NANI KASEMA KUWA WAMEZIRA, MBONA WALIJIANDIKISHAPili kitendo cha wananchi kuzira kujiandikisha kwenye daftari la wapiga kura tena Tanga
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
NANI KASEMA KUWA WAMEZIRA, MBONA WALIJIANDIKISHAPili kitendo cha wananchi kuzira kujiandikisha kwenye daftari la wapiga kura tena Tanga
Tetesi zasema iko restoration factory soon itarejeaSasa CCM iko kwenye wakati mgumu zaidi kuliko uchaguzi wa serikali za mitaa ungekuwa wa huru na haki na hawana cha kujivunia watu hawapedwi.
Miaka 5 ya mwisho atahofia nini zaidi ya kufanya yake with no fear?
Uchaguzi wa 2024 wa serikali za mitaa ungekuwa wa huru na haki leo hii swahiba wa Mama Samia Mbowe angekuwa Mwenyekiti wa Chadema na kusingekuwepo leo No reform no election ambayo ni agenda kubwa ya nchi kwa sasa.
Kitendo cha Mama Samia kuanza kumkasirikia mkwe wake Mchengerwa tena baada ya msiba wa baba yake ni maelezo tosha kwamba Mama kagundua Mchengerwa alikuwa hajafikiria mbali au kusaidia kwenye akili za kisiasa. Sasa CCM iko kwenye wakati mgumu zaidi kuliko uchaguzi wa serikali za mitaa ungekuwa wa huru na haki na hawana cha kujivunia watu hawapedwi.
Pili kitendo cha wananchi kuzira kujiandikisha kwenye daftari la wapiga kura tena Tanga kimewatisha makada na Mama pamoja na uchawa mwingi huko Tanga wakati wa ziara
Kitendo cha mnafiki wa taifa mzee kikwete kuanza kuweka ukaribu na Lissu ni kwasababu anataka aweke mazingira watu wakianza kuchukia serikali wamkumbuke yeye kama mtu wa haki. Na Kikwete anajali sana kupedwa na ameshaona mchezo ulivyo.
Kitu kingine kimewashutua serikali ni watu wameanza kushutukia rushwa na sera mbaya kama ya juzi ya umeme wa kununuliwa! Kutoka Ethiopia .
kikubwa ambacho wanaogopa ni mwenendo wa sasa wa kuzidiwa hoja na Lissu kuweka urafiki na vijana wa habari kwa kumuhoji na kwenda nyumbani kwake mara kwa mara. Yaani wamemzoea kuliko makada wa CCM kwa muda mfupi sana
kitendo na sera ya kutafuta pesa bila kutegemea ruzuku nayo ni kitu kipya ambacho kitaimarisha Chadema
Lakini ambacho hakifichiki ni wanawake wa Chadema kumfunika Mama kwenye sherehe za wanawake juzi
Mama weka uchama pembeni vaa nchi na weka mazingira ya haki , tume huru na demokrasia bila hivyo huyo mkwe wako unampa nuksi kubwa sana na utapata shida
Mnaota ndoto za mchana!! Siku mkiamua kuwa siasa ni bora kwenu kuliko mpira ndipo Nchi hii na hao akina Samia wataamka!! Hizi ngonjera zako hazimzuii tembo kunywa maji!!Uchaguzi wa 2024 wa serikali za mitaa ungekuwa wa huru na haki leo hii swahiba wa Mama Samia Mbowe angekuwa Mwenyekiti wa Chadema na kusingekuwepo leo No reform no election ambayo ni agenda kubwa ya nchi kwa sasa.
Kitendo cha Mama Samia kuanza kumkasirikia mkwe wake Mchengerwa tena baada ya msiba wa baba yake ni maelezo tosha kwamba Mama kagundua Mchengerwa alikuwa hajafikiria mbali au kusaidia kwenye akili za kisiasa. Sasa CCM iko kwenye wakati mgumu zaidi kuliko uchaguzi wa serikali za mitaa ungekuwa wa huru na haki na hawana cha kujivunia watu hawapedwi.
Pili kitendo cha wananchi kuzira kujiandikisha kwenye daftari la wapiga kura tena Tanga kimewatisha makada na Mama pamoja na uchawa mwingi huko Tanga wakati wa ziara
Kitendo cha mnafiki wa taifa mzee kikwete kuanza kuweka ukaribu na Lissu ni kwasababu anataka aweke mazingira watu wakianza kuchukia serikali wamkumbuke yeye kama mtu wa haki. Na Kikwete anajali sana kupedwa na ameshaona mchezo ulivyo.
Kitu kingine kimewashutua serikali ni watu wameanza kushutukia rushwa na sera mbaya kama ya juzi ya umeme wa kununuliwa! Kutoka Ethiopia .
kikubwa ambacho wanaogopa ni mwenendo wa sasa wa kuzidiwa hoja na Lissu kuweka urafiki na vijana wa habari kwa kumuhoji na kwenda nyumbani kwake mara kwa mara. Yaani wamemzoea kuliko makada wa CCM kwa muda mfupi sana
kitendo na sera ya kutafuta pesa bila kutegemea ruzuku nayo ni kitu kipya ambacho kitaimarisha Chadema
Lakini ambacho hakifichiki ni wanawake wa Chadema kumfunika Mama kwenye sherehe za wanawake juzi
Mama weka uchama pembeni vaa nchi na weka mazingira ya haki , tume huru na demokrasia bila hivyo huyo mkwe wako unampa nuksi kubwa sana na utapata shida
👍👊🤝💯"Uchaguzi wa Serikali za mitaa wa mwaka 2024 umemwanika wazi Mchengerwa kuonekana ni mtu shetani asiyelifaa taifa hili kwa chochote".
Angekuwa jiwe kuu, asingekubali team Lowasa/Rostam ilete ingixo la Emanuel Nchimbi, kutolewa barazani kwa kijana wake Makamba Jr.Lini kikwete kawa karibu na lissu au kupiga picha msiban ndio ukaribu?
Ni ujinga kudhani samia na kikwete wanaweza kugombana
Kikwete ndie jiwe kuu la pemben kwa serkali ya samia
Watanzania kwann mnakuwa wajinga?
Na huyu mzanzibari hatoboiHuyu mzanzibar hatufai
Rostam kikwete nchimbi ni timu mojaAngekuwa jiwe kuu, asingekubali team Lowasa/Rostam ilete ingixo la Emanuel Nchimbi, kutolewa barazani kwa kijana wake Makamba Jr.
Mzee Kikwete hana Rafik wakudumu wala adui wa kudumu kwa kiufupi mzee Kikwete ndo mtu ambae amesoma hana dini yule mzee kasoma seminary vile vile ni Muslims yule mzee muone vile ni masters mind sio mchezoLini kikwete kawa karibu na lissu au kupiga picha msiban ndio ukaribu?
Ni ujinga kudhani samia na kikwete wanaweza kugombana
Kikwete ndie jiwe kuu la pemben kwa serkali ya samia
Watanzania kwann mnakuwa wajinga?
Kwani kusoma seminary kunamuondolea uislam wake mbona unakuwa mjinga sasa🤣🤣🤣🤣Mzee Kikwete hana Rafik wakudumu wala adui wa kudumu kwa kiufupi mzee Kikwete ndo mtu ambae amesoma hana dini yule mzee kasoma seminary vile vile ni Muslims yule mzee muone vile ni masters mind sio mchezo
Ni team tofauti, wqngekua Moja asingemtosa Lowasa 2015.Rostam kikwete nchimbi ni timu moja
Wote ni timu moja wewe ndio hujui kituNi team tofauti, wqngekua Moja asingemtosa Lowasa 2015.
Itakuwa hujui political trend zilivyokuwa
Kivipi!!! Anaweza kweli kumfanyia hivyo mama mzaa chema??Kifua Kipana kamuuza Mama Mkwe
Wewe hujui kitu, unaambulia chenga na hadithi za watu wa mtaani, ilikuwaje amkatae Lowasa, Leo aikumbatie tena team hiyo?? JK , Jr Makamba, Nape, Mzee Kinana team yao ipo na ipo kinyume na team Lowasa.Wote ni timu moja wewe ndio hujui kitu
Unakuawaje unachopewa mezani sisi wenzake tunapata chakula cha jikoni
Rostam nchimbi kikwete na watoto wake ni timu moja we wa kutoka namtumbo huwezi kujua 🤣🤣Wewe hujui kitu, unaambulia chenga na hadithi za watu wa mtaani, ilikuwaje amkatae Lowasa, Leo aikumbatie tena team hiyo?? JK , Jr Makamba, Nape, Mzee Kinana team yao ipo na ipo kinyume na team Lowasa.
Labda kama amejiunga na hiyo team Leo.
Nakusikitikia, unategemea matango pori badala ya kutumia akili kwa kusoma political trend, toka Mzee wa msoga aliposema " ukitaka mambo yakunyokee washike wazee"
Toka Nape, Kinana, Makamba Jr kutumbuliwa, Bro Think big, understand beyond vissible meaning!!!
Sioni logic yoyote kwenye response zako 😂😂Rostam nchimbi kikwete na watoto wake ni timu moja we wa kutoka namtumbo huwezi kujua 🤣🤣