Mama Sinyali Boss la Kariakoo

Mama Sinyali Boss la Kariakoo

Huyo maza sinyali ana trend ni maza mwenye hela za zake japo zimepungua kidogo

Ni rafiki mkubwa wa davis mosha pamoja na mtoto wa wa rais mstaafu awamu nne

Narudia tena huyo mama ni alikuwa na hela sasa hivi zimeshuka kidogo afu ni mafia mtoto wa mjini hasa siwezi kuandika mengi ila sinyali ni sinyali kweli hana shida ndogo ndogo

Siju majumba magari ya kifahari huyo kushika milion 300 sijui million 600 kwake kawaida tu mbona nyie endeleni kumwona meme ni li boss hilo jitu

Kuna kipindi alitukana ccm wadau niishie hapa.. akajifanya hawajui walimshona vizuri akapendeza😄😄😄hana hamu na siasa hadi leo

Siwezi kuweka full nondo hapa kwa sababu ya heshima ya sinyali pia boss wangu davis mosha nawakubali

Sinyali tajir born town watu wanamuona meme sasa hivi wangemjua vizuri wangesema hadi wanaume kawapita roho ya ujasiri....

Sinyali we boss kubwa mama la kujiamini huyo maza ukimzengua jua anakuzengua mara mia 10000000 hahhaa

Wadau bye bwana nawahi nawahi bajaj za mwenge natoka posta baadae ashampoo hapa
Wanawake kuna kipindi mnajisahau mnadhani mpo salon. Maana hapa ambacho umeandika unakijua wewe na wenzio. Yaani mkiamua kuwa chawa mnakuwa chawa kweli kweli na mkiamua kuchawiana mnachawiana kweli.
 
Huyo maza sinyali ana trend ni maza mwenye hela za zake japo zimepungua kidogo

Ni rafiki mkubwa wa davis mosha pamoja na mtoto wa wa rais mstaafu awamu nne

Narudia tena huyo mama ni alikuwa na hela sasa hivi zimeshuka kidogo afu ni mafia mtoto wa mjini hasa siwezi kuandika mengi ila sinyali ni sinyali kweli hana shida ndogo ndogo

Siju majumba magari ya kifahari huyo kushika milion 300 sijui million 600 kwake kawaida tu mbona nyie endeleni kumwona meme ni li boss hilo jitu

Kuna kipindi alitukana ccm wadau niishie hapa.. akajifanya hawajui walimshona vizuri akapendeza😄😄😄hana hamu na siasa hadi leo

Siwezi kuweka full nondo hapa kwa sababu ya heshima ya sinyali pia boss wangu davis mosha nawakubali

Sinyali tajir born town watu wanamuona meme sasa hivi wangemjua vizuri wangesema hadi wanaume kawapita roho ya ujasiri....

Sinyali we boss kubwa mama la kujiamini huyo maza ukimzengua jua anakuzengua mara mia 10000000 hahhaa

Wadau bye bwana nawahi nawahi bajaj za mwenge natoka posta baadae ashampoo hapa
hii stori ina faida gani kwa jamii ya watu waliovurugwa na mfumuko wa bei? yaani hata wewe uliyeiandika akili zako ni kama haziko sawa..
 
Huyo maza sinyali ana trend ni maza mwenye hela za zake japo zimepungua kidogo

Ni rafiki mkubwa wa davis mosha pamoja na mtoto wa wa rais mstaafu awamu nne

Narudia tena huyo mama ni alikuwa na hela sasa hivi zimeshuka kidogo afu ni mafia mtoto wa mjini hasa siwezi kuandika mengi ila sinyali ni sinyali kweli hana shida ndogo ndogo

Siju majumba magari ya kifahari huyo kushika milion 300 sijui million 600 kwake kawaida tu mbona nyie endeleni kumwona meme ni li boss hilo jitu

Kuna kipindi alitukana ccm wadau niishie hapa.. akajifanya hawajui walimshona vizuri akapendeza😄😄😄hana hamu na siasa hadi leo

Siwezi kuweka full nondo hapa kwa sababu ya heshima ya sinyali pia boss wangu davis mosha nawakubali

Sinyali tajir born town watu wanamuona meme sasa hivi wangemjua vizuri wangesema hadi wanaume kawapita roho ya ujasiri....

Sinyali we boss kubwa mama la kujiamini huyo maza ukimzengua jua anakuzengua mara mia 10000000 hahhaa

Wadau bye bwana nawahi nawahi bajaj za mwenge natoka posta baadae ashampoo hapa
Mirembe panakuhusu😁😁
 
Huyo maza sinyali ana trend ni maza mwenye hela za zake japo zimepungua kidogo

Ni rafiki mkubwa wa davis mosha pamoja na mtoto wa wa rais mstaafu awamu nne

Narudia tena huyo mama ni alikuwa na hela sasa hivi zimeshuka kidogo afu ni mafia mtoto wa mjini hasa siwezi kuandika mengi ila sinyali ni sinyali kweli hana shida ndogo ndogo

Siju majumba magari ya kifahari huyo kushika milion 300 sijui million 600 kwake kawaida tu mbona nyie endeleni kumwona meme ni li boss hilo jitu

Kuna kipindi alitukana ccm wadau niishie hapa.. akajifanya hawajui walimshona vizuri akapendeza[emoji1][emoji1][emoji1]hana hamu na siasa hadi leo

Siwezi kuweka full nondo hapa kwa sababu ya heshima ya sinyali pia boss wangu davis mosha nawakubali

Sinyali tajir born town watu wanamuona meme sasa hivi wangemjua vizuri wangesema hadi wanaume kawapita roho ya ujasiri....

