Mtoto wa Shule
JF-Expert Member
- Nov 16, 2014
- 15,133
- 11,914
Pale Jiji la Mwanza Wilaya ya Nyamagana, Ofisi nzima ya NIDA ina watumishi wasiofika wanne na kwa siku wanapokea watu wasiopungua mia mbili halafu unataka ufanisi. Ajirini watumishi wa NIDA hadi ngazi ya Mtaa ikiwezekana na maamuzi yawe decentralised!!!Tukipata Rais mwingine naye atatuambia anaenda kuifumua NIDA.... Kisha tutamshangilia ....anakuja mwingine naye anaifumua...
Kudadeki tuendelee kufumuana tu.
Kituo kinachofuata ni NIDA. Mama kashindwa kuelewa inakuaje kuaje Kama Magari kawapa, hela katoa, mashine za kisasa zipo, mishahara inaingia kila mwezi lakini miaka 5 mtu hapati kitambulisho.
Wakati huohuo mamlaka Kama hizo nchini Kenya na Rwanda zenye bajeti ndogo kuliko NIDA zinatoa vitambulisho kwa wakati na ufanisi.
Mama anasema bora lawama, anapitisha rungu ambalo halijawahi kupita mamlaka yoyote ile nchini, anaifumua NIDA kuanzia chini mpaka juu.
Washauri wakubwa wa mama wamemshauri boss mpya wsafu
Kituo kinachofuata ni NIDA. Mama kashindwa kuelewa inakuaje kuaje Kama Magari kawapa, hela katoa, mashine za kisasa zipo, mishahara inaingia kila mwezi lakini miaka 5 mtu hapati kitambulisho.
Wakati huohuo mamlaka Kama hizo nchini Kenya na Rwanda zenye bajeti ndogo kuliko NIDA zinatoa vitambulisho kwa wakati na ufanisi.
Mama anasema bora lawama, anapitisha rungu ambalo halijawahi kupita mamlaka yoyote ile nchini, anaifumua NIDA kuanzia chini mpaka juu.
Washauri wakubwa wa mama wamemshauri boss mpya wa NIDA awe kijana ikiwezekana asiwe nyuma Sana na teknolojia hasahasa awe chini ya miaka 35.
Hili la mpaka ngazi za mitaa nijema piaPale Jiji la Mwanza Wilaya ya Nyamagana, Ofisi nzima ya NIDA ina watumishi wasiofika wanne na kwa siku wanapokea watu wasiopungua mia mbili halafu unataka ufanisi. Ajirini watumishi wa NIDA hadi ngazi ya Mtaa ikiwezekana na maamuzi yawe decentralised!!!
Ahmed Shabiby akiwa na Miaka 21 alikuwa na ma Youtong matanoNIDA ni kitengo nyeti sana ila watu wengi hawafahamu tu. Kwa sababu namba ya Nida inatumika kulink vitu vingi sana kwa hiyo ni mojawapo la chaka kwa ajili ya kuficha mali za watu wazito. Kwa mfano unakuta mtoto wa miaka 21 anamiliki vipi viwanja kibao tena maeneo muhimu kama mikocheni, masaki au hata mbezi beach
Acha hayo mawazo ww hata maandiko yanasema Bora kijana mwerevu kuliko mzee mpumbavu.Naomba wenye Mamlaka wakisoma huu Uzi waupuuze kwenye Umri!
Yaani Unataka Mwafrika mwenye Miaka 35ndio awe Mkurugenzi wa NIDA!
tena Utakuta hata ndoa hana????
Acha Utani…
Mzungu sawa wameanza Elimu wakiwa wadogo wana Experience kubwa anapofikisha Umri wa 35yrs.
pia wenzetu ni Intelligent.
Sisi 100% Mpaka 40yrs Ndio anakuwa Matured entku handle pressure!
hatutaki Mtu anaekwenda Kuwaza Mademu,Hajakutana na Mikiki mikiki!
hana Uzoefu wa the same position
hana Uzoefu wa Management Human skills for 10yrs!
Tunataka Smart People.
ila 35yr hapana.
Aende akawe Msagasumu tuu hukoo[emoji3][emoji12]
Tunakubali qengi wana financial headstart katika maisha, ila sio to an extent hiyoAhmed Shabiby akiwa na Miaka 21 alikuwa na ma Youtong matano
Kabisa kabisa mkuu.Katika taasisi za hovyo na zilizofeli totally ni NIDA.Huko RITA at least kunajikongojaSafi sana ondoa wote mafisadi na wakabila wakabila
Uhamiaji wanafanya nini??Hivi ni kukamata Wasomali na Waethiopia wanaoenda Afrika ya Kusini?Wao wangeweza kutoa vitambulisho kwa haki kuliko hao NIDA.
Mkuu mimi niliyeishi Cuba nimekuelewaaaaaaaaaNIDA ikifanikiwa ukusanyaji wa kodi utakuwa mwepesi sana
Mbona taasisi unazotaja zinafanya kazi kwa kushirikiana na NIDA au tatizo ni Mkurugenzi Mkuu?Kabisa kabisa mkuu.Katika taasisi za hovyo na zilizofeli totally ni NIDA.Huko RITA at least kunajikongoja
Hawa jamaa ukiwakuta ofisini hakuna kabisa hospitality kwa wateja waoItakuwa vyema ikafutwa kabisa waanze upya
Bora JWTZ wachukue usukani, wale hawana kupoteza muda.Hawa jamaa ukiwakuta ofisini hakuna kabisa hospitality kwa wateja wao
Acha mvua inyeshe tuone panapovuja.Fumua mama tena ukiweke na kitengo maalumi cha kufanya maboresho kitaifa maana hilo ni jipu kubwa yani unaweza kukata hadi tamaa kufwatilia technology inakuwa mno tunakoelekea kila kitu ni NIDA sasa mama liangalie hilo mno
Wanatia hasira sana hawa wanajikuta wamefika sana yani utendaji wenyewe 0+ indeedAcha mvua inyeshe tuone panapovuja.
Kati ya taasisi takataka ni hii NIDA sijui wanafanya kazi,gani kwa kuanzia mama angefuta NIDA na wafayakazi wote hadi mpika chai wao,waanze upya na hata wabadili jina na kutangaza ajira mpya hao waliopo kazi yao ni kuchezea simu na kupiga story.Kituo kinachofuata ni NIDA. Mama kashindwa kuelewa inakuaje kuaje Kama Magari kawapa, hela katoa, mashine za kisasa zipo, mishahara inaingia kila mwezi lakini miaka 5 mtu hapati kitambulisho.
Wakati huohuo mamlaka Kama hizo nchini Kenya na Rwanda zenye bajeti ndogo kuliko NIDA zinatoa vitambulisho kwa wakati na ufanisi.
Mama anasema bora lawama, anapitisha rungu ambalo halijawahi kupita mamlaka yoyote ile nchini, anaifumua NIDA kuanzia chini mpaka juu.
Washauri wakubwa wa mama wamemshauri boss mpya wa NIDA awe kijana ikiwezekana asiwe nyuma Sana na teknolojia hasahasa awe chini ya miaka 35.