Mama sasa nimekua, acha kucheza vigodoro huku unatikisa Makalio

Mama sasa nimekua, acha kucheza vigodoro huku unatikisa Makalio

Jirani yangu mmoja hapo dsm, alikuwa hakosi shughuli, siku hiyo kwenye kipaimara naye yuko kwenye kucheza pale giza giza limeanza.

Kijana mmoja alimkata roba la shingo akamtupa huko.

Alivaa pop la shingo.

Mkataze huyo mama yako na asiposikia mtengenezee mazingira wamchape makofi pengine atatuliza mzuka.
 
Mama anatuchezea michezo michafu. Tulimheshinu lkn anakoelekea sasa hatukubali maana tunekuwa wakubwa hatudanganyiki kwa pipi za kulamba
 
Jirani yangu mmoja hapo dsm, alikuwa hakosi shughuli, siku hiyo kwenye kipaimara naye yuko kwenye kucheza pale giza giza limeanza.

Kijana mmoja alimkata robo la shingo akamtupa huko.

Alivaa pop la shingo.

Mkataze huyo mama yako na asiposikia mtengenezee mazingira wamchape makofi pengine atatuliza mzuka.

Mama akodiwe Wahuni wamtwange?
Mama kazidi.
Mbona wamama wa wenzangu Wanajiheshimu
 
Nadhani wa kumlaumu ni baba ilikuwaje kati ya wanawake wote hawa atuchagulie hili limama lijinga
Au alijua hatotangulia mbele ya haki
Ona sasa limama letu linatawanya hadi urithi wetu kwa mahawala wake
 
Kipindi flani naishi maeneo ya uswahilini kuna mmama mswahili alifanikiwa kupata bwana mwenye hela aisee kikipigwa kigoma alikuwa anakuja na Harrier tako la nyani wamama wanayakata huku wamelishika na yeye akiwemoo...anamwaga radhi na hela balaa hapo sometimes wanacheza wamebaki na vichupi wengine uchi ndo nikakumbuka msemo wa UKIPENDA BOGA PENDA NA UA LAKE.. PIA MAMA NI MAMA TU. hata kama anaenda kumwaga radhi mtaani ndo ashakuwa mama japo inauma.
 
Kipindi flani naishi maeneo ya uswahilini kuna mmama mswahili alifanikiwa kupata bwana mwenye hela aisee kikipigwa kigoma alikuwa anakuja na Harrier tako la nyani wamama wanayakata huku wamelishika na yeye akiwemoo...anamwaga radhi na hela balaa hapo sometimes wanacheza wamebaki na vichupi wengine uchi ndo nikakumbuka msemo wa UKIPENDA BOGA PENDA NA UA LAKE.. PIA MAMA NI MAMA TU. hata kama anaenda kumwaga radhi mtaani ndo ashakuwa mama japo inauma.

Sio mama yangu huyo. Alibadilishiwa mtoto akiwa Labor.
Siwezi kuwa na Mama kama huyo.
 
Sio mama yangu huyo. Alibadilishiwa mtoto akiwa Labor.
Siwezi kuwa na Mama kama huyo.
wewe unasema kumwaga radhi... kuna wenzio mama zao wanaleta vijana wadogoo ndani ya nyumba like kila siku acha tu mkuu...!! mitihani ni mingi duniani
 
Asante kwa Bandiko refu Mkuu.

Mama, Baba ni cheo tu, Kinaweza kuvuliwa mda wwote.

KaziKweliKweli/JobTrueTrue
 
Back
Top Bottom