Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Urongo mtupuWatu wagumu kuelewa, kasema kabla ya kuanza safari yake kuja Tanga Alienda kumuaga na ndipo akampa salam hizo kwa wananchi wa Tanga na kwa maana hiyo Rais yuko Ikulu ya Magogoni maana mh. Samia kaanzia safari yake Dar
[emoji3][emoji3][emoji3]watoto wa sheteni siku zote ni waongo waongo tuNina clip ya leo ya Mkuu akichapakazi sijui niiweke hapa!! Lakini ngoja kwanza wanaufipa waendelee kutoa mapovu.
mataga ni wabishi aya sasa imetokea nnMagufuli hajawahi kupoteza muda kujibizana na wahuni!
Hata kale kabeberu kenu ka amsterdam kaliandika barua wee, lakini hakuna hata mwenyekiti wa kijiji aliepoteza muda kukajibu, sembuse hawa wahuni wa huko Twitter?
Acha ungesemataga ni wabishi aya sasa imetokea nn
Tulia wewe!!!Acha ungese
Acha ungese
Mjinga ni wewe na ukoo wenu woteusipanik mkuu nyie si mnamsikiliza majaliwa na mwigulu ? kazi mnayo, Mungu hadhihakiwi na corona haina utani, ndani ya miezi mitatu corona imekula viongozi zaid ya kumi bado hamwamini kama ipo, UJINGA MZIGO
Huna hata aibu!! bado unaendelea kujibu mautumbo yako!! huna hata muda wa kuomboleza!! Linafiki likubwa wewe!!Mjinga ni wewe na ukoo wenu wote
Linafiki ni wewe na ukoo wakoHuna hata aibu!! bado unaendelea kujibu mautumbo yako!! huna hata muda wa kuomboleza!! Linafiki likubwa wewe!!
Utakuwa mpumbavu kuyaamini maccmmataga ni wabishi aya sasa imetokea nn
Mjinga ni wewe na ukoo wenu wote
Serikali ya waongo.
Zuzu ni wewe na ukoo wako wotesawa mkuu ila atleast mimi naweza acknowledge ukweli na sio upuuz kama ninyi ikijulikana mnasema uwongo mnaanza kututukana, mmesababisha mzee wa watu kalala majitu ya mboga mboga ni mazuzu
Walimkamata mzee wa miaka 73bkea kuhoji alipo raisi.Tena akiwa kilabuni.yan ni wanafki sana
Walimkamata mzee wa miaka 73bkea kuhoji alipo raisi.Tena akiwa kilabuni.
Btw si tungefunga siku 3 ugonjwa umwishe.
Zuzu ni wewe na ukoo wako wote
We endelea tu..!!Magufuli hajawahi kupoteza muda kujibizana na wahuni!
Hata kale kabeberu kenu ka amsterdam kaliandika barua wee, lakini hakuna hata mwenyekiti wa kijiji aliepoteza muda kukajibu, sembuse hawa wahuni wa huko Twitter?