Cherenganya
JF-Expert Member
- Jan 21, 2018
- 2,309
- 1,785
Kuna haja gani ya kutumia idiom?. ungeweza tu kuandika "don't become angry", bado ningekuelewa vizuri tu.Don’t get bent out of shape.
Wewe hatakuandika paragraph moja tu ni shida lakini unaongelea mtu ambaye ana PHD!Nimecheka kwa nguvu ulichoongea hapa we kilaza, Warusi, wachina na wakorea wanapata elimu zao kwa kiingereza? Huyo anayejifanya anakienzi kiswahili ni kwakuwa hawezi kingereza cha kunyooka, na ukimsikiliza akiongea anachanganya kiswahili na maneno ya kiingereza mpaka inakuwa kinyaa.
Fuatilia viongozi wanaojifanya wazalendo, watoto wao wote wanasoma shule za kiingereza, na huwa wanacheka meno yote nje hao watoto wao wakiongea kiingereza, na sio wakiongea kiswahili fasaha.
Warusi, wachina, wakorea je? Ukiwa na akili za kitumwa kama zako huwezi kujikomboa. Kama wewe utaendelea kutoa mapovu humu JF kujikomboa kutoka akili za kitumwa itakuwa ni ndoto za Alinacha!!
Kuna ubaya gani mimi kuandika hivyo nilivyoandika?kuna haja gani ya kutumia idiom?. ungeweza tu kuandika "don't become angry", bado ningekuelewa vizuri tu.
Kujua.Kwa hiyo unataka nini ?
Wewe hatakuandika paragraph moja tu ni shida lakini unaongelea mtu ambaye ana PHD! Are you serious you ass??
Hata kabla sijamjua nilikuwa mpambanaji 💪awe hajui au anajua, huyo sio mwenzako ni level zingine, yee keshatoboa, wee endelea kupambana na hali yako.
Labda darasa la nne la mkoloniKweli nilidanganya.
Mi wa darasa la 7 tu.
Hii ya kusoma si kitu!Anaongea vizuri sana ingawa mara moja moja anapata grammatical errors ndogo ndogo, lakini anaongea vizuri sana. Msikilize hapa
Na abaki akijuwa kuwa wewe ni darasa la 7.maana siku akijua kuwa ajui atajiona yeye ni darasa la pili B.Kweli nilidanganya.
Mi wa darasa la 7 tu.
Ndo kujua.Kujua Kiingereza ndio nini?