Mama Sinyali Boss la Kariakoo

Mama Sinyali Boss la Kariakoo


Huyo Mama Sinyali anayetrend ni mama mwenye hela za zake japo zimepungua kidogo. Ni rafiki mkubwa wa Davis Mosha pamoja na mtoto wa Rais Mstaafu awamu ya nne.

Narudia tena huyo mama ni alikuwa na hela sasa hivi zimeshuka kidogo halafu ni mafia, mtoto wa mjini hasa, siwezi kuandika mengi ila Sinyali ni Sinyali kweli hana shida ndogo ndogo.

Siju majumba, magari ya kifahari, huyo kushika milion 300, sijui millioni 600 kwake kawaida tu mbona, nyie endeleni kumwona meme ni li boss hilo jitu.

Kuna kipindi alitukana CCM wadau niishie hapa...akajifanya hawajui, walimshona vizuri akapendeza😄😄😄hana hamu na siasa hadi leo.

Siwezi kuweka full nondo hapa kwa sababu ya heshima ya Sinyali, pia boss wangu Davis Mosha nawakubali.

Sinyali tajiri born town watu wanamuona meme sasa hivi, wangemjua vizuri wangesema hadi wanaume kawapita roho ya ujasiri.

Sinyali we boss kubwa mama la kujiamini, huyo mama ukimzingua jua anakuzengua mara mia 10,000,000 hahhaa.

Wadau bye bwana nawahi nawahi bajaji za Mwenge natoka Posta, baadae ashampoo hapa.
Amesema jana clouds ..amesema ukiwa na shida yoyot ile kariakoo mtafte ...nikajua huyu Mafia wa dili zote tata..ila mbona mropokaji? Ndo maana basi ccm walimshona!pole zake...ila nimempenda hakati tamaa hata kidogo
 
Sasa kama angejisaidia aibu si yake hiyo 😀
Kama umeshawahi kufanya biashara hilo sio jambo geni! Watu hutoleana mikwara mizito zaidi ya hiyo ila wakishamaliza kulipana pesa tu ...maisha huendelea kama kawaida na utawakuta wanacheka na kupiga story pamoja. Hiyo ndio raha ya biashara
 
Nje ya mada: yule mama pekee upande wa wafanybiashara katika Kamati aliyounda Waziri mkuu si ndiye huyu anayezungumziwa katika sredi hii hapa chini?
Jamani jamani.
Kesi ya mbuzi na tumbili iko kwa mheshimiwa jaji nyani.
 
Namjua vizuri sana huyu mama zaidi ya kuuza vipodozi vya haramu ,hana kitu yoyote uyo!!

Anawadanganya danganya watu kwenye social media.

Yaani
Nimeshangaa watu wamecatch feelings balaa
Hawamjui vyema na hawafanyi research pia.
 
Matajiri wa kariakoo unawajua?

JITAHIDI utofautishe matajiri na watu maarufu

Kuna watu hela zao wanazifinya kimya kimya hawana kelele
Hakuna tajiri anaweza kufinya hela,hela uwa zinasema zenyewe hazihitaji kusemewa na wala haihitaji kumjua mtu kwa sura ndio ujue ana hela na kama umaarufu lazima atakuwa nao kutokana hela zake.
Huyo mama yenu mnayelazimisha aonekane ni tajiri ukimwangalia tu huoni dalili ya utajiri,tajiri hawezi kukoboka sura kwa kupaka vipodozi wanavyopaka madada poa.
 
Hakuna tajiri anaweza kufinya hela,hela uwa zinasema zenyewe hazihitaji kusemewa na wala haihitaji kumjua mtu kwa sura ndio ujue ana hela na kama umaarufu lazima atakuwa nao kutokana hela zake.
Huyo mama yenu mnayelazimisha aonekane ni tajiri ukimwangalia tu huoni dalili ya utajiri,tajiri hawezi kukoboka sura kwa kupaka vipodozi wanavyopaka madada poa.

Pole
Tafuta hela
 
Back
Top Bottom