johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 97,869
- 171,716
Mama Samia amesema mataifa mengi huko duniani hujifunza kupitia Tanzania ndio maana hata Marekani sasa ina makamu wa Rais mwanamke na hilo ni jambo jema.
Chanzo: TBC
Maendeleo hayana vyama!