James Comey
JF-Expert Member
- May 14, 2017
- 8,759
- 14,831
North Korea, Tanzania, Cuba, China na Urusi ni nchi zilikuwa na viongozi wenye maono tofauti na West na hili liliwafanya kuwa marafiki.
JKN angekuwa hai Tanzania ingekuwa iko BRICS, V. Putin angekuwa ashakuja Tanzania mara kadhaa na tungeona uwakilishi wa Tanzania ktkambo mengi ya kimataifa na China wasingekuwa wanafanya wizi mwingi huu wa leo hapa kwetu. Leo wanafanya kwa kuwa hatujiheshimu na wait hawatuheshimu lakini hao kihistoria ni marafiki zetu dam dam.
JKN angekuwa hai Tanzania ingekuwa iko BRICS, V. Putin angekuwa ashakuja Tanzania mara kadhaa na tungeona uwakilishi wa Tanzania ktkambo mengi ya kimataifa na China wasingekuwa wanafanya wizi mwingi huu wa leo hapa kwetu. Leo wanafanya kwa kuwa hatujiheshimu na wait hawatuheshimu lakini hao kihistoria ni marafiki zetu dam dam.