Monetary doctor
JF-Expert Member
- Oct 20, 2022
- 3,711
- 6,762
Unashauri mkuu nichape asa nikamtongoza asije nitia nzii au nisubr ajae mwenyw.... Nitembee na ndomu kabisa maake Hawa wazeeCHAPA
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Unashauri mkuu nichape asa nikamtongoza asije nitia nzii au nisubr ajae mwenyw.... Nitembee na ndomu kabisa maake Hawa wazeeCHAPA
Weee, Mimi nimesoma hii post sehemu nikajua balozi ni mwanaume, nikajiuliza kwani Hana mke!?. Heee!! Kumbe ni mmama!!! Aiseee!!!View attachment 3194288Huu mwaka wa mama watawamaliza ,kule Zambia huku Tanzania!Piga Tako boyah wewe...
Asante mkuu. Nangoja likizo iishe niondoke. Najua sitokuwa na muda tena kwakuwa nitakuwa busy na mbaliJobless_Billionaire zingatia hili
SawaChai baridi (ICE TEA)
We msubir ajae mwenyew,maana hawachelewag kugeuka hawa jinsia keUnashauri mkuu nichape asa nikamtongoza asije nitia nzii au nisubr ajae mwenyw.... Nitembee na ndomu kabisa maake Hawa wazee
Ni kweli mkuu. Wala si ushamba, ni principles tu kila mmoja anakuwa kajiwekea. Yawezekana kuna watu jambo hili lingekuwa lao wala wasingejudge mara mbili. Wangejilia ndafu kiroho safi halafu wakazibeba outcomes. Kwa mini naona kabisa sitoweza kuhandle matokeo ya hapoAchana nae mkuu , ni bora mkosane lakini usimle muheshimu hata huyo jamaa yako hii ni bro code ! Hebu fanya jamaa siku akajua utajisikiaje usiseme hatajua maana mambo...
😂😂😂 Watu mmechafukwaWe msubir ajae mwenyew,maana hawachelewag kugeuka hawa jinsia ke
Mimi huwa nina utaratibu sinaga haraka na mwanamke alienitaka,mpaka ajae ndo nampasua,asipoonesha dalili za kujaa nampotezea
Sawa mkuuWe nae kaa jinga
Hapo ni either ukutane nae sehemu umwambie ukweli au umpe matumaini mfu, so inategemea na wewe uwezo wako wa kukabiliana nae ukoje, na uepuke kuchat chat nae kwa maana anaweza kukutega bure halafu aje akusingizie kwamba unamtaka.Wakuu habari zenu.
Baada ya kuwa nje kwa muda kidogo, nilipata bahati yalikizo kurudi nyumbani kwaajili ya sherehe za X-mass na mwaka mpya. Nilirudi nyumbani tarehe 10 mwezi ulioisha nakumbuka...
Ok.Mafisi mkae mbali na huu uzi,
Malizia story.Nilishakutana na mama kama huyo yupo 65yrs Ila sasa mara Leo atakwambia hensamu boi.....
Kesho umekula nn Kama wali naye atakula wali....
Watu wana ujasiri , ila kimaadili haifai aseee !Ni kweli mkuu. Wala si ushamba, ni principles tu kila mmoja anakuwa kajiwekea. Yawezekana kuna watu jambo hili lingekuwa lao wala wasingejudge mara mbili. Wangejilia ndafu kiroho safi halafu wakazibeba outcomes. Kwa mini naona kabisa sitoweza kuhandle matokeo ya hapo