Mama Samia Suluhu karibu Nairobi, kweli umedhamiria kurekebisha

Maajabu Haya🔥🔥🤣🤣🤣🤣🤣
 
Hahahaaaa

Hahahaaaa

Hahahaaa

That sounds schizophrenic

Bwahahahahahaa
Well, 80% of ndaganyiass pertake kiti-mtu supu in particular,Is that not schizophrenic ??
You better give it to CEO geza ulole venture capital. The bogo lala brain behind sumbawanga wet meat products and the latest bariadi wet meat processing plant.
 
Wacha uongo Nyinyi watanzania mnajua tu kutaja Jina la kabila lenu Lakini hamjui kuiongea🤣🤣🤣🤣Huu Ni utumwa
 
Hii ndoto uliota mda gani......yani kwa hii shida ya ajira huku aachie nyan'gau ipewe kazi huku........nafasi pekee atakayoweza pewa nyang'au ni zile za juu tu kwa ajili ya kulinda investment ya muwekezaji ukitoa hapo kila mtu ashinde mechi zake
Investors Wakenya wataleta many Job opportunities kwa Watz
 
Kabisa kabisa

Baada ya Farao kuondoka[emoji23][emoji23][emoji23]
 
Hao ombaomba si ndo madili yenu wakikuyu nyie mnakuja kuwasomba huku mpate ajira huko........hio ni akili ya mkikuyu kabisa
Mkabila wwe Sasa Kama Ni mkikuyu shida iko wapi😛alafu mnasema Nyinyi TZ sio wakabila
 
Sisi tufafunga mpaka tuone mtauza vp bidhaa zenu kwenda southern DRC, Zimbabwe, Malawi n Zambia! Tuwaache mfanye biashara na Somalia, South Sudan na Uganda!
Eti Nini🤣🤣DRC tutapitia through Uganda mafala nyinyi
 
Kiswahili ni kizungu? Kati ya Tz na Kenya ni nani anaetamba kuijua sana na kujionea fahari na lugha ya mkoloni??
English is a business language,Tunaongea ata na Chinese kutumia Lugha ya Kingereza,Every part of the world Know English mpaka wwe😛TZ is not an Island
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…