mjingamimi
JF-Expert Member
- Aug 3, 2015
- 42,209
- 51,004
Jeshi halina ukike Wala uume katika vyeo.
Ukike [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Sisi sio warabu
Natamani kumuona Akivaa gwanda za JWTZ atafananaje?
Suggestion ya Amirat itakuwa ni kuchanganya Kiarabu na Kiswahili, kwa sababu kwa sasa sio kwamba tunaita Amir bali Amiri!! Kimsingi hakuna tofauti na tulivyokopa neno "wazir" na kuwa "waziri" ingawaje kwa Kiarabu, wazir ni mwanaume, na mwanamke anaitwa "wazira" lakini sisi tulivyotohoa neno wazir, likaja kuwa waziri na linatumika kwa wanawake na wanaume.Wakuu, hii kitu imenichanganya, Marais wa kiume huitwa Amir jeshi mkuu. Msingi wa neno Amir ni neno la kiarabu ambalo lina maana kiongozi.
Kwa kiarabu na uislamu kiongozi wa wa kiume huitwa Amir na wakike huitwaw Amirat .Je kwa mama Samia ataitwa Amir jeshi mkuu au Amirat?
Wazee wa Itifaki naomba ufafanuzi
Watu wanapenda kudeal mambo madogomadogo sana
Aitwe amiri jeshi au amirati jesh sioni shida
Sio watu, sema “watu wa dini ile” wanapenda kudeal na mambo madogo madogo sana
Shogare upo?Nami natamani kumuona Mama ndani ya gwanda.
Ni AMIRI siyo AMIR tafadhaliWakuu, hii kitu imenichanganya, Marais wa kiume huitwa Amir jeshi mkuu. Msingi wa neno Amir ni neno la kiarabu ambalo lina maana kiongozi.
Kwa kiarabu na uislamu kiongozi wa wa kiume huitwa Amir na wakike huitwaw Amirat .Je kwa mama Samia ataitwa Amir jeshi mkuu au Amirat?
Wazee wa Itifaki naomba ufafanuzi
Jamani neno mfalme nalo ni kutoka lugha nyingine ambayo niya kibantu,kiarabu ni maalik kama ni mwanamume na maalkiya ni mtawala wa kike.itoshe tu tuelewe kuwa kwa kiswahili safi ni mfalme kwa kiingereza king, kuna namna nyingi za kufafanua vyeo hivi lakini pia neno sultan ni la kiarabu pia lenye maana ileile ya maalik na ndilo jina ambalo wazungu wanapenda kulitumia zaidi wanapotaka kuelezea juu ya mfalme kwa kiarabu,wao wazungu humwita sultan
Jamani neno mfalme nalo ni kutoka lugha nyingine ambayo niya kibantu,kiarabu ni maalik kama ni mwanamume na maalkiya ni mtawala wa kike.itoshe tu tuelewe kuwa kwa kiswahili safi ni mfalme kwa kiingereza king,kuna namna nyingi za kufafanua vyeo hivi lakini pia neno sultan ni la kiarabu pia lenye maana ileile ya maalik na ndilo jina ambalo wazungu wanapenda kulitumia zaidi wanapotaka kuelezea juu ya mfalme kwa kiarabu,wao wazungu humwita sultan
Hili ni jibu sahihi, NI amiri siyo amir.Hilo neno la kiswahili amiri jeshi mkuu.
La kiarabu Ni amir.
Sisi tunalitumia kwa wote awe mwanamke au mwanamme.
RIP Magufuli,RIP Ben Saanane, RIP Azory Gwanda hii ndiyo maana halisi ya kila nafsi itaonja mauti.
... Rais Samia akitoa order za kijeshi kwa subordinates wake jeshini kwa lugha ya Kiingereza watamwitikiaje? Yes Sir! Au Yes Madam? Au? Lete jibu.Wakuu, hii kitu imenichanganya, Marais wa kiume huitwa Amir jeshi mkuu. Msingi wa neno Amir ni neno la kiarabu ambalo lina maana kiongozi.
Kwa kiarabu na uislamu kiongozi wa wa kiume huitwa Amir na wakike huitwaw Amirat .Je kwa mama Samia ataitwa Amir jeshi mkuu au Amirat?
Wazee wa Itifaki naomba ufafanuzi
Neno MFALME na MALKIA ni lugha gani? Kwani nacho NI kiarabu? Tifautisha Kati yaKwa hyo ni sahihi kumuita MFALME SAMIA?
au ni sahihi kumuita MALKIA SAMIA?
Kwa kiarabu. Sisi hatutumii kiarabu kwenye vyeo hapa Tanzania ndo maana anaitwa AMIRI kwa kiswahili, huko uarabuni wanaita AMIR.Umesema amir maana yake kiongoz
Over
Neno MFALME na MALKIA ni lugha gani? Kwani nacho NI kiarabu? Tifautisha Kati ya
AMIR
AMIRI