Mama wa TRA akutwa amefariki Bunju Beach, mume wake naye amepotea

Mama wa TRA akutwa amefariki Bunju Beach, mume wake naye amepotea

Hii kauli ya mshahara wa dhambi ni mauti ina maana wema hawafi au?
Katika Taswira ya Kidunia ...

Mkuu kadiri unavyotenda maovu, ndio ambavyo unafupisha siku zako za uhai.


Yaan kama ilitakiwa uishi miaka 95.

Unaishi miaka 40 tu.


Wakati mtenda MEMA, anaendelea kula miaka mpaka 90 huko

Katika Taswira ya Kiroho....


MTU mwovu akifa, hana nafasi tena ya uzima wa pili...yeye atasubiri Adhabu ya moto tu.


Mwema akikata upepo Leo, anayo nafasi ya kuishi milele katika uzima wa pili.
 
Kama hujaoa , Weee kua nao wengi tu wakutosha ,na usiwapende kwa dhati.


Yaan usipende kiasi kwamba hata umkute analiwa nje hapo, Unajipitia zako kimya kimya.

Huyooooooo...Yann malumbano ?? Akili yake.... Papuchi yake[emoji23][emoji23]


Wewe ukiletewaa, Vaa ndomu pigaaa pigaaa, arudi kwake , siku isonge.


Mausenge sengee ,ohoooo Baby siwez ishi bila wewe..ohoooo baby wee ni Moyo wangu, ohoooo baby weee nikila kitu kwangu ...mamaeeee zako.


Unayempenda, naye anampenda mwingine, mwingine naye anampenda mwingine ,naye ana mwingine.
Mafundisho ya kidini yanakataza hicho unachokisema, na hata kiafya sio kitu sahihi.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Katika Taswira ya Kidunia ...

Mkuu kadiri unavyotenda maovu, ndio ambavyo unafupisha siku zako za uhai.


Yaan kama ilitakiwa uishi miaka 95.

Unaishi miaka 40 tu.


Wakati mtenda MEMA, anaendelea kula miaka mpaka 90 huko

Katika Taswira ya Kiroho....


MTU mwovu akifa, hana nafasi tena ya uzima wa pili...yeye atasubiri Adhabu ya moto tu.


Mwema akikata upepo Leo, anayo nafasi ya kuishi milele katika uzima wa pili.
Katika taswira ya dunia mbona uwa tunasema wema hufa mapema. Kuna watoto wadogo wanakufa mapema. Ila sasa njoo kwa wauaji unakuta linaishi hadi uzeeni
 
Kuna Mchiz wangu tumemzika juzi kati .


Jamaa alikua anajipigia LIMAMA LIMOJA Liko Mahakamani....Mume wake yuko Kitengo.


Jamaa, akawa analipiga weee, baadae Jamaa akaliambiaga Limama, Limpe 10M aliuzie gari yake.


Nikama likabeba 10 M likampa mchizi.


Mchizi akala kona, hakumpa Gari, wala nn ,na mapenzi yakaisha.



Jimama, nikawa linaogopa kumwambia Mumewe ,maana likimwambia inshu itabuma kwake.




Sisi hatujui Jimama limedeal vipi ... Mwamba (Mjeda) kaumwa Kichwa ghafla, kalazwa, kakata upepo.



SIKU HIZI HATA CHA MWANAMKE HAKILIWI [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Anakuzidi kipato, anakudharau.

Mbaya zaidi Ananza kuliwa Ovyoovyo , kiasi cha wewe kujua kua analiwa.



Mshahara wa Dhambi ni Mauti.



Kuliwa liweni, ila liweni kwa Staha basi...



siku hizi ni Utamaduni kua na Mchepuko/michepuko


Maisha ya naenda kasi sana, hiki kizazi cha FB ,IG, Twt, Tktok ,Badoo, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]


Bladifakeni.
Indeed.
 
Kama hujaoa , Weee kua nao wengi tu wakutosha ,na usiwapende kwa dhati.


Yaan usipende kiasi kwamba hata umkute analiwa nje hapo, Unajipitia zako kimya kimya.

Huyooooooo...Yann malumbano ?? Akili yake.... Papuchi yake[emoji23][emoji23]


Wewe ukiletewaa, Vaa ndomu pigaaa pigaaa, arudi kwake , siku isonge.


