Pre GE2025 Mama Samia amegundua kosa kubwa chaguzi za 2024

Pre GE2025 Mama Samia amegundua kosa kubwa chaguzi za 2024

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Sasa CCM iko kwenye wakati mgumu zaidi kuliko uchaguzi wa serikali za mitaa ungekuwa wa huru na haki na hawana cha kujivunia watu hawapedwi.
Tetesi zasema iko restoration factory soon itarejea
downloadfile.jpg
 
Uchaguzi wa 2024 wa serikali za mitaa ungekuwa wa huru na haki leo hii swahiba wa Mama Samia Mbowe angekuwa Mwenyekiti wa Chadema na kusingekuwepo leo No reform no election ambayo ni agenda kubwa ya nchi kwa sasa.

Kitendo cha Mama Samia kuanza kumkasirikia mkwe wake Mchengerwa tena baada ya msiba wa baba yake ni maelezo tosha kwamba Mama kagundua Mchengerwa alikuwa hajafikiria mbali au kusaidia kwenye akili za kisiasa. Sasa CCM iko kwenye wakati mgumu zaidi kuliko uchaguzi wa serikali za mitaa ungekuwa wa huru na haki na hawana cha kujivunia watu hawapedwi.

Pili kitendo cha wananchi kuzira kujiandikisha kwenye daftari la wapiga kura tena Tanga kimewatisha makada na Mama pamoja na uchawa mwingi huko Tanga wakati wa ziara

Kitendo cha mnafiki wa taifa mzee kikwete kuanza kuweka ukaribu na Lissu ni kwasababu anataka aweke mazingira watu wakianza kuchukia serikali wamkumbuke yeye kama mtu wa haki. Na Kikwete anajali sana kupedwa na ameshaona mchezo ulivyo.
Kitu kingine kimewashutua serikali ni watu wameanza kushutukia rushwa na sera mbaya kama ya juzi ya umeme wa kununuliwa! Kutoka Ethiopia .

kikubwa ambacho wanaogopa ni mwenendo wa sasa wa kuzidiwa hoja na Lissu kuweka urafiki na vijana wa habari kwa kumuhoji na kwenda nyumbani kwake mara kwa mara. Yaani wamemzoea kuliko makada wa CCM kwa muda mfupi sana

kitendo na sera ya kutafuta pesa bila kutegemea ruzuku nayo ni kitu kipya ambacho kitaimarisha Chadema

Lakini ambacho hakifichiki ni wanawake wa Chadema kumfunika Mama kwenye sherehe za wanawake juzi

Mama weka uchama pembeni vaa nchi na weka mazingira ya haki , tume huru na demokrasia bila hivyo huyo mkwe wako unampa nuksi kubwa sana na utapata shida


Mbona "No reforms, no election" ilianzishwa wakati Mbowe ni mwenyekiti wa CHADEMA?
 
Uchaguzi wa 2024 wa serikali za mitaa ungekuwa wa huru na haki leo hii swahiba wa Mama Samia Mbowe angekuwa Mwenyekiti wa Chadema na kusingekuwepo leo No reform no election ambayo ni agenda kubwa ya nchi kwa sasa.

Kitendo cha Mama Samia kuanza kumkasirikia mkwe wake Mchengerwa tena baada ya msiba wa baba yake ni maelezo tosha kwamba Mama kagundua Mchengerwa alikuwa hajafikiria mbali au kusaidia kwenye akili za kisiasa. Sasa CCM iko kwenye wakati mgumu zaidi kuliko uchaguzi wa serikali za mitaa ungekuwa wa huru na haki na hawana cha kujivunia watu hawapedwi.

Pili kitendo cha wananchi kuzira kujiandikisha kwenye daftari la wapiga kura tena Tanga kimewatisha makada na Mama pamoja na uchawa mwingi huko Tanga wakati wa ziara

Kitendo cha mnafiki wa taifa mzee kikwete kuanza kuweka ukaribu na Lissu ni kwasababu anataka aweke mazingira watu wakianza kuchukia serikali wamkumbuke yeye kama mtu wa haki. Na Kikwete anajali sana kupedwa na ameshaona mchezo ulivyo.
Kitu kingine kimewashutua serikali ni watu wameanza kushutukia rushwa na sera mbaya kama ya juzi ya umeme wa kununuliwa! Kutoka Ethiopia .

