Mama Samia Suluhu karibu Nairobi, kweli umedhamiria kurekebisha

Mama Samia Suluhu karibu Nairobi, kweli umedhamiria kurekebisha

Nilishangaa na kuona huruma sana unakuta mbaba mtu mzima kabisa lakini lugha yake ya asili hawezi hata kusalimia, japo kidogo wanaotokea mikoani kama Moshi, Mwanza na Kagera hujaribu jaribu lakini wengi wa hapo Dar ni hovyoo kabisa, wamemezwa na mambo ya Uswahilini mpaka wamekua watumwa wasiokua na asili yoyote, mtu hajui lugha yake ya asili na pia uandishi wa Kiswahili ni umagumashi, Kingereza ndio hajui chochote kabisaaaa.

Wanakuambia kuongea Kingereza ni ukoloni, kuongea lugha ya asili ni ushamba, na hata hicho Kiswahili bado anayumba yumba kwenye uandishi. Kile hunishanga, mtuhumiwa akikamatwa kwenye uhalifu wowote hutajwa kabila lake kwenye dodoso, check hii...

2760304_78ccfbb956cf7734e9cc072756adf1ec.jpg
Maajabu Haya🔥🔥🤣🤣🤣🤣🤣
 
Hahahaaaa

Hahahaaaa

Hahahaaa

That sounds schizophrenic

Bwahahahahahaa
Well, 80% of ndaganyiass pertake kiti-mtu supu in particular,Is that not schizophrenic ??
You better give it to CEO geza ulole venture capital. The bogo lala brain behind sumbawanga wet meat products and the latest bariadi wet meat processing plant.
 
Wewe ni taahira sababu unaongea kitu kisichokuwepo

Inaonekana ulivyo shallow minded na hujawahi hata siku 1 kufika Tanzania,

Hivi yupo mtanzania asiejua lugha yake ya asili? Hata watoto waliozaliwa mijini wanaweza wasijue lugha yote Lakini baadhi ya maneno wanajua

Zaidi ya 40% ya wa Tanzania wapo vijijini, unataka kusema huko vijijini hawaongei lugha zao?
Wacha uongo Nyinyi watanzania mnajua tu kutaja Jina la kabila lenu Lakini hamjui kuiongea🤣🤣🤣🤣Huu Ni utumwa
 
Hii ndoto uliota mda gani......yani kwa hii shida ya ajira huku aachie nyan'gau ipewe kazi huku........nafasi pekee atakayoweza pewa nyang'au ni zile za juu tu kwa ajili ya kulinda investment ya muwekezaji ukitoa hapo kila mtu ashinde mechi zake
Investors Wakenya wataleta many Job opportunities kwa Watz
 
Kabisa kabisa

Baada ya Farao kuondoka[emoji23][emoji23][emoji23]
 
Hao ombaomba si ndo madili yenu wakikuyu nyie mnakuja kuwasomba huku mpate ajira huko........hio ni akili ya mkikuyu kabisa
Mkabila wwe Sasa Kama Ni mkikuyu shida iko wapi😛alafu mnasema Nyinyi TZ sio wakabila
 
Sisi tufafunga mpaka tuone mtauza vp bidhaa zenu kwenda southern DRC, Zimbabwe, Malawi n Zambia! Tuwaache mfanye biashara na Somalia, South Sudan na Uganda!
Eti Nini🤣🤣DRC tutapitia through Uganda mafala nyinyi
 
Kiswahili ni kizungu? Kati ya Tz na Kenya ni nani anaetamba kuijua sana na kujionea fahari na lugha ya mkoloni??
English is a business language,Tunaongea ata na Chinese kutumia Lugha ya Kingereza,Every part of the world Know English mpaka wwe😛TZ is not an Island
 
Back
Top Bottom