Mausenge sengee ,ohoooo Baby siwez ishi bila wewe..ohoooo baby wee ni Moyo wangu, ohoooo baby weee nikila kitu kwangu ...mamaeeee zako.


Unayempenda, naye anampenda mwingine, mwingine naye anampenda mwingine ,naye ana mwingine.
Nakuelewa sana mkuu!
 
Kuna Mchiz wangu tumemzika juzi kati .


Jamaa alikua anajipigia LIMAMA LIMOJA Liko Mahakamani....Mume wake yuko Kitengo.


Jamaa, akawa analipiga weee, baadae Jamaa akaliambiaga Limama, Limpe 10M aliuzie gari yake.


Nikama likabeba 10 M likampa mchizi.


Mchizi akala kona, hakumpa Gari, wala nn ,na mapenzi yakaisha.



Jimama, nikawa linaogopa kumwambia Mumewe ,maana likimwambia inshu itabuma kwake.




Sisi hatujui Jimama limedeal vipi ... Mwamba (Mjeda) kaumwa Kichwa ghafla, kalazwa, kakata upepo.



SIKU HIZI HATA CHA MWANAMKE HAKILIWI [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Kukata upepo ndio kufariki[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Nilicheka sana siku moja nikiwa natuma salamu za mpalange kwa dada mmoja nikawa nafurahia huku nalia yule Dada hakuamini. Nilimuomba tukeshe akakubali cha ajabu yeye kesho yake aliomba abaki na mimi kwa siku 3 zaidi.

Amakweli Buza kumenoga lami kama zote. Dodosa usiulize swali.
 
Anakuzidi kipato, anakudharau.

Mbaya zaidi Ananza kuliwa Ovyoovyo , kiasi cha wewe kujua kua analiwa.



Mshahara wa Dhambi ni Mauti.



Kuliwa liweni, ila liweni kwa Staha basi...



siku hizi ni Utamaduni kua na Mchepuko/michepuko


Maisha ya naenda kasi sana, hiki kizazi cha FB ,IG, Twt, Tktok ,Badoo, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]


Bladifakeni.
Mtu akiliwa unaachana naye... kuua sio suluhu
 
NASEMAGA SIKU ZOTE ,MKIWA KWENYE MAHUSIANO UKIONA HAMUELEWANI BORA
MMWAGANE,KILA ACHUKUE NJIA YAKE!

SEMA SASA KUNA WENGINE HAWAKUBALIANI
NA HALI HIYO,KUUSHINDA NAFSI NGUMU SANA
MWISHO WAKE HAPO NI KUUMIZANA,KUTIANA VILEMA,KUTOANA UHAI

ova
 
Doctor.....!
Naam naaam Mkuu, Wanawake tuliumbiwa sisi wanaume.

Sisi wanaume ndio wamiliki wa wanawake.

Ni watumwa Wetu hao.


Ndio maana Joyce Kiria alikua anatunanga weeeee ,nakujiona Feminist, lkn unaona mwisho wasiku kaingia penzin upya, kwa sababu ASINGEWEZA KUISHI BILA MWANAUME kwa umri wake.


Sasa sisi wanaume tufanyeje ???


Kwa kua mpira uko kwetu, na mabadiliko ya mazingira na maisha ,yewabadilisha wao pia..... Hatupaswi kuacha kuwashughulikia.


Kwa sasa tuwashughulikie tukiwa na Akili kichwani, Tusiwape Moyo wala nn.


Muishi kama vile kesho atasepa....USIWEKEZE MOYO. USIWEKEZE AKILI, USIWEKEZE NGUVU, USIWEKEZE PESA,..KWA UFUPI USIFANYE UWEKEZAJI UNAOJUA ,SIKU AKISEPA, UTAKUFWAAA




Alafu kama umegundua Kitu.... WANAWAKE SIKU HIZI NAO WANATAGETI ZAO, YAAN NAWAO SAIZI WANAINGIA KIMAHESABU MNOOO,... HUMJALI . NO FREE PAPUCHI.




Kama anakuelewa ,anakuelewa tu na atajua hapa Mwamba Niko naye kuchapana miti tuu .... Akikubali Poa....asipokubali Poa.

Kwan Utakufa???? Mpaka uanze kuhangaika wee kumvuta. Utumie pesa, nguvu,Moyo,akili..kumshawishi awe wako.... ...unategemea siku ukijua, anakusaliti utafanyaje ????.



UNAPOKUTANA NA DEMU, ASSUME KUA ANA BWANA AU MABWANA ZAKE... IVO USIJIPE USIPESHOO SANA KWENYE MAISHA YAKE.


HAMNA MWANAMKE SINGO.!!.
 
Naam naaam Mkuu, Wanawake tuliumbiwa sisi wanaume.

Sisi wanaume ndio wamiliki wa wanawake.

Ni watumwa Wetu hao.


Ndio maana Joyce Kiria alikua anatunanga weeeee ,nakujiona Feminist, lkn unaona mwisho wasiku kaingia penzin upya, kwa sababu ASINGEWEZA KUISHI BILA MWANAUME kwa umri wake.


Sasa sisi wanaume tufanyeje ???


Kwa kua mpira uko kwetu, na mabadiliko ya mazingira na maisha ,yewabadilisha wao pia..... Hatupaswi kuacha kuwashughulikia.


Kwa sasa tuwashughulikie tukiwa na Akili kichwani, Tusiwape Moyo wala nn.


Muishi kama vile kesho atasepa....USIWEKEZE MOYO. USIWEKEZE AKILI, USIWEKEZE NGUVU, USIWEKEZE PESA,..KWA UFUPI USIFANYE UWEKEZAJI UNAOJUA ,SIKU AKISEPA, UTAKUFWAAA




Alafu kama umegundua Kitu.... WANAWAKE SIKU HIZI NAO WANATAGETI ZAO, YAAN NAWAO SAIZI WANAINGIA KIMAHESABU MNOOO,... HUMJALI . NO FREE PAPUCHI.




Kama anakuelewa ,anakuelewa tu na atajua hapa Mwamba Niko naye kuchapana miti tuu .... Akikubali Poa....asipokubali Poa.

Kwan Utakufa???? Mpaka uanze kuhangaika wee kumvuta. Utumie pesa, nguvu,Moyo,akili..kumshawishi awe wako.... ...unategemea siku ukijua, anakusaliti utafanyaje ????.



UNAPOKUTANA NA DEMU, ASSUME KUA ANA BWANA AU MABWANA ZAKE... IVO USIJIPE USIPESHOO SANA KWENYE MAISHA YAKE.


HAMNA MWANAMKE SINGO.!!.
Wanawake asilimia kubwa sahv maslahi mbele

Ndoa zenyewe wanafunga kimaslahi tu hawana mapenzi ya dhati, wapo pia baadhi ya wanaume wako hivyo ila wanawake wamezidi

Ova
 
Mauaji yapo toka zamani
Sema sahvi sim na mitandao ya kijami
Imefanya habari kupatikana kwa kasi


Sumbawanga huko kuna mme kamkata mke wake masikio kaondoka nayo

Ova
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] nimecheka mazuri aisee hii dunia ngumu sana.
 
NASEMAGA SIKU ZOTE ,MKIWA KWENYE MAHUSIANO UKIONA HAMUELEWANI BORA
MMWAGANE,KILA ACHUKUE NJIA YAKE!

SEMA SASA KUNA WENGINE HAWAKUBALIANI
NA HALI HIYO,KUUSHINDA NAFSI NGUMU SANA
MWISHO WAKE HAPO NI KUUMIZANA,KUTIANA VILEMA,KUTOANA UHAI

ova
Nakubaliana nawewe.

Kuna kosa kubwa hufanywa na sisi wanaume.


Unaona kabisa mwanamke hakupendi , nikm wee ndo unapambana kuyaweka mahusiano yenu.


PENZI HALITAKIWI KUA LA UPANDE MMOJA.


Kadiri unavyopambana kumuwin MWANAMKE atulie kwako, ndivo unavyowekeza ubongo wako, muda nahisia zako ,yaan unakua Addicted nahuyo Mwanamke.

Na bila wewe kujijua, subconscious mind yako inamtafasiri mwanamke huyo kua ndo chanzo cha FURAHA na maisha yako.



Kitakachokutokea siku ukijua anapigwa na WAHUNI[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Utafurahi na shoooo.


Usimweke mwanamke kichwan, wee muweke machoni mwako tu hapo basi.


Ukiwa naye enjoy..... Akiwa mbali, achana na mambo ya kumuwaza.
 
Back
Top Bottom