Mama Samia Suluhu: Rais anawasalimia, anasema tuchape kazi tulete tija kwa Taifa letu

Mama Samia Suluhu: Rais anawasalimia, anasema tuchape kazi tulete tija kwa Taifa letu

Hii serekali iliyofitinika imekubuhu kwa uongo. Kama Rais ni mzima ajitokeze watu wamuone kwani ugumu hapo uko wapi? Wanachofanya ni kudanganya wapumbavu wachache ambao hawajui kuhoji na ambao hawawezi kutenganisha kati ya ukweli na uongo.
Wewe unajua kuhoji Nini?! Huyo Rais ajitokeze ili iwe Nini?
 
Tunashukuru kwa taarifa Mama samia suluhu..

Mheshimiwa anatuma salamu kutokea wapi..??
 
Tuwaulize mabavicha, ilikuwaje mpka mgombea wao akawahakikishia kwamba wakimchagua atawaacha wavinjari tu, hawatabughudhiwa?
Wewe nae ni mshamba, kama sio jinga, kwani kuna ulazima gani wa kutaja bavicha kweny kila comment au ndiyo chawa unajipendekeza upate uteuzi
 
Watajua wenyewe, abaki huko huko asije hadi mwaka 2025 kwenye uchaguzi mwingine, yani abaki huko huko, tusimuone kabisa, yani watu usitafute ugali wa familia yako uanze kuwaza mijitu mingine kwamba wapo wapi,
Shangaa mkuu! Yani wahuni wachache eti ndio wanataka kututengenezea akili kwamba tuwe kama wao
 
Sasa ilkuwaje yule mbelgiji akawaambia bavicha wamchague tu yeye hana noma nao kwenye mambo yao ya faragha?
Kwa sababu serikali imewahakikishia usalama,kwa hiyo nae alikuwa anawapa nguvu kuwa mtaendelea kuwa salama.
 
Wewe nae ni mshamba, kama sio jinga, kwani kuna ulazima gani wa kutaja bavicha kweny kila comment au ndiyo chawa unajipendekeza upate uteuzi
Hao ndio wahuni wenyewe wakiongozwa na lile belgiji
 
Hao wahuni pia ni sehemu ya wale milioni 60 wanaoifanya Tanzania iitwe nchi pia wanachangia kodi.
Hao wahuni wachache wengine wapo kanada wengine ubelgiji,
Ingekuwa kwenye familia tungesema hiyo ni ile mitoto iliachiwa laana na wazazi
 
Back
Top Bottom