Mama Samia Suluhu: Rais anawasalimia, anasema tuchape kazi tulete tija kwa Taifa letu

Mama Samia Suluhu: Rais anawasalimia, anasema tuchape kazi tulete tija kwa Taifa letu

Watu wagumu kuelewa, kasema kabla ya kuanza safari yake kuja Tanga Alienda kumuaga na ndipo akampa salam hizo kwa wananchi wa Tanga na kwa maana hiyo Rais yuko Ikulu ya Magogoni maana mh. Samia kaanzia safari yake Dar
Urongo mtupu
 
Magufuli hajawahi kupoteza muda kujibizana na wahuni!

Hata kale kabeberu kenu ka amsterdam kaliandika barua wee, lakini hakuna hata mwenyekiti wa kijiji aliepoteza muda kukajibu, sembuse hawa wahuni wa huko Twitter?
mataga ni wabishi aya sasa imetokea nn
 
usipanik mkuu nyie si mnamsikiliza majaliwa na mwigulu ? kazi mnayo, Mungu hadhihakiwi na corona haina utani, ndani ya miezi mitatu corona imekula viongozi zaid ya kumi bado hamwamini kama ipo, UJINGA MZIGO
Mjinga ni wewe na ukoo wenu wote
 
sawa mkuu ila atleast mimi naweza acknowledge ukweli na sio upuuz kama ninyi ikijulikana mnasema uwongo mnaanza kututukana, mmesababisha mzee wa watu kalala majitu ya mboga mboga ni mazuzu
Zuzu ni wewe na ukoo wako wote
 
Walimkamata mzee wa miaka 73bkea kuhoji alipo raisi.Tena akiwa kilabuni.
Btw si tungefunga siku 3 ugonjwa umwishe.

kweli kabisa maombi ya wengi ni maombi ya mungu, tatizo ccm walikuwa wanadhani mheshimiwa ni mungu na wao ni kina yesu kristo au mtume SAW, alafu watu wengine ni mashetani...kosa sana hii
 
Magufuli hajawahi kupoteza muda kujibizana na wahuni!

Hata kale kabeberu kenu ka amsterdam kaliandika barua wee, lakini hakuna hata mwenyekiti wa kijiji aliepoteza muda kukajibu, sembuse hawa wahuni wa huko Twitter?
We endelea tu..!!
 
Back
Top Bottom