johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 97,869
- 171,716
| Personal details | |
|---|---|
| 6th Vice President of Uganda | |
| Specioza Kazibwe | |
|
| |
| In office 18 November 1994 – 21 May 2003 | |
| President | Yoweri Museveni |
| Preceded by | Samson Kisekka |
| Succeeded by | Gilbert Bukenya |
| Born | 1 July 1954 (age 66) Iganga, Uganda |
| Political party | Democratic Party |
| Alma mater | Makerere University |
Muombee, anaweza kuwa Rais wako kwa kipindi cha mpito.Mama makini huyu haijawahi tokea
Uzushi hutowaweka huru apo ufipamuombee, anaweza kuwa rais wako kwa kipindi cha mpito !!
Ufipa wameishiwa sera!Uzushi hutowaweka huru apo ufipa
Mficha maradhi, kwani kuna ubaya gani ukisema unaumwa?? kwani utakuwa wa kwanza wewe kuumwa ama kufa? alikufa Mwalimu itakuwa weye bana.Uzushi hutowaweka huru apo ufipa
Hapo sawa kabisa....Sawa, naona na sisi tunaenda kufundishwa utabibu Nairobi Hospital. Au nasema uongo ndugu zangu?
Wawapelekee na Bupiji.Hivi hawanaga vitu vya msingi vya kuongea! Kwa Marekani amejifunza Tz!
Mama Makini ambaye hata hajui kuwa mwanamke wa kwanza africa kuwa makamu wa rais ni Specioza Kazibwe wa UgandaMama makini huyu haijawahi tokea
Msaidizi makini asiyejua kuwa mwanamke wa kwanza kuwa VIce President kwa africa ni Specioza Kazibwe wa Uganda?Rais Makini anateua wasaidizi makini kama ilivyo kwa John Pombe Magufuli na makamu wake
Hata wanapokua hawajakamilika anawafundisha na wasipomuelewa anawapumzisha🙌
Mungu ibariki Tanzania