Mama Samia: Paul Makonda alisimama ndani ya Bunge la Katiba na kusema mimi nafaa kuwa Makamu wa Rais na Bunge zima likashangilia!

Mama Samia: Paul Makonda alisimama ndani ya Bunge la Katiba na kusema mimi nafaa kuwa Makamu wa Rais na Bunge zima likashangilia!

johnthebaptist

JF-Expert Member
Joined
May 27, 2014
Posts
97,869
Reaction score
171,716
Makamu wa Rais mama Samia Suluhu amesema ni Paul Makonda ndiye aliyemtabiria kuwa makamu wa Rais baada ya kusimama ndani ya bunge la Katiba na kusema " huyu mama ndiye anayefaa kuwa makamu wa Rais wa JMT "

Mama Samia amesema hayo katika kongamano la Wasichana lililofanyika katika ukumbi wa JKNCC jijini Dsm leo.

Chanzo: TBC

Maendeleo hayana vyama!
 
Hakika CCM ni dude la ajabu ambalo halina muazini wala msoma swala.
Ukiona ya Wajumbe usishangae kuna ya watawala.
Msikilize vizuri makamu wa Rais asemayo hapa utagundua kuwa safari ya kumsafisha Makonda imeanza rasmi. Ni mjinga pekee ndiye hawezi kuliona hilo.
Hata wewe Mama Samia uliyesema maneno yale siku ile ya kuapisha viongozi wapya? Haiwezekani uwe unatumika namna hiyo, maana utatufanya tuone kuwa ni makosa kwa kinamama kuwapa nafasi za juu kwani hawawezi kusimamia misimamo yao.

 
Makamu wa Rais mama Samia Suluhu amesema ni Paul Makonda ndiye aliyemtabiria kuwa makamu wa Rais baada ya kusimama ndani ya bunge la Katiba na kusema " huyu mama ndiye anayefaa kuwa makamu wa Rais wa JMT "

Mama Samia amesema hayo katika kongamano la Wasichana lililofanyika katika ukumbi wa JKNCC jijini Dsm leo.

Source TBC

Maendeleo hayana vyama!
Hii taarifa kama itakuwa ni kweli

Basi makonda soon anaenda kuwa soon mbunge wa kigamboni
 
Tuleteeni makonda kigamboni iwe km Paris

Nyie wajumbe wa jf msituletee uchawi,

Naamin kamati kuu ndo kila kitu na watatuletea mtu wetu,

Kigamboni itawaka moto,
 
Makamu wa Rais mama Samia Suluhu amesema ni Paul Makonda ndiye aliyemtabiria kuwa makamu wa Rais baada ya kusimama ndani ya bunge la Katiba na kusema " huyu mama ndiye anayefaa kuwa makamu wa Rais wa JMT "

Mama Samia amesema hayo katika kongamano la Wasichana lililofanyika katika ukumbi wa JKNCC jijini Dsm leo.

Source TBC

Maendeleo hayana vyama!
Yajayo yanafurahisha


Mtanganyika : Keep watching
 
Back
Top Bottom