kikubwa ambacho wanaogopa ni mwenendo wa sasa wa kuzidiwa hoja na Lissu kuweka urafiki na vijana wa habari kwa kumuhoji na kwenda nyumbani kwake mara kwa mara. Yaani wamemzoea kuliko makada wa CCM kwa muda mfupi sana

kitendo na sera ya kutafuta pesa bila kutegemea ruzuku nayo ni kitu kipya ambacho kitaimarisha Chadema

Lakini ambacho hakifichiki ni wanawake wa Chadema kumfunika Mama kwenye sherehe za wanawake juzi

Mama weka uchama pembeni vaa nchi na weka mazingira ya haki , tume huru na demokrasia bila hivyo huyo mkwe wako unampa nuksi kubwa sana na utapata shida

Mnaota ndoto za mchana!! Siku mkiamua kuwa siasa ni bora kwenu kuliko mpira ndipo Nchi hii na hao akina Samia wataamka!! Hizi ngonjera zako hazimzuii tembo kunywa maji!!
 
Lini kikwete kawa karibu na lissu au kupiga picha msiban ndio ukaribu?
Ni ujinga kudhani samia na kikwete wanaweza kugombana

Kikwete ndie jiwe kuu la pemben kwa serkali ya samia

Watanzania kwann mnakuwa wajinga?
Angekuwa jiwe kuu, asingekubali team Lowasa/Rostam ilete ingixo la Emanuel Nchimbi, kutolewa barazani kwa kijana wake Makamba Jr.
 
Uchaguzi wa Mwaka huu kama Mechi ya Juzi ya Yanga na Simba..mmoja lazima agomee mechi ili KANUNI na Sheria zifuatwe
 
Lini kikwete kawa karibu na lissu au kupiga picha msiban ndio ukaribu?
Ni ujinga kudhani samia na kikwete wanaweza kugombana

Kikwete ndie jiwe kuu la pemben kwa serkali ya samia

Watanzania kwann mnakuwa wajinga?
Mzee Kikwete hana Rafik wakudumu wala adui wa kudumu kwa kiufupi mzee Kikwete ndo mtu ambae amesoma hana dini yule mzee kasoma seminary vile vile ni Muslims yule mzee muone vile ni masters mind sio mchezo
 
Mzee Kikwete hana Rafik wakudumu wala adui wa kudumu kwa kiufupi mzee Kikwete ndo mtu ambae amesoma hana dini yule mzee kasoma seminary vile vile ni Muslims yule mzee muone vile ni masters mind sio mchezo
Kwani kusoma seminary kunamuondolea uislam wake mbona unakuwa mjinga sasa🤣🤣🤣🤣
 
Wote ni timu moja wewe ndio hujui kitu

Unakuawaje unachopewa mezani sisi wenzake tunapata chakula cha jikoni
Wewe hujui kitu, unaambulia chenga na hadithi za watu wa mtaani, ilikuwaje amkatae Lowasa, Leo aikumbatie tena team hiyo?? JK , Jr Makamba, Nape, Mzee Kinana team yao ipo na ipo kinyume na team Lowasa.

Labda kama amejiunga na hiyo team Leo.

Nakusikitikia, unategemea matango pori badala ya kutumia akili kwa kusoma political trend, toka Mzee wa msoga aliposema " ukitaka mambo yakunyokee washike wazee"

Toka Nape, Kinana, Makamba Jr kutumbuliwa, Bro Think big, understand beyond vissible meaning!!!
 
Wewe hujui kitu, unaambulia chenga na hadithi za watu wa mtaani, ilikuwaje amkatae Lowasa, Leo aikumbatie tena team hiyo?? JK , Jr Makamba, Nape, Mzee Kinana team yao ipo na ipo kinyume na team Lowasa.

Labda kama amejiunga na hiyo team Leo.

Nakusikitikia, unategemea matango pori badala ya kutumia akili kwa kusoma political trend, toka Mzee wa msoga aliposema " ukitaka mambo yakunyokee washike wazee"

Toka Nape, Kinana, Makamba Jr kutumbuliwa, Bro Think big, understand beyond vissible meaning!!!
Rostam nchimbi kikwete na watoto wake ni timu moja we wa kutoka namtumbo huwezi kujua 🤣🤣
 
Back
Top Bottom