Mama Samia Suluhu na Mwigulu Nchemba, huu ni ushauri wangu kwenu nnaoamini wenye manufaa makubwa kwa uchumi wa Tanzania.



Hivi kweli dada yangu hii akili nzuri huwaa ndo unaitumia kutetea DP? Ni nini kinakupofusha?
 
Hivi kweli dada yangu hii akili nzuri huwaa ndo unaitumia kutetea DP? Ni nini kinakupofusha?
Unachoongelea nini kuhusu DP World?

Mimi sitetei chochote bali naunga mkono makubaliano yaliyoingiwa kati ya Serikali ya Tanzania na Serikali ya Dubai.
 
Ahsante bibi mtaalamu wa uchumi wa kiislam mbobezi wakisikia ushauri wako niite mjinga nipo siti ya nyuma huku. Unamjua mwigulu wewe?
 
Unachoongelea nini kuhusu DP World?

Mimi sitetei chochote bali naunga mkono makubaliano yaliyoingiwa kati ya Serikali ya Tanzania na Serikali ya Dubai.
Ongezea na unatetea pia dini yako islamu
 
Umetoa ushauri mzuri
Ila kwenye kuwa na sarafu imara itumike mbinu gan Ili kuweka vigingi na sarafu yetu isiwe inayumba kama dela
Dhahabu yetu na mali asili tulizonazo Tanzania zinatosha kabisa kuwa ni dhamana ya sarafu, tena siyo kwa kuiwekea vigingi tu bali hata bila vigingi tunaweza kuifanya sarafu yetu ikawa na thamani kubwa kuliko ilivyo sasa na iakawa "convertible" Kimataifa.

Tena bila vigingi tunaweza kuanza kwa haraka sana, tunaweza kuanza na nchi za Afrika mashariki kwa kuiwekea dhamana ya dhahabu ya kutokukushuka thamani Shillingi yetu, na kwa muda mchache sana itajipandisha chati yenyewe na khamia nchi za sadec.

Nawashangaa sana wachumi wetu, uchumi tunao lakini tunaukalia.


Naweza ku-challenge na mchumi yeyote hapa, kuwa Tanzania tunawea kuifanya shillingi yetu iwe pesa ya kibiashara Afrika Mashariki ndani ya miezi mitatu tu. Ni uamuzi tu.
 
kwa dhahabu tuliyonayo Tanzania, tena kwa kununuwa ile ya wachimbaji wadogo tu na kuiweka reserve, tutakuwa hatuna haja hata ya pegging, tutaifanya Tanzania Shilling iwe convertible currency tena kwa kuanzia kwa hapahapa Afrika Mashariki tu, kwengine huko itajipeleka yenyewe Automatically".

Ni very simple, ni kuistabilize rate yetu kwa Afrika Mashariki na kuruhusu Shillingi iweze kutoka mipakani, kwisha kazi.

Tena kimya kimya, kila anaekuja kununuwa vitu Tanzania na pesa zake kama za Kenya, anakuta rate ileile kwa wauza pesa. Akija benki zetu hapa anaikuta labda imebadilika vijisenti tu na money changers.


Nashangaa kwanini hatufanyi hivyo, benki za Afrika zikianza kuitumia shillingi, tutajiingizia pesa za bure kwa commission za transfer charges, na hivi siku hizi tunahamisha pesa kwa njia ya simu, ndiyo kabisa, tukiwa stable, Afrika Mashariki nzima wanaofanya biashara watakuwa wanatumia shillingi zetu tu.
 
Unachoongelea nini kuhusu DP World?

Mimi sitetei chochote bali naunga mkono makubaliano yaliyoingiwa kati ya Serikali ya Tanzania na Serikali ya Dubai.

And that is where your problem is, hauoni mapungufu kwenye Mkataba? Can this address your common sense/logic/soul and give a proper un influenced answer?

Hauoni cha kuboresha kwenye mkataba?
 
And that is where your problem is, hauoni mapungufu kwenye Mkataba? Can this address your common sense/logic/soul and give a proper un influenced answer?

Hauoni cha kuboresha kwenye mkataba?
Huo mkataba mnaouongolea uko wapi? Mimi sijauona. Au IGA (Intergovernmental Agreement) ndiyo mnauita mkataba?

Hebu nifahamishe tuelimishane kidogo.
 
Baby wangu umeongea point sana leo, and this is why i love you..
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…