Mama Samia ni Amir jeshi Mkuu au Amirat Jeshi Mkuu?

Mama awe angevaa vazi la kuogelea kwenye baadhi ya hotuba zake
 
Kwa hicho hicho kiarabu neno Rais linatumika kwa mwanaume. Kwa mwanamke ni Raisat, je hili nalo tubadilishe?
 
Ingekuwa uarabuni, angeitwa Amirat. Kwa Tanzania ni Amiri Jeshi Mkuu simpo.
 
Is this a serious question after you call me “Mgalatia”?

Chief, every second that we breath, it teaches us a simple technique, Pumzi na Uhai si chochote!

Jitafakari Chief!

Kweli kabsa, pumzi na uhai c chochote.. tuombe mwisho mwema.


Sorry, are you muslim?
 
According to islam beleif mwanamke hawezi kuongoza jeshi kwa hiyo neno Amirat hali exist.

Kwa kibongo bongo ni Amir tu.
 
Ni Amiri kwa sababu ni kwa kiswahili na si kwa kiarabu.
 
Neno la Kiarabu ni أمير ukitamka kama Kiarabu cha fasaha utasema "amirun", lakini matamshi ya kawaida ni "amir" hiyo imepokelewa katika Kiswahili.

Umbo la kike ni ميرة ambayo matamshi yake kifasaha ni "amiratun" lakini matamshi ya kawaida ni "amira".
Hakuna anayesema "amirat" kwa Kiarabu.
Kwa hiyo tulia, na endelea kuboresha Kiarabu chako. lakini usisahau kunyosha pia Kiswahili.
 
 

Attachments

  • 25C13742-6BD9-42C1-A158-C1BFB2723A97.jpeg
    72.3 KB · Views: 3
tameer, hiyo picha uliyoniwekea hapo juu ni ya nani miongoni mwa niliowataja?! Ni ya Mwinyi, Mkapa au Kikwete?! Pamoja na yote, huyo uliyemweka akiwa na gwanda alikuwa na gwanda hizo katika mazingira yapi compared na yule anayepiga gwanda na kuanza kusimama kila anapoona raia?! Mwalimu kwa mfano, hata nae keshawahi kupiga gwanda na mazingira yaliyokuwa yanamfanya apige gwanda ni mazingira sahihi kabisa.
 
Mara zote, tangu kupatikana kwa uhuru – Desemba 9, 1961, marais wa Tanzania wamekuwa ni wanaume; kuanzia kwa Julius Kambarage Nyerere (1962-1985), Ali Hassan Mwinyi (1985-1995), Benjamin William Mkapa (1995-2005), Jakaya Mrisho Kikwete (2005-2015) na John Pombe Magufuli (2015-2021).

Hawa wote walikuwa wakivaa cheo kingine kikubwa AMIRI JESHI MKUU.

Amiri ni neno la Kiarabu lenye maana ya “kiongozi mkuu mwanaume.

Lakini sasa Tanzania imempata kiongozi mwanamke, hivyo badala ya kuitwa AMIRI (mwanaume), yeye anakuwa AMIRAT (mwanamke).

Amirat lina asili ya Kiarabu na lugha kadhaa za Afrika, na humaanisha Malkia.

Kwa sababu hiyo, inashauriwa wanasiasa, vyombo vya habari na wananchi kuwa, kama vile ambavyo kwa Kiingereza hatuwezi kumwita Mr President bali Madam President, hata katika cheo hiki sasa Rais Samia Suluhu Hassan hawezi kuitwa Amir Jeshi Mkuu bali AMIRAT JESHI MKUU.

Tulitumie, litazoeleka.
 
Kumekuwepo na upotoshaji kuwa sio sahihi kwa mtu mwenye jinsi ya kike kuitwa amri jeshi mkuu. U kweli nikuwa neno Amiri nilenye asili ya kiarabu lakini lilipoingizwa katika kiswahili halina mbadala wake kijinsia

Katika kamusi ya kiswahili -kingereza kidahizo hiki kimwingizwa kma ifuatavyo Amiri*[a/wa-] Commander ~ jeshi mkuu commander - in chief (Kar) nitofauti na lile la kiarabu lenye kutumika kwa jinsi ya kiume, lenye mbadala wa amurat kwa jinsi yakike.

Neno Amurat halipo katika kiswahili na nimakosa kutumika kutaja cheo hicho kwa sasa.

Nivyo ni sahihi na nikiwahili mufti kusema Amiri jeshi mkuu wa Tanzania Mama Samia suluh Hasan
 
Ndio shida ya maneno ya kuazima tubuni ya kwetu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…