Lazima wakasirike ndio legacy walioachiwa, kuwa Wanyongeππππ.Wenyewe wanakasirika kweli wakiambiwa wasiwe wanyonge πππ walikuwa wanapenda kweli kuitwa wanyonge.
Unyonge ilikuwa mbinu ya mwendazake kutaka kuwadunisha wannachi ili atawale mileleHayo ameyasema wakati akihutubia wananchi wa eneo la Busisi wilayani Sengerema wakati wa ukaguzi wa daraja la Magufuli lenye urefu wa zaidi kilomita zaidi tatu. Je unyonge wa watanzania umeanza kukemewa na kuwafanya wenye nguvu ndani ya taifa lao? hakika hili jina la wanyonge mi mwenyewe lilikuwa linanitibua sana.
Kukubali kuitwa mnyonge ni kuidhalilisha nafsi yako. Mungu aliumba binadamu mkamilifu mwenye nguvu za mwili na ubongo.Kabisa, nakumbuka pia akiongea na kina mama pale Dodoma Aliwaambia "msiwe wanyonge" maana yake unyonge ni udhaifu
Mnyonge naliona kama TUSI kwa Watanzania. Tafsiri yake hii hapa:Rais wa wanyonge.
Ha ha ha hii nchi tulipitia kipindi cha ajabu sana.Nape alikwenda kuungama dhambi zake kwa yesu wa Chattle.
Linakutibua SanaHayo ameyasema wakati akihutubia wananchi wa eneo la Busisi wilayani Sengerema wakati wa ukaguzi wa daraja la Magufuli lenye urefu wa zaidi kilomita zaidi tatu. Je unyonge wa watanzania umeanza kukemewa na kuwafanya wenye nguvu ndani ya taifa lao? hakika hili jina la wanyonge mi mwenyewe lilikuwa linanitibua sana.
Lilikuwa ni jina la kipumbavu snHayo ameyasema wakati akihutubia wananchi wa eneo la Busisi wilayani Sengerema wakati wa ukaguzi wa daraja la Magufuli lenye urefu wa zaidi kilomita zaidi tatu. Je unyonge wa watanzania umeanza kukemewa na kuwafanya wenye nguvu ndani ya taifa lao? hakika hili jina la wanyonge mi mwenyewe lilikuwa linanitibua sana.
Unyonge ilikuwa mbinu ya mwendazake kutaka kuwafunisha wannachi ili atawale mileleHayo ameyasema wakati akihutubia wananchi wa eneo la Busisi wilayani Sengerema wakati wa ukaguzi wa daraja la Magufuli lenye urefu wa zaidi kilomita zaidi tatu. Je unyonge wa watanzania umeanza kukemewa na kuwafanya wenye nguvu ndani ya taifa lao? hakika hili jina la wanyonge mi mwenyewe lilikuwa linanitibua sana.
Yani wakiitwa majasiri wanaona kama watakosa vya bure maana walizoea kulialia kila anakopita jamaa yao walikuwa wanamuomba hela naye anawapa kama papaa. Hii iliwadumaza sana tumetengeneza taifa la watu wanaotaka vya kupewa tu hata kaugomvi ka mpaka wa kiwanja analalamika anataka Rais aingilie kati wajinga sana.Lazima wakasirike ndio legacy walioachiwa, kuwa Wanyongeππππ.
Pumbavu kabisa kabisa..
Ww ni mpumbavu kichwa mavi kbs, endelea na huo ujinga wakoWalidhani kuitwa mnyonge ni sifa positive kumbe ni sifa negative kabisa,huu ni uendawazimu na ujinga wa hali ya juu sana. Mungu asingeingilia kati tulikuwa tunaelekea Sobibo au Jehanamu kabisa.
Tulitawaliwa na Rais asiye na exposure wala utu na uenda ni kweli mwendazake alikuwa ni psychiatric case maana matendo hayakuwa ya binadamu wa kawaida ,tujifunze kutoweka monsters posts za juu tutaumia...shame to his supporters, shame,shame.
Kukubali kuitwa mnyonge na ukakubali Ni UPUMBAVUDah kwa hiyo hakuna tena serikali ya wanyonge?ππ€£π€ΈββοΈ
Mama ndie tiba ya unyongeUnyonge unatibika,kama yalivyo matatizo mengine ya Akili.
Alikuwa rais wa wanyonge baada ya kuwafanya watu wawe masikini ili aweze kuwatawalaWenyewe wanakasirika kweli wakiambiwa wasiwe wanyonge πππ walikuwa wanapenda kweli kuitwa wanyonge.
We mnyonge tulia akili zikukae sawa.Ww ni mpumbavu kichwa mavi kbs, endelea na huo ujinga wako
Hakuna mnyongeHayo ameyasema wakati akihutubia wananchi wa eneo la Busisi wilayani Sengerema wakati wa ukaguzi wa daraja la Magufuli lenye urefu wa zaidi kilomita zaidi tatu.
Je, unyonge wa watanzania umeanza kukemewa na kuwafanya wenye nguvu ndani ya taifa lao? hakika hili jina la wanyonge mi mwenyewe lilikuwa linanitibua sana.
Walidhani kuitwa mnyonge ni sifa positive kumbe ni sifa negative kabisa,huu ni uendawazimu na ujinga wa hali ya juu sana. Mungu asingeingilia kati tulikuwa tunaelekea Sobibo au Jehanamu kabisa.
Tulitawaliwa na Rais asiye na exposure wala utu na uenda ni kweli mwendazake alikuwa ni psychiatric case maana matendo hayakuwa ya binadamu wa kawaida ,tujifunze kutoweka monsters posts za juu tutaumia...shame to his supporters, shame,shame.