Mama Samia: Katika wakati muhimu Watanzania kushikamana ni wakati huu, Si wakati wa kusikiliza maneno yanayotoka nje yakatuparaganya vichwa

Leo siku ya pili mbona Tanga ameondoka.
 
..tumezoea bwana mkubwa akifanya ziara huwa anagawa MAHELA kila anapopita.

..sasa mama samia anapiga maneno tu, amesahau kwamba "mkono mtupu haulambwi."
 
Masikio hayafungwi ili yasisikie. Wala pua haizibwi ili isinuse wala macho hayazibwi yasione, bali hufungwa kwa muda wakati wa kulala.
 
hii kitu nilivyoisoma kule TL imeniuma sana , TZ nchi yangu inaenda wapi sijui[emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24]
Mbona mzee anaendelea vizuri..fuatilia updates zake,viongozi wa kidini + serikali wameenda kumuona
 
Kazi njema kwake Makamu wa Rais
Anatuandaa kisaikolojia kupokea taarifa nzito. Kidogo kidogo mpaka baada ya wiki mbili tutazoea kujua kuwa mtu anaweza kuwa mgonjwa na baada ya ugonjwa kuna kupona, kutenguka au kufa. Basi tutajumlisha na kutoa mpaka tupate jibu kwa upole.
 
Serikali haramu, Bunge haramu hakuna wanachojali zaidi ya matumbo yao. Hiki kipindi kwa kutumia huo mgongo wataiba sana huo ni mwanzo tu na hakuna wa kuuliza hata kama wasamaria wema watatupenyezea kiasi ambacho hawa wahuni watakuwa wanajichotea.
hii kitu nilivyoisoma kule TL imeniuma sana , TZ nchi yangu inaenda wapi sijui😭😭😭😭😭😭😭😭😭
 
Serikali haramu, Bunge haramu hakuna wanachojali zaidi ya matumbo yao. Hiki kipindi kwa kutumia huo mgongo wataiba sana huo ni mwanzo tu na hakuna wa kuuliza hata kama wasamaria wema watatupenyezea kiasi ambacho hawa wahuni watakuwa wanajichotea.
inasikitisha sana
 
Reactions: BAK

Itafamika tu...UBAYA UBAYA...Hapa kazi tu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…