Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wpi hii na ya lini?
Kuna uwezekano korona imepita na mtu... na wao wanaogopa.
Hii sidhani kama ni ya leo
Kuna uwezekano korona imepita na mtu... na wao wanaogopa.
Sema ni hali halisi ndiyo imetokeaKuna uwezekano korona imepita na mtu... na wao wanaogopa.
Hakuna mkate mgumu mbele ya chai,utajifanya kichwa ngumu mbele ya kifoMabadiliko yameanza
All in all wamevalia barakoa,hakuna jeuri kwenye kifoHii sidhani kama ni ya leo
Ramaphosa amekuja saa ngapi Tanzania mkuu?
Tuombe mama awe msikivuSasa Ukurasa Mpyaa....
Ogopa sana kifoMambo yamebadilika ghafla![emoji1][emoji1][emoji1]
View attachment 1728775
Hapa issue siyo nani,hapa issue ni kuwa watu hatimaye wamekubali kuvaa barakoaRamaphosa kafika saa ngapi???