitu chochote kilicho ndani ya uwezo wako kutoa suluhu kwa hao watanzania unaowaongelea hapa akiewemo rais wetu. Kumbuka hakuna rais wa nchi bila wananchi

Na nikukumbushe makusanyiko ya watu bila barakoa wala sanitzer yapo nchi nzima. Hata ukimuuliza Tundu atakuambia alikua anaingia hadi kariakoo bila barakoa....

Labda sababu wewe na ukoo wako mnaishi ughaibuni ndio maana hujui..... ila kama una ndugu huku waulize vile wanaishi watakusaidi labda ili uweze kulisaidia taifa lako

Kama nia yako ni COVID 19 acha kulalamika fanya kitu chochote kilicho ndani ya uwezo wako kutoa suluhu kwa hao watanzania unaowaongelea hapa


Na kwa msaada zaidi nikukumbushe makusanyiko ya watu bila barakoa wala sanitzer yapo nchi nzima.

Labda sababu wewe na ukoo wako mnaishi ughaibuni ndio maana hujui..... ila kama una ndugu huku waulize vile wanaishi watakusaidi labda ili uweze kulisaidia taifa lako


Hii ni Kawe leo




Hii ni Mwenge leo




Kariakoo 5 months ago







Hii ndio hali halisi
Mama D wacha ubishi.

Corona ipo na inaua, this negligence ya watu kwa kiasi kikubwa imechangiwa na Magufuli ambaye leo hayupo, hebu jiulize akitokea mtu mmoja au wawili mwenye maambukizi kwenye hiyo mikusanyiko watakufa wangapi?

Watu waambiwe kweli wavae barakoa atleast kujilinda, kutovaa barakoa eti kwasababu watu hawaambukizani kwenye mikusanyiko( japo sina hakika na hili) kuna siku tutalia na kusaga meno, na hapo ndio tutaanza kuzika kila nyumba kila siku, tusifike huko, tuchukue hatua za kujilinda sasa.
 
  • Nzuri
Reactions: BAK
Tarehe 19.05.2020 wakati Tanzania ikikabiliwa na wimbi la kwanza la janga la korona, nilichapisha uchambuzi wa kiintelijensia kuhusu mustakabali wa urais wa Magufuli kwa jinsi "alivyozembea" kushuguhulikia janga hilo. Na katika kuhitimisha uchambuzi huo wa kurasa 23 nilibashiri kuwa janga hilo lingegharimu urais na uhai wake. You know the rest of the story. Kanuni za JF zinakataza kuweka links, otherwise I would have shared (it's a free ebook anyway).

But I'm not here to take credits bali kutanabaisha kuwa I am disappointed kuona Mama Samia akiendeleza "ubishi" wa mtangulizi wake katika handling ya janga hilo. I know mie si mtu sahihi kumshauri Rais wetu lakini yeye na takriban kila Mtanzania anafahamu vizuri the price late Magufuli paid kwa negligence kwenye kushughulikia janga hilo. As much as nisingependa kuwa "prophet of doom," Mama Samia anapaswa kuchukua hatua sasa, vingenevyo...

Pongezi nyingi kwa Rais Mstaafu Jakaya Kikwete kwa "kuonyesha uongozi licha ya kuwa mstaafu."
View attachment 1731079
Na pongezi pia kwa mama Janeth Magufuli ambaye leo amewasili Dodoma akiwa na barakoa.
View attachment 1731080
Mama Samia anapaswa kuelewa kuwa licha ya dunia kumwangalia kwa makini endapo atachukua hatua stahili kuinusu Tanzania dhidi ya janga hilo, lakini pia anaangaliwa na mamilioni ya Watanzania kuwapa leadership katika kuikabili Korona.



Kuna watakaosema ni mapema mno "kulaumu," lakini when it comes to COVID, timing is everything.

I'm not expecting much from her, kwa sababu tatizo zaidi ni CCM na sio mtu gani anaongoza nchi, lakini hili la barakoa lipo ndani ya uwezo wake.

I stand to be corrected.

Kama anasema hakuna acceleration due to gravity, mwache apande juu ya mti ajiachie, majibu atayapata
 
Group linalomzunguka ndio linampumbaza namshauri alitimue lote... Akae sana na Kikwete atamsaidia Kikwete hajawahi Shindwa vita yeyote even Marehemu alimtafuta sana akaambiwa utaondoka wewe Jk Mtoto wa Mjini
Group linalomzunguka ndio linampumbaza namshauri alitimue lote... Akae sana na Kikwete atamsaidia Kikwete hajawahi Shindwa vita yeyote even Marehemu alimtafuta sana akaambiwa utaondoka wewe Jk Mtoto wa Mjini
Mtoto wa mjini jk naona anaanza kupasha jinsi gani atachukua usukani wa nchi kwa mlango wa uwani. Mama akizembea nchi inarudi kulekule.
 
Back
Top Bottom