Mama wa mtoto wangu hataki nimnunulie nguo mwanangu

Mama wa mtoto wangu hataki nimnunulie nguo mwanangu

Nikweli yeye kashaolewa na mwanaume mwingine Mimi na nunua vitu kwaajir ya mtoto wangu lakini yeye hata ana taka niwe natuma pesa ili anunue yeye na Mimi sitaki nataka nimnunulie nguo mwangu nzur nzur maana yeye hajui kuchagua nguo nzur

Sent using Jamii Forums mobile app

Endelea kununua mwaya huyo anataka awe aanmdhulumu mtoto,bima ya afya kata ni ya muhimu mno kuliko unavyofikiri, yeye anasema hivyo kwakuwa hatoi hela,anataka awe anakwambia nadaiwa laki wakati katumia elfu kumi.
 
Kwani wewe hujui kwa Bibi yake mtoto c upeleke wewe

Sent from my TECNO B1p using JamiiForums mobile app
Mtoto ana ishi na mama yake kwaiyo Mimi nikinunua vifaa vya shule na peleka nyumban kwetu ili mtoto aende kuvichukua au natuma mtu apelele sasa yeye hatak ana taka niwe na mtumia pesa tu kuna siku alisema mtoto kapoteza begi la shule pamoja na madaftar Nika mwambia bas atumie begi lake la zamani nikisha nunua begi jipya nita lituma! Baada ya kulinunua beg jipya niki mwambia amtume mtu akalichukue au wadogo zangu wakalipeleke yeye hataki ana taka niwe na mtumia pesa tu ina maana ata kama nimeona kitu Duka cha mtoto nisi mnunulie?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Endelea kununua mwaya huyo anataka awe aanmdhulumu mtoto,bima ya afya kata ni ya muhimu mno kuliko unavyofikiri, yeye anasema hivyo kwakuwa hatoi hela,anataka awe anakwambia nadaiwa laki wakati katumia elfu kumi.
Sasa hivi sinunui kwasababu nilisha nunua nguo na baiskeli zipo nyumba tokea mwaka jana mama yangu akimpigia simu ili wadogo zangu wakike wazipeleke yeye hataki ana zima simu, Na Mimi siwez kumtumia pesa kwaajir ya vitu naamin hata nunua vitu ninavyo vitaka Mimi napenda mtoto awe na mabegi mawili uniform kaptura 4, mashart 4, viatu. Pea3 na Sweta sasa ninavyo jua nikutuma pesa hawez kuvinunua ndiyo maana Mimi nanunua mwenyewe

Sent using Jamii Forums mobile app
 
1. Una uhakika mtoto ni wa kwako? Isije ikawa unatumika tu kama sponsor.

2. Kama kaolewa inakuwa ngumu kupokea vitu kutoka kwako maana yeye ana mtoto mwingine kwenye hiyo ndoa. Sasa atabalance vipi furaha za watoto wake ikiwa mmoja ananunuliwa vitu vizuri na wewe halafu yule mtoto mwingine hana?
Kimalezi inaleta ukakasi kuonekana mtoto mmoja ana maisha mazuri na vitu vizuri zaidi ya mwingine ilhai wako nyukba moja na wanalelewa na baba na mama mmoja.

So tafuta tu pesa uwe unampa. Hawezi kukubali kuugawa upendo baina ya watoto wake wawili. Ngumu sana kwa mwanamke hiyo.
Yaani hii number mbili umemaliza kila kitu...
 
Huyo mwanamke anajenga mazingira ili mtoto ajue anatunzwa na mamaye tu...

Huyo mwanamke inaonekana anapiga pesa kiasi toka kwako...(hii ndio naona sababu kubwa zaidi)

Suluhu:
Tumia muda mwingi sana kukaa na mwanao, mtoe out, ongea naye stori mbili tatu, nenda naye shopping n.k kwa umri alionao atajua nawe upo
 
Mchukue mwanao.

Tumia mabavu akizingua.

Mwambie unakuja kukinukisha hapo Kwa Mume wake.

Usicheke cheke,
Onyesha kuwa hupangiwi, hugusiki na hutaki mchezo.

Usipende mijadala na wanawake,
Toa amri, itekelezwe Kama ni mjeuri mfanyie kihuni.

Usikae kizembe zembe.
 
Huyo mwanamke anajenga mazingira ili mtoto ajue anatunzwa na mamaye tu...

Huyo mwanamke inaonekana anapiga pesa kiasi toka kwako...(hii ndio naona sababu kubwa zaidi)

Suluhu:
Tumia muda mwingi sana kukaa na mwanao, mtoe out, ongea naye stori mbili tatu, nenda naye shopping n.k kwa umri alionao atajua nawe upo
Au amchukue kabisa akae naye...

Baaaas
 
Mtoto ana miaka 8 nikimwambia nataka kumchukua mtoto ana kataa ana akikuwa mkubwa atakuja nyumban kwetu

Sent using Jamii Forums mobile app


Acha kuwa kama mtoto wa kike.

Yaani mtoto wako mwenyewe upangiwe au uombe kumchukua ajabu hii.

Chunguza anapoishi huyo Mzazi mwenza, nenda chukua mwanao.

Wanawake ukiwaletea mambo ya kidemu Kama yako watakuzingua Sana.

Jitahidi kuonyesha wewe ni mwanaume usiyetishwa na Jambo lolote, usiogope kulazwa aero.
 
1. Una uhakika mtoto ni wa kwako? Isije ikawa unatumika tu kama sponsor.

2. Kama kaolewa inakuwa ngumu kupokea vitu kutoka kwako maana yeye ana mtoto mwingine kwenye hiyo ndoa. Sasa atabalance vipi furaha za watoto wake ikiwa mmoja ananunuliwa vitu vizuri na wewe halafu yule mtoto mwingine hana?
Kimalezi inaleta ukakasi kuonekana mtoto mmoja ana maisha mazuri na vitu vizuri zaidi ya mwingine ilhai wako nyukba moja na wanalelewa na baba na mama mmoja.

So tafuta tu pesa uwe unampa. Hawezi kukubali kuugawa upendo baina ya watoto wake wawili. Ngumu sana kwa mwanamke hiyo.


Achukue mwanaye ndio ushauri
 
Huyo jini mnyonya damu dawa yake ni kumchukua mtoto ili asiendelee kukuona zombie.
Hawa wadada wanaoweka kucha za bandia ni wakukaa nao mbali
 
Kama ni mke wa MTU, achana naye ,USIMPE HATA MIA YAKO.

Wewe endelea kufanya unavyofanya.
Kwanza ana hakika ni mwanae? Huwa wanakuwa mpaka na kadi mbili za clinic. Kama ni mwanafunzi Mshauri aende shule aone jina aliloandikishwa halafu aanze mchakato wa kuzungumzia ratiba ya kukaa na mtoto
 
Au amchukue kabisa akae naye...

Baaaas

Jamaa kaaandika mahali fulani kuwa mkewe kamng'ang'ania mtoto...

Sasa kwa kuwa hatujaelezwa sababu ya yeye na mama mtoto kuwa single parents nilifungwa kumpa huo ushauri kama wako...

Jamaa ni kama yupo sawa kwa mtoto kuishi na mama isipokuwa hiyo tabia ya mama ya kutaka kutumiwa pesa ndio haoni ipo sawa...
 
Back
Top Bottom