Wewe unajua kuhoji Nini?! Huyo Rais ajitokeze ili iwe Nini?Hii serekali iliyofitinika imekubuhu kwa uongo. Kama Rais ni mzima ajitokeze watu wamuone kwani ugumu hapo uko wapi? Wanachofanya ni kudanganya wapumbavu wachache ambao hawajui kuhoji na ambao hawawezi kutenganisha kati ya ukweli na uongo.
Afu kiutani utani, haonekani onekani usikute mabeberu wamemtekaNi haki yetu bila hivyo tuandamane.#
Bring back our president#
Hawajui ikulu ilipo.Mibavicha itakwambia yuko wapi!
Hii mijitu bure kabisa
Haya ndio anayoyajua Lisu!
Kipindi hiki kipi?kipindi hiki tushikane tujenge mshikamano, tujenge upendo, tuchape kazi tulete tija kwa Taifa letu"
Wewe nae ni mshamba, kama sio jinga, kwani kuna ulazima gani wa kutaja bavicha kweny kila comment au ndiyo chawa unajipendekeza upate uteuziTuwaulize mabavicha, ilikuwaje mpka mgombea wao akawahakikishia kwamba wakimchagua atawaacha wavinjari tu, hawatabughudhiwa?
Shangaa mkuu! Yani wahuni wachache eti ndio wanataka kututengenezea akili kwamba tuwe kama waoWatajua wenyewe, abaki huko huko asije hadi mwaka 2025 kwenye uchaguzi mwingine, yani abaki huko huko, tusimuone kabisa, yani watu usitafute ugali wa familia yako uanze kuwaza mijitu mingine kwamba wapo wapi,
Kwani yule mhuni wenu toka ubelgiji kasema yuko wapi?Anatusalimia kutoka wapi
Kwamba hao wahuni wakishajua rais alipo ndio matumizi sahihi ya kodi yako?Sehemu ya mshahara wako kila mwezi ina mtunza Rais, ni muhimu ufahamu matumizi ya kodi yako.
Kwa sababu serikali imewahakikishia usalama,kwa hiyo nae alikuwa anawapa nguvu kuwa mtaendelea kuwa salama.Sasa ilkuwaje yule mbelgiji akawaambia bavicha wamchague tu yeye hana noma nao kwenye mambo yao ya faragha?
Hao wahuni pia ni sehemu ya wale milioni 60 wanaoifanya Tanzania iitwe nchi pia wanachangia kodi.Kwamba hao wahuni wakishajua rais alipo ndio matumizi sahihi ya kodi yako?
Hao ndio wahuni wenyewe wakiongozwa na lile belgijiWewe nae ni mshamba, kama sio jinga, kwani kuna ulazima gani wa kutaja bavicha kweny kila comment au ndiyo chawa unajipendekeza upate uteuzi
Hao wahuni wachache wengine wapo kanada wengine ubelgiji,Hao wahuni pia ni sehemu ya wale milioni 60 wanaoifanya Tanzania iitwe nchi pia wanachangia kodi.
Paja na shule yako hunafaida kwenye jamii.Eti '''mazala''. Kumbe ni wale walisomea chini ya mwemb, ambao hawajui hata kuandika kiswahili kwa ufasaha. Go back to schoo
Hao wahuni pia ni sehemu ya wale milioni 60 wanaoifanya Tanzania iitwe nchi pia wanachangia kodi.
Kodi gani umelipa weweHao wahuni pia ni sehemu ya wale milioni 60 wanaoifanya Tanzania iitwe nchi pia wanachangia kodi.
Wezi wa kura na wapika matokeo ya uchaguzi ndiyo wenye laana.Hao wahuni wachache wengine wapo kanada wengine ubelgiji,
Ingekuwa kwenye familia tungesema hiyo ni ile mitoto iliachiwa laana na wazazi
Kipindi hiki tunahitaji mshikamano kuliko kipindi chochote"
Na mwingine anasema yupo Dar anaendelea vizuri!!Hivi anaposema kipindi hiki tushikamane tuchape kazi anakuwa na maana gani kwani kwenye kipindi hiki kuna nini?