Mama Samia ni Amir jeshi Mkuu au Amirat Jeshi Mkuu?

Mama Samia ni Amir jeshi Mkuu au Amirat Jeshi Mkuu?

Sawa ngoja tuone
Lugha yetu ni lugha ya kiswahili, hatuashirii kwa kutofautisha kama kiarabu, english n.k. Neno amir limetoholewa kama yalivyotoholewa maneno mengine na tunayatumia tutakavyo. Mfano mzuri ni neno awamu ni neno la kiarabu "awam" lakini kwa kiarabu linatumika kumaanisha mwaka, huku kwetu ni kipindi anachotawala rais kutoka uchaguzi mmoja hadi wa pili i.e miaka mitano.
 
Ulimuona jana Dodoma? Alikua amevaaje?

Hilo body unalozungumzia umebahatika kuwaona wale wanawake wa JWTZ Dodoma?

By the way hakuna vasi rasmi la “KiIslam” bali Uislam unaagiza kujistiri tupu na haiba!

Point yako nini haswaa kwa huyu mama samia? Wewe kama mgalatia
 
Wakuu, hii kitu imenichanganya, Marais wa kiume huitwa Amir jeshi mkuu. Msingi wa neno Amir ni neno la kiarabu ambalo lina maana kiongozi.

Kwa kiarabu na uislamu kiongozi wa wa kiume huitwa Amir na wakike huitwaw Amirat .Je kwa mama Samia ataitwa Amir jeshi mkuu au Amirat?

Wazee wa Itifaki naomba ufafanuzi
Sis twende na Amir...hilo jengine litatuchanganya sana !!
 
Wakuu, hii kitu imenichanganya, Marais wa kiume huitwa Amir jeshi mkuu. Msingi wa neno Amir ni neno la kiarabu ambalo lina maana kiongozi.

Kwa kiarabu na uislamu kiongozi wa wa kiume huitwa Amir na wakike huitwaw Amirat .Je kwa mama Samia ataitwa Amir jeshi mkuu au Amirat?

Wazee wa Itifaki naomba ufafanuzi

Tanzania na uarabu wapi na wapi? Kama kuna kitu kitasumbua ni hiki cha kutumia uarabu kutaka kumuongoza Rais wetu.
Msubiri mpaka ahamie uarabuni
 
Kuvaa hilo gwanda sahau Mzee, huyo mama anajitambua,anajiheshimu na anamuogopa Mola wake, unadhani huyo ni kama wale wavaa vimini, vichupi vikionekana na minywele yote ikionekana! Aise hahahahaaaa
samia-suluhu-hassan.png

Ushungi wa nini Wakati ni Raisi wa wote
 
Tofautisheni Lugha na vyeo.

Amir au Amirat ni lugha ya kiarabu yenye kuonyesha jinsia.

Vyeo havina jinsia = Mkurugenzi ni mkurugenzi au Luteni kanali ni kanali awe mwanamke au mwanamme.

Amir ishasema ni mwanamme na Amirat ni mwanamke.

Sultani ni cheo ,je mwanamke naye atitwa Sultani?

Ustadhi au Ustadhata.
 
Tofautisheni Lugha na vyeo.

Amir au Amirat ni lugha ya kiarabu yenye kuonyesha jinsia.

Vyeo havina jinsia = Mkurugenzi ni mkurugenzi au Luteni kanali ni kanali awe mwanamke au mwanamme.

Amir ishasema ni mwanamme na Amirat ni mwanamke.

Sultani ni cheo ,je mwanamke naye atitwa Sultani?

Ustadhi au Ustadhata.

Sheikh King Kong III nakupenda kwa ajili ya Allah,, uko vizuri.
 
Hilo neno la kiswahili amiri jeshi mkuu.
La kiarabu Ni amir.
Sisi tunalitumia kwa wote awe mwanamke au mwanamme.

RIP Magufuli,RIP Ben Saanane, RIP Azory Gwanda hii ndiyo maana halisi ya kila nafsi itaonja mauti.
Kwani Ben Saanane na Azory walishafariki??
 
Mnabishana bure pasipo kuwa na ufahamu, mkawaulize BAKITA wanalo jawabu.
Mfumo dume umetudumaza sana.
 
Wakuu, hii kitu imenichanganya, Marais wa kiume huitwa Amir jeshi mkuu. Msingi wa neno Amir ni neno la kiarabu ambalo lina maana kiongozi.

Kwa kiarabu na uislamu kiongozi wa wa kiume huitwa Amir na wakike huitwaw Amirat .Je kwa mama Samia ataitwa Amir jeshi mkuu au Amirat?

Wazee wa Itifaki naomba ufafanuzi
Mchangiaji wa post namba 2 amejibu vizuri sana kwa ufupi wenye kukidhi haja.

Hapa naweka ziada. Tamko la kiarabu la "Amirat" kisheria ni kwa wanawake tu akiwaongoza wanawake wengine na si tamko la kisheria bali ni tamko la kilugha.
 
Wakuu, hii kitu imenichanganya, Marais wa kiume huitwa Amir jeshi mkuu. Msingi wa neno Amir ni neno la kiarabu ambalo lina maana kiongozi.

Kwa kiarabu na uislamu kiongozi wa wa kiume huitwa Amir na wakike huitwaw Amirat .Je kwa mama Samia ataitwa Amir jeshi mkuu au Amirat?

Wazee wa Itifaki naomba ufafanuzi
Kadhalika tamko "Jeshi" nalo ni la asili ya Kiarabu.
 
Back
Top Bottom