Sinyali we boss kubwa mama la kujiamini huyo maza ukimzengua jua anakuzengua mara mia 10000000 hahhaa

Wadau bye bwana nawahi nawahi bajaj za mwenge natoka posta baadae ashampoo hapa
Huyo sinyali wako kama yeye Mwamba kwa Nini atia huruma,si alijifanya super woman!!??

Sent from my TECNO KC8 using JamiiForums mobile app
 
Mwenyewe anasema jina lake sinyagile
Nasikia ana damu ya kinyakyusa na kichaga
Sinyagile ni jina la kinyaki
Nanukuu maelezo yake
Moyoni nikasema ndio maana jasiri hivi maana
Sinyagile maana yake yamenikuta na kweli yamemkuta dada wa watu hii combo ya mnyak na bwashee ni shidaaa
 
Huyo mama Sinyali anayetrend ni mama mwenye hela za zake japo zimepungua kidogo

Ni rafiki mkubwa wa Davis Mosha pamoja na mtoto wa wa rais mstaafu awamu nne

Narudia tena huyo mama ni alikuwa na hela sasa hivi zimeshuka kidogo afu ni mafia mtoto wa mjini hasa siwezi kuandika mengi ila sinyali ni sinyali kweli hana shida ndogo ndogo

Siju majumba magari ya kifahari huyo kushika milion 300 sijui million 600 kwake kawaida tu mbona nyie endeleni kumwona meme ni li boss hilo jitu

Kuna kipindi alitukana CCM wadau niishie hapa.. akajifanya hawajui walimshona vizuri akapendeza😄😄😄hana hamu na siasa hadi leo

Siwezi kuweka full nondo hapa kwa sababu ya heshima ya sinyali pia boss wangu davis mosha nawakubali

Sinyali tajir born town watu wanamuona meme sasa hivi wangemjua vizuri wangesema hadi wanaume kawapita roho ya ujasiri....

Sinyali we boss kubwa mama la kujiamini huyo maza ukimzengua jua anakuzengua mara mia 10000000 hahhaa

Wadau bye bwana nawahi nawahi bajaj za mwenge natoka posta baadae ashampoo hapa
Pumbavu sana , so alikuja pale kuuza sura ,watu wanazungumzia mambo mazito we waja na utumbo
Je wajua nini kipo nyuma ya pesa hizo au wewe wanjua vizuri kuliko yeye hajijuavyo ?
Wewe na uyu bonge,aka bonge laana inawahusu sana ,

Note sijazungumzia katika utetezi wa alitoa kama mfanyabiashara ,
 
Huyo mama Sinyali anayetrend ni mama mwenye hela za zake japo zimepungua kidogo

Ni rafiki mkubwa wa Davis Mosha pamoja na mtoto wa wa rais mstaafu awamu nne

Narudia tena huyo mama ni alikuwa na hela sasa hivi zimeshuka kidogo afu ni mafia mtoto wa mjini hasa siwezi kuandika mengi ila sinyali ni sinyali kweli hana shida ndogo ndogo

Siju majumba magari ya kifahari huyo kushika milion 300 sijui million 600 kwake kawaida tu mbona nyie endeleni kumwona meme ni li boss hilo jitu

Kuna kipindi alitukana CCM wadau niishie hapa.. akajifanya hawajui walimshona vizuri akapendeza😄😄😄hana hamu na siasa hadi leo

Siwezi kuweka full nondo hapa kwa sababu ya heshima ya sinyali pia boss wangu davis mosha nawakubali

Sinyali tajir born town watu wanamuona meme sasa hivi wangemjua vizuri wangesema hadi wanaume kawapita roho ya ujasiri....

Sinyali we boss kubwa mama la kujiamini huyo maza ukimzengua jua anakuzengua mara mia 10000000 hahhaa

Wadau bye bwana nawahi nawahi bajaj za mwenge natoka posta baadae ashampoo hapa

Trash
 

Huyo Mama Sinyali anayetrend ni mama mwenye hela za zake japo zimepungua kidogo. Ni rafiki mkubwa wa Davis Mosha pamoja na mtoto wa Rais Mstaafu awamu ya nne.

Narudia tena huyo mama ni alikuwa na hela sasa hivi zimeshuka kidogo halafu ni mafia, mtoto wa mjini hasa, siwezi kuandika mengi ila Sinyali ni Sinyali kweli hana shida ndogo ndogo.

Siju majumba, magari ya kifahari, huyo kushika milion 300, sijui millioni 600 kwake kawaida tu mbona, nyie endeleni kumwona meme ni li boss hilo jitu.

Kuna kipindi alitukana CCM wadau niishie hapa...akajifanya hawajui, walimshona vizuri akapendeza[emoji1][emoji1][emoji1]hana hamu na siasa hadi leo.

Siwezi kuweka full nondo hapa kwa sababu ya heshima ya Sinyali, pia boss wangu Davis Mosha nawakubali.

Sinyali tajiri born town watu wanamuona meme sasa hivi, wangemjua vizuri wangesema hadi wanaume kawapita roho ya ujasiri.

Sinyali we boss kubwa mama la kujiamini, huyo mama ukimzingua jua anakuzengua mara mia 10,000,000 hahhaa.

Wadau bye bwana nawahi nawahi bajaji za Mwenge natoka Posta, baadae ashampoo hapa.

Yaani naona watu wamezolewa na yale maneno yake ya jukwaani [emoji1787][emoji1787]

Mama Ana Special seat peponi
 
Back
Top Bottom