Mama Samia: Naomba msiwe wanyonge

Mama Samia: Naomba msiwe wanyonge

Hayo ameyasema wakati akihutubia wananchi wa eneo la Busisi wilayani Sengerema wakati wa ukaguzi wa daraja la Magufuli lenye urefu wa zaidi kilomita zaidi tatu. Je unyonge wa watanzania umeanza kukemewa na kuwafanya wenye nguvu ndani ya taifa lao? hakika hili jina la wanyonge mi mwenyewe lilikuwa linanitibua sana.
Unyonge ilikuwa mbinu ya mwendazake kutaka kuwadunisha wannachi ili atawale milele
 
Kabisa, nakumbuka pia akiongea na kina mama pale Dodoma Aliwaambia "msiwe wanyonge" maana yake unyonge ni udhaifu
Kukubali kuitwa mnyonge ni kuidhalilisha nafsi yako. Mungu aliumba binadamu mkamilifu mwenye nguvu za mwili na ubongo.

Yeyote akizitumia akili zake na nguvu zake vizuri ana uwezo wa kupiga hatua kiuchumi na kijamii.

Usikubali kuitwa Mnyonge, utapata LAANA kama aliyoondoka nayo Mwendazake
 
Rais wa wanyonge.
Mnyonge naliona kama TUSI kwa Watanzania. Tafsiri yake hii hapa:

1.mtu dhaifu; mtu asiyekuwa na nguvu Mnyonge mnyongeni lakini haki yake mpeni (ms) Synonyms: mnyela
2. mtu mwenye tabia ya upole na ya kunyenyekea
3. mtu wa hali ya chini Mnyonge kupata haki ni mwenye nguvu kupenda (methali)

Binafsi silipendi hili neno, tupaze sauti sauti wana siasa wasituite sisi wanyonge, watumie neno wananchi au Watanzania, waache kutusanifu
 
Hayo ameyasema wakati akihutubia wananchi wa eneo la Busisi wilayani Sengerema wakati wa ukaguzi wa daraja la Magufuli lenye urefu wa zaidi kilomita zaidi tatu. Je unyonge wa watanzania umeanza kukemewa na kuwafanya wenye nguvu ndani ya taifa lao? hakika hili jina la wanyonge mi mwenyewe lilikuwa linanitibua sana.
Linakutibua Sana
Ulishawahi lisemea hapa enzi zile za Yule au ....??! reference please
 
Hayo ameyasema wakati akihutubia wananchi wa eneo la Busisi wilayani Sengerema wakati wa ukaguzi wa daraja la Magufuli lenye urefu wa zaidi kilomita zaidi tatu. Je unyonge wa watanzania umeanza kukemewa na kuwafanya wenye nguvu ndani ya taifa lao? hakika hili jina la wanyonge mi mwenyewe lilikuwa linanitibua sana.
Lilikuwa ni jina la kipumbavu sn
 
Dah kwa hiyo hakuna tena serikali ya wanyonge?๐Ÿ’๐Ÿคฃ๐Ÿคธโ€โ™‚๏ธ
 
Hayo ameyasema wakati akihutubia wananchi wa eneo la Busisi wilayani Sengerema wakati wa ukaguzi wa daraja la Magufuli lenye urefu wa zaidi kilomita zaidi tatu. Je unyonge wa watanzania umeanza kukemewa na kuwafanya wenye nguvu ndani ya taifa lao? hakika hili jina la wanyonge mi mwenyewe lilikuwa linanitibua sana.
Unyonge ilikuwa mbinu ya mwendazake kutaka kuwafunisha wannachi ili atawale milele
 
Lazima wakasirike ndio legacy walioachiwa, kuwa Wanyonge๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚.
Pumbavu kabisa kabisa..
Yani wakiitwa majasiri wanaona kama watakosa vya bure maana walizoea kulialia kila anakopita jamaa yao walikuwa wanamuomba hela naye anawapa kama papaa. Hii iliwadumaza sana tumetengeneza taifa la watu wanaotaka vya kupewa tu hata kaugomvi ka mpaka wa kiwanja analalamika anataka Rais aingilie kati wajinga sana.

Life hii usipopambana mwenyewe inakula kwako sasa wao wamezoea kujiita wanyonge ili wapewe misaada. Shinzi
 
Walidhani kuitwa mnyonge ni sifa positive kumbe ni sifa negative kabisa,huu ni uendawazimu na ujinga wa hali ya juu sana. Mungu asingeingilia kati tulikuwa tunaelekea Sobibo au Jehanamu kabisa.
Tulitawaliwa na Rais asiye na exposure wala utu na uenda ni kweli mwendazake alikuwa ni psychiatric case maana matendo hayakuwa ya binadamu wa kawaida ,tujifunze kutoweka monsters posts za juu tutaumia...shame to his supporters, shame,shame.
Ww ni mpumbavu kichwa mavi kbs, endelea na huo ujinga wako
 
Huyu sio Rais wa wanyonge ndio maana anawashauri msiwe wanyonge.
 
Wenyewe wanakasirika kweli wakiambiwa wasiwe wanyonge ๐Ÿ˜ƒ๐Ÿ˜ƒ๐Ÿ˜ƒ walikuwa wanapenda kweli kuitwa wanyonge.
Alikuwa rais wa wanyonge baada ya kuwafanya watu wawe masikini ili aweze kuwatawala
 
Hayo ameyasema wakati akihutubia wananchi wa eneo la Busisi wilayani Sengerema wakati wa ukaguzi wa daraja la Magufuli lenye urefu wa zaidi kilomita zaidi tatu.

Je, unyonge wa watanzania umeanza kukemewa na kuwafanya wenye nguvu ndani ya taifa lao? hakika hili jina la wanyonge mi mwenyewe lilikuwa linanitibua sana.
Hakuna mnyonge
 
Walidhani kuitwa mnyonge ni sifa positive kumbe ni sifa negative kabisa,huu ni uendawazimu na ujinga wa hali ya juu sana. Mungu asingeingilia kati tulikuwa tunaelekea Sobibo au Jehanamu kabisa.

Tulitawaliwa na Rais asiye na exposure wala utu na uenda ni kweli mwendazake alikuwa ni psychiatric case maana matendo hayakuwa ya binadamu wa kawaida ,tujifunze kutoweka monsters posts za juu tutaumia...shame to his supporters, shame,shame.

Yule jamaa alikuwa anatawala hii nchi kijima. Yaani alipaswa kuwa kiongozi enzi za zama za mawe. Ogopa mshamba akipata madaraka halafu akawa na kiburi. Ukichanganya na hili katiba la kumsujudia rais ni balaa tupu.
 
Back
Top Bottom