Mama wa rafiki yangu ananitaka kimapenzi, kipi nifanye kumuepuka?

Kwani una miaka mingapi labda ?
 
m
mkuu hili haliko inline na universe, mwisho wake ni aibu, kuoza na kuliwa na wadudu.. pinga hili kwa akili yako yote ya kiume na Mungu kama nguzo.
 
USITHUBUTU, WALA USIJARIBU KABISA. UKIFANYA TU. MAJUTO YAKE YATAKUJA KUWA MAKUBWA SANA.
 
Fanya harakahrka usifanyie hisia, alisikika binti mmoja akiniambia
 
Nitaleta mrejesho nikienda kukutana nae
Duuh,
Mbona unakubali kuingia kingi kirahisi hivyo. Ukienda utaweza kuchomoa kweli?

Hallooo, ghafla tu utageuka kuwa babaake rafiki yako!!

Sidhani kama huyo mama anakosa mbaba wa kumtoa upwiru, itakuwa ana tamaa na vijana tu.

Inasikitisha mnoo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…