Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Raha ya biashara kuvua nguo na 💩 hadharani sio ok sawaKama umeshawahi kufanya biashara hilo sio jambo geni! Watu hutoleana mikwara mizito zaidi ya hiyo ila wakishamaliza kulipana pesa tu ...maisha huendelea kama kawaida na utawakuta wanacheka na kupiga story pamoja. Hiyo ndio raha ya biashara
Ili wauze storyEti siku moja tu ame trend mpaka wanamuita kwenye vituo vya Habari
Ni maajabu sana
Umemsahau Pierre liquid [emoji1]
Ukonunuliwa bia na supu ya kongoro una Anza kuabudu watu!!
Huyo Mama Sinyali anayetrend ni mama mwenye hela za zake japo zimepungua kidogo. Ni rafiki mkubwa wa Davis Mosha pamoja na mtoto wa Rais Mstaafu awamu ya nne.
Narudia tena huyo mama ni alikuwa na hela sasa hivi zimeshuka kidogo halafu ni mafia, mtoto wa mjini hasa, siwezi kuandika mengi ila Sinyali ni Sinyali kweli hana shida ndogo ndogo.
Siju majumba, magari ya kifahari, huyo kushika milion 300, sijui millioni 600 kwake kawaida tu mbona, nyie endeleni kumwona meme ni li boss hilo jitu.
Kuna kipindi alitukana CCM wadau niishie hapa...akajifanya hawajui, walimshona vizuri akapendeza[emoji1][emoji1][emoji1]hana hamu na siasa hadi leo.
Siwezi kuweka full nondo hapa kwa sababu ya heshima ya Sinyali, pia boss wangu Davis Mosha nawakubali.
Sinyali tajiri born town watu wanamuona meme sasa hivi, wangemjua vizuri wangesema hadi wanaume kawapita roho ya ujasiri.
Sinyali we boss kubwa mama la kujiamini, huyo mama ukimzingua jua anakuzengua mara mia 10,000,000 hahhaa.
Wadau bye bwana nawahi nawahi bajaji za Mwenge natoka Posta, baadae ashampoo hapa.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] kwanza anavaa madela ya buku 9 ya hapo kkoo, utajiri upiiii tenaa???[emoji1787][emoji1787][emoji1787]Sasa tajiri akashindwa kutumia vipodoz vya kitajiri visivyoharibu ngozi,akenda tumia mikorogo fake ya mahomen?[emoji1787][emoji1787][emoji1787]kupatwa kwa utajiri lol
Sura imekuwa mbaya kama kalioMuuza vipodozi, naona anaogelea kwenye vipodozi mwe!
Mimi mbona picha hazifunguki nisaidie nafeli wapi?Jana kwenye watsap status yangu nilipost meme ya huyu mama sasa kuna sister mmoja mshkaji wangu akaiona akanitext like see hapo chini [emoji116][emoji116][emoji116][emoji116]
View attachment 2627954
Toto la kiboriloni hilo. Hakuna mtoto wa kike aliezaliwa na kukulia apo akaolewa harusi😂😂😂Mama wa "pointment"
"Naomba namba nije chemba"
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Mchaga km mchaga, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Huyo Mama Sinyali anayetrend ni mama mwenye hela za zake japo zimepungua kidogo. Ni rafiki mkubwa wa Davis Mosha pamoja na mtoto wa Rais Mstaafu awamu ya nne.
Narudia tena huyo mama ni alikuwa na hela sasa hivi zimeshuka kidogo halafu ni mafia, mtoto wa mjini hasa, siwezi kuandika mengi ila Sinyali ni Sinyali kweli hana shida ndogo ndogo.
Siju majumba, magari ya kifahari, huyo kushika milion 300, sijui millioni 600 kwake kawaida tu mbona, nyie endeleni kumwona meme ni li boss hilo jitu.
Kuna kipindi alitukana CCM wadau niishie hapa...akajifanya hawajui, walimshona vizuri akapendeza😄😄😄hana hamu na siasa hadi leo.
Siwezi kuweka full nondo hapa kwa sababu ya heshima ya Sinyali, pia boss wangu Davis Mosha nawakubali.
Sinyali tajiri born town watu wanamuona meme sasa hivi, wangemjua vizuri wangesema hadi wanaume kawapita roho ya ujasiri.
Sinyali we boss kubwa mama la kujiamini, huyo mama ukimzingua jua anakuzengua mara mia 10,000,000 hahhaa.
Wadau bye bwana nawahi nawahi bajaji za Mwenge natoka Posta, baadae ashampoo hapa.
Huyu mama nachompendea.. ni jinsi anavyojua kujipenda kwenye gari zake za kutembelea.
Huwa haendeshagi gari za kinyongee.. na huwa mpya mpya tu. Nahisi kila mwaka huwa anabadili gari.. maana kila namba mpya inayotoka unakuta mama sinyaa ana mchuma wenye hiyo namba
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] kwann?? Huyu mama nikikaa nae kwa masaa tyuuh, tunawehukwa woteeeeToto la kiboriloni hilo. Hakuna mtoto wa kike aliezaliwa na kukulia apo akaolewa harusi[emoji23][emoji23][emoji23]
Acheni uongo, mbona analia ada ya mto Hana.
Teh teh nmecheka sana
Wabongo safari wanayo
Ova