Tatzo jins ya kumfikia mtoto ndo tatizo yeye hataki wadogo zangu wapajue mtoto wangu anapoishi yeye ana taka niwe natuma hela Tu na Mimi sitaki niwe natuma pesa bila mtoto kujua kama Mimi natuma pesaNunua vitu mpe mwanao achana na mtu anayeliwa mbususu uko na mwanaume mwingine
Mtoto ana miaka 8 nikimwambia nataka kumchukua mtoto ana kataa ana akikuwa mkubwa atakuja nyumban kwetuKama mtoto mkubwa, chukua mwanao peleka kwa bibi au babu yake. Ukipenda kaa naye kama mazingira yanahusu, huyo anatafuta pa kukupiga kupana kwenye hela
Tafuta namna, ama uwe unaenda wewe kwa Bibi wa mwanao umpelekee mwenyewe na Kuacha Hela pale pale kwa Bibi .Akiniambia maitaji ya mtoto nikienda kununua tu nikimwambia nimesha nunua ana kataa kuvipokea kuna vitu nilnunua tokea mwaka juzi mpaka Leo vipo nyumba hataki kupelekewa wala kutuma mtu havifate, yeye ana taka akiniambia begi la shule limeisha na uniform na nguo za kuchezea ni mtumie helaTu nisiende kuvinunua
Sent using Jamii Forums mobile app
[emoji849][emoji849]kumbe!!!
Sawa.Siwezi kumpa hela za matumizi yake binafsi wakati yeye kashaolewa ni mke wa mtu
Sent using Jamii Forums mobile app
Hebu acha uzembe kachukue mtoto au nenda ustawi wa jamii, akifika miaka saba ni haki yako kumchukuaMtoto ana miaka 8 nikimwambia nataka kumchukua mtoto ana kataa ana akikuwa mkubwa atakuja nyumban kwetu
Sent using Jamii Forums mobile app
Yeye ana tengeneza mazingira ya mtoto kujua kuwa Mimi siku muhudumia akiwa mdogo wakati nime muhudumia tokea yuko tumboniTafuta namna, ama uwe unaenda wewe kwa Bibi wa mwanao umpelekee mwenyewe na Kuacha Hela pale pale kwa Bibi .
Bado sioni sababu ya kwann Baby Mama wako aache kuvipokea zaidi ya kutaka hela, ..ni jeuri, uswahili , kwa kuzingatia yeye tayari kaolewa.
Na kwann Pesa uitume kwake yeye ,asoishi na Mwanao ??
Kwann Pesa usiitume kwa Bibi??
ALAFU KUA MAKINI, ANAKUTENGENEZEA MAZINGIRA YA MTOTO KUJUA KWAMBA MAMA YAKE NDO ANAMLEA, NA BABA YAKE KESHAKUFA.
Ivi kweli huwa anamruhusu mtoto kuja kwako??? Au wewe Kumuona ???
Usifanye anavyotaka.
Hatakiwi kukuendesha.
Mtoto ana umri Gani?Nikweli yeye kashaolewa na mwanaume mwingine Mimi na nunua vitu kwaajir ya mtoto wangu lakini yeye hata ana taka niwe natuma pesa ili anunue yeye na Mimi sitaki nataka nimnunulie nguo mwangu nzur nzur maana yeye hajui kuchagua nguo nzur
Sent using Jamii Forums mobile app
[emoji28][emoji28]Kwa kifupi mama watoto ni mshambaMtoto wangu ana penda jeans , bike sasa tatizo mama mtoto hajui kumnunulia nguo ana mnunulia nguo kubwa Yani mtoto wangu akienda nyumban kwetu wadogo zangu Wana nitania
Sent using Jamii Forums mobile app
Miaka 8 na mwanangu nimemlea tokea miaka ziro mpaka sasa miaka 8 , yeye ana leta jeuri kwakua mtoto kashakuwa mkubwa mkubwa hasumbui tena ndiyo maana analeta jeuriMtoto ana umri Gani?
Huwezi mchukua uishi naye?
πππππHapana Mimi napenda mtoto wangu akivaa aoneka anatoka kwenye nchi ya dunia ya Kwanza kwa mabeberu
Sent using Jamii Forums mobile app
Huyu Mama wa mtoto wangu ana tabia ya kukataa vitu ninavyo mnunu lia mtoto wangu yeye ana taka niwe na mtumia hela mfano nime mnunulia mtoto wangu vifaa vya shule na baiskel nika mwambie nakutumia nauli umpe mdogo wako ampeleke mtoto kwa Bibi yake akachukue vitu vyake maana siyo mbali na anapo ishi nauli ni 800 na shangaa ana kataa ana taka nimtumie pesa akanunue yeye, Kwan Mimi kumnunulia nguo mwanangu nikosa na Nili mtumia pesa aka mpigie picha mtoto ili nimkatie mtoto bima ya afya lakin yeye hataki ana sema bima ya afya haisaidii ukienda hospital hakuna dawa Wana kwambia ukanunue eti ni Bora niwe na mtumia hela ya kwenda hospital kuliko kumkatia bima mtoto Mim na mshanga huyu mwanamke
Sent using Jamii Forums mobile app
Siyo hajui kuchagua,bali ananunua za bei cheee.Nikweli yeye kashaolewa na mwanaume mwingine Mimi na nunua vitu kwaajir ya mtoto wangu lakini yeye hata ana taka niwe natuma pesa ili anunue yeye na Mimi sitaki nataka nimnunulie nguo mwangu nzur nzur maana yeye hajui kuchagua nguo nzur
Sent using Jamii Forums mobile app
Yaani wewe ni mnyonge sana,miaka 8,mtoto ni mkubwa kabisaMtoto ana miaka 8 nikimwambia nataka kumchukua mtoto ana kataa ana akikuwa mkubwa atakuja nyumban kwetu
Sent using Jamii Forums mobile app