Sky Eclat
JF-Expert Member
- Oct 17, 2012
- 57,761
- 216,011
Nikuonyeshe TIN yangu?Kodi gani umelipa wewe
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nikuonyeshe TIN yangu?Kodi gani umelipa wewe
🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣Kuandika hujui! Elimu ya watu wazima!Paja na shule yako hunafaida kwenye jamii.
Amefunga Kula,kunywa,kuona watu na hata kuongea.😂😂😂😂Ubavu wa kusalimia anao ? Si angetusalimia Jana kanisani ? Nini kilimsibu mpaka hukufika kanisani kusalimia , sorry kuhubiri .
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]Hata redioni ukituma salaam lazima utaje unatuma salam toka wapi.
Hapana bana! Hao wahuni ndio utaona September 2025 wanakuja kuwarubuni tena eti nao wawe marais,Wezi wa kura na wapika matokeo ya uchaguzi ndiyo wenye laana.
Labda atumbue mtu ndipo tutaelewa!Taarifa gani zaidi na taarifa wameshatoa, Leo mama Tanga, Mama katoa salam za Rais na kasema watu washikamane, sasa taarifa gani hizo mnazotaka zaidi, kama mpo na taarifa zaidi basi zitolewe. Nawaamini sana Serikali kwa hili kuliko Lissu.
Kama haujui umuhimu wa rais bora ukakaa kimya, unaishi kwa shemeji yako??Wewe unajua kuhoji Nini?! Huyo Rais ajitokeze ili iwe Nini?
Mi nasema kila jambo huwa na mwanzo pia lazima mwisho uwepo pia kama mwanadamu anazaliwa na mwisho anakufa hakuna atakaye ishi milele hivyo hata lifichwe lisifichwe bado tutajua ukweli ni UPI muda tuu ndio unachelewaHii serekali iliyofitinika imekubuhu kwa uongo. Kama Rais ni mzima ajitokeze watu wamuone kwani ugumu hapo uko wapi? Wanachofanya ni kudanganya wapumbavu wachache ambao hawajui kuhoji na ambao hawawezi kutenganisha kati ya ukweli na uongo.
Ni kweli. RAISI WETU YUKO WAPI. Aba hali gani?Mibavicha itakwambia yuko wapi!
Hii mijitu bure kabisa
Ulaji unatokomea kwa kasi ya ajabu. ''Lake Zone'' hawaamini kinachotokea na wamepigwa na butwaa. Walishapanga mpaka 2025 ni muda mrefu sana na ukifika huo wakati katiba itabadishwa ili waendelee kuula. Unajua nini? Magufuli siyo mbaya sana kama inavyoweza kuonekana. Tatizo kubwa liko kwenu wapambe tumbo. Mme-take advantage ya udhaifu wake wa kupenda kuabudiwa na kuambiwa maneno anayopenda kusikia tu, ku-terrorize nchi yetu kwa maslahi yenu. Hazina wapo, Ikulu wapo, TISS wamejazana, Mahakama kuu wapo bila kusahau UVCCM. Tamati iko ukingoni.Hapana bana! Hao wahuni ndio utaona September 2025 wanakuja kuwarubuni tena eti nao wawe marais,
Nakuhakikishia tutawagonga vilivyo, wewe waache waendele na uhuni wao badala ya kufanya mambo ya maana ili angalau hadi 2025 wawe na pakushika.
Vipi mhuni wenu anakuja kugombea tena 2025?Ulaji unatokomea kwa kasi ya ajabu. ''Lake Zone'' hawaamini kinachotokea na wamepigwa na butwaa. Walishapanga mpaka 2025 ni muda mrefu sana na ukifika huo wakati katiba itabadishwa ili waendelee kuula. Unajua nini? Magufuli siyo mbaya sana kama inavyoweza kuonekana. Tatizo kubwa liko kwenu wapambe tumbo. Mme-take advantage ya udhaifu wake wa kupenda kuabudiwa na kuambiwa maneno anayopenda kusikia tu, ku-terrorize nchi yetu kwa maslahi yenu. Hazina wapo, Ikulu wapo, TISS wamejazana, Mahakama kuu wapo bila kusahau UVCCM. Tamati iko ukingoni.
Wahuni ni wanao badilisha matokeo ya uchaguzi.Hapana bana! Hao wahuni ndio utaona September 2025 wanakuja kuwarubuni tena eti nao wawe marais,
Nakuhakikishia tutawagonga vilivyo, wewe waache waendele na uhuni wao badala ya kufanya mambo ya maana ili angalau hadi 2025 wawe na pakushika.