cariha
JF-Expert Member
- Apr 9, 2015
- 22,077
- 46,549
Katumiwa ujumbe na jirani wa hao watuJoyce Kiria ni mropokaji tu, yeye alikuwepo kipindi huyo jamaa anakimbia ?
Sent using Jamii Forums mobile app
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Katumiwa ujumbe na jirani wa hao watuJoyce Kiria ni mropokaji tu, yeye alikuwepo kipindi huyo jamaa anakimbia ?
Sent using Jamii Forums mobile app
Mmedhibitisha vipi? Labda na yeye kauwawa? Au katekwa?Huyo mama nimeona kwa Joyce kiria kuwa mume kamuua na kukimbia
Kwa hiyo ndio atasikia sasaSumbawanga huko kna mme kamkata mke wake maskio yote mawili kaondoka nayo
Mme anasema mke alikuwa hasikii
Ova
Naona kaamua kumkomoaaaKwa hiyo ndio atasikia sasa
Hii Hoja Yako naipinga hao watu wakushinda kanisani ni wabaya sana Kuna kipindi nikiwa Chuo Kuna mdada alikuwa amezama sana kwenye neno na alikuwa na mchumba wake huko mkoa mwingine ambaye alikuwa kikazi na huyo mchumba wake alikuwa ameshika neno huwezi amini yule mdada nilikua nikimla Hadi Mda mwingine anakuja tunalala Hadi asubuhi kwao wanajua Yuko mkesha wa maombi imagine demu anakuja na bible geto hii Dunia iache tu, Hadi walivyo oana ndiyo penzi likawa limeisha coz alienda kuishi Kwa mme wake mkoaniM naweza msinielewe
Kama una mpango wa KUOA sasa..
Itazame Dunia Kwenye Engo ya Utandawazi ..
Itazame kwenye Engo ya Maadili
Itazame kwenye Engo ya Ushetani.
Itazame kwenye Engo ya Uchaji Mungu.
Alafu jiulize, HUYO UNAYETAKA KUMUOA, ANAHOFU NA MUNGU??? ATAFANYA NYUMBA YAKO IBARIKIWE ???.
ni Mara mia, Kuzalisha ,uwe na watoto wako hata wanne, wa wanawake tofauti..LAKINI SIO UBEBANE NA MFUPA ULOMSHINDA FISI.
Kwa Dunia ya sasa tulonayo, ambayo Suala la Uchaji Mungu linazidi kupotea, WATU hawana mpango na Mungu, WATU ni ushetani tuu.
UKIPATA KABINTI SIO KAZURI KWA SURA, WALA UMBO, LAKINI KANASWALI, KANASALI KWA MOYO WAKE WOTE, NA AKILI ZAKE ZOTE NA NGUVU ZAKE ZOTE ..KAOE CHAPCHAP.
achana na minyama minyama hiyo ,mihips ,mikalio, Ndoa sio mikalio, ndoa sio minyama , mihips .
My Love,, Mwanaume atavumilia yote yampayo jaziba.Mpenzi, mbona umejampu tu konklusheni wakati hata stori haijakamilika
Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app
Mimi hao walokole nawala sana na vile napiga kinanda kwenye kwayaHii Hoja Yako naipinga hao watu wakushinda kanisani ni wabaya sana Kuna kipindi nikiwa Chuo Kuna mdada alikuwa amezama sana kwenye neno na alikuwa na mchumba wake huko mkoa mwingine ambaye alikuwa kikazi na huyo mchumba wake alikuwa ameshika neno huwezi amini yule mdada nilikua nikimla Hadi Mda mwingine anakuