Mama wa rafiki yangu ananitaka kimapenzi, kipi nifanye kumuepuka?

Huyo hakufai, nipe namba yake. Kingine, ni je anavaa kigaidi (maguina usoni na kichwani) Kama ndiyo basi usinipe namba yake.
 
Wanaume tumeumbwa kutumia akili. Hadi hapo unastahili tuzo maalum.Endelea kutumia akili hivyo hivyo utafikia muafaka mzuri tu. Hisia weka kando. Mambo madogo Sana hayo!
 
Huyo ni mbwa na mwanga. Nashauri akizidi kukusumbua, mwambie mama yako ili amalize ugomvi. Kalba ya kufanya hivyo, hakikisha unapata ushahidi asije kukuruka. Unaweza kwenda huko atakako na kumrekodi ili ukimwambia bi mkubwa uwe na ushahidi wa kumvua nguo
 
Acha ujinga kijana. Nipe namba yake mara moja, ili rafiki yako naye apate baba sahihi wa kufikia. Kamwe usimsogelee mama wa rafiki yako. Utalaaniwa.
 
Hongera kwa kujua kwamba Huyo ni mama wa lafiki yako

Na sisitiza mama was lafiki yako
 
Mkuu mpotezee tu uyo mama usije tengeneza uhadui baina yako na rafiki yako nyege za dakika mbili zisije zikaaribu furaha yako ya maisha yako
 
Dogo cha kukushauri ambacho ni cha msingi kuliko huo urafiki wako na jamaa yako ni kulinda AFYA YAKO!!! mwambie huyo MUMAMA muende hospitali apime HIV,KASWENDE(SYPHILIS),HEPATITIS-B,U.T.I apime na Herps simplex virus (HSV).

Majibu yakija yente na uyashuhudie na uwepo wakati wa kupewa majibu.Nenda kaichape kiroho safi usimnyime binadamu mwenzako vitu ulivyopewa bure.Akigoma kupima jua ANAMIWAYA toka nduki usije ungwa kwenye GRID ya Taifa🤝

Mpe show kali alafu msikilizie akitaka tena mpee mtoto wa makamo kalilia wembe mpe umkate alaahh😄😄😄.

Swala la rafiki yako inabidi kwanza utambue nini maana ya urafiki,pia huo urafiki wenu unafaida yoyote kiasi kwamba ukivunjika utakuletea hasara yoyote ya msingi au ni urafiki wa kishkaji tu.

Dogo mambo madogo kama haya unashindwa kuyamaliza wewe kama mwanaume, ndomaana ndoa ilikushinda ukaacha mke. Mwanaume unatakiwa uwe na uwezo mkubwa wa akili,kifua na kaba koo.

mzabzab mpe bwanamdogo miongozo ache ukondoo,chance haziji mara mbili.
 
Golden chance never comes twice.
 
Weka kwa mizani umuhimu wa uyo rafiki yako na faida za ww kua na mama yake ukipata majibu chukua hatua

Mama wa rafiki ni mama yako na usisahau kuna laana
 
Achana naye bana, atakuchezea na kukuharibia maisha.
Akiendelea kukusumbua ni PM dawa za watu wa hivyo ninayo
 
Story nzima inaonesha na wewe una ka uhuni flani!
Unaendaje kwa mama wa rafiki yako unakaa kuanzia mchana mpaka saa 3 usiku.
Mnaongea nini cha kuchukua muda huo!?
What do you share in common!?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…