FIRST Class Economist Hawezi Kununua Hii, Na Majibu Yake Ni Rahisi Tu: Currence Pegin And Same Rate Taxation Havijui, Kwa Kuwa Haviko Kwenye Syllabus Ya Bcom Pale Ud.
Kwa Bcom, Pale Ud, Mkazo Uko Kwenye Tozo, Tozo Na Tozo Tu.
Same rate taxation hua ni mwarobaini wa Rushwa na hii huongeza mapato maana unajikuta unalipa mapato na kodi mbalimbali bila mjadiliano na mtu, niliwahi kulisema zamani sana , kontena ya vitenge au kanga kodi ni kiasi kadhaa imeisha hiyo,