Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mama mswahili sana huyo.Nimeona clip anasema kazaa na mtu tajiri,ambae hamsaidii kutunza mtoto.Wewe Tajiri msaidie Sinyaa kutunza mtoto.
Tangu lini?Jamii Forum syo sehem ya mizaha.
😂 N noma sanaSura ya Kaz anauza vipodozi lakn kwake vimedunda
Anajichubua
Kuiprocess kwani bidhaa?Kishakwambia kila kitu, ni juu yako sasa kui'process' hiyo habari kadri utakavyoona inafaa!
EeeeEeeeeeHeeee!!
Jamaa kishamaliza kazi!
Kidogo hiyo. Ni kama dollar za kimarekani laki mbili.Nomaa sana .. kama mtoa mada ni mkwel basi pesa ni nyoko maana mtu ambae ni kawaida kumiliki m500,600 akanye kwa wadau wake sio mchezo
Parefu mkuu acha masikhara....500m!!??Kidogo hiyo. Ni kama dollar za kimarekani laki mbili.
Sasa kama angejisaidia aibu si yake hiyo 😀Jana kwenye watsap status yangu nilipost meme ya huyu mama sasa kuna sister mmoja mshkaji wangu akaiona akanitext like see hapo chini 👇👇👇👇
View attachment 2627954
Balaa mkuu ndio maana nashangaa kumbe ni mtu anamilik pesa mingi ila ana mambo ya kiwaki namna hii!!??Sasa kama angejisaidia aibu si yake hiyo 😀
SureMkuu nimefurahi kwa jinsi ulivouleta huu uzi, hujampopoa 🙏🙏
Mkumhuke pia ni mama wa mtu fulani, mke au bibi
Tuunganishe dots au tuache?....Ni rafiki mkubwa wa .. .pamoja na mtoto wa wa....
Na kweliamefungua ajaze server
Watanzania wanapenda mtu anayelopokalipoka kwao ndiyoNa kweli
Eti siku moja tu ame trend mpaka wanamuita kwenye vituo vya HabariWatanzania wanapenda mtu anayelopokalipoka kwao ndiyo
Wanawaona wanafaa
Mandonga,wakina mwijaku baba level
Na huyu mama namuona soon atakaribishwa bungeni kama mgeni rasmi
Ova