ras jeff kapita JF-Expert Member Joined Jan 4, 2015 Posts 22,152 Reaction score 33,899 Mar 21, 2021 #41 Victoire said: Tulisema ikishusha mmoja wale top three,akili itawakaa tu. Click to expand... Na ww pia umeingizwa chaka aisee!! nikajuaga upogo on point......!!!?? kumbe na ww unabumba bumba
Victoire said: Tulisema ikishusha mmoja wale top three,akili itawakaa tu. Click to expand... Na ww pia umeingizwa chaka aisee!! nikajuaga upogo on point......!!!?? kumbe na ww unabumba bumba
wakuja town JF-Expert Member Joined Oct 26, 2020 Posts 898 Reaction score 1,343 Mar 21, 2021 #42 Behaviourist said: Mambo yamebadilika ghafla![emoji1][emoji1][emoji1] View attachment 1728775 Click to expand... Mama yuko nchi za watu boy, wanakofuata vilivyo kanuni za shirika la afya dunian, pembeni hapo ni prezdaa nadhan wa south so hapo sio bongo
Behaviourist said: Mambo yamebadilika ghafla![emoji1][emoji1][emoji1] View attachment 1728775 Click to expand... Mama yuko nchi za watu boy, wanakofuata vilivyo kanuni za shirika la afya dunian, pembeni hapo ni prezdaa nadhan wa south so hapo sio bongo
kelao JF-Expert Member Joined Sep 24, 2012 Posts 8,132 Reaction score 5,800 Mar 21, 2021 #43 Kwanza kachelewa, ila ni nzuri hiyo
wa stendi JF-Expert Member Joined Jul 7, 2016 Posts 25,190 Reaction score 27,434 Mar 21, 2021 #44 fazili said: View attachment 1728770 Click to expand... Baada ya mimi jana kuuliza kwa nini hajavaa kumbe ujumbe kaupata
fazili said: View attachment 1728770 Click to expand... Baada ya mimi jana kuuliza kwa nini hajavaa kumbe ujumbe kaupata
Black Sniper JF-Expert Member Joined Dec 10, 2013 Posts 32,406 Reaction score 55,148 Mar 21, 2021 #45 Picha ya zamani hii
Black Sniper JF-Expert Member Joined Dec 10, 2013 Posts 32,406 Reaction score 55,148 Mar 21, 2021 #46 wa stendi said: Baada ya mimi jana kuuliza kwa nini hajavaa kumbe ujumbe kaupata Click to expand... Hapo ni wakati Rais wa SA alipozuru tz
wa stendi said: Baada ya mimi jana kuuliza kwa nini hajavaa kumbe ujumbe kaupata Click to expand... Hapo ni wakati Rais wa SA alipozuru tz
Emory Andrew Tate JF-Expert Member Joined Jun 15, 2013 Posts 478 Reaction score 572 Mar 21, 2021 #47 wa stendi said: Baada ya mimi jana kuuliza kwa nini hajavaa kumbe ujumbe kaupata Click to expand... kwahiyo unadhani alikusikiliza wewe??Watanzania bana 😂 😂 Hiyo picha ya mwaka jana.Wanadunda bila barakoa,hujaona msibani?Jembe kaacha legacy
wa stendi said: Baada ya mimi jana kuuliza kwa nini hajavaa kumbe ujumbe kaupata Click to expand... kwahiyo unadhani alikusikiliza wewe??Watanzania bana 😂 😂 Hiyo picha ya mwaka jana.Wanadunda bila barakoa,hujaona msibani?Jembe kaacha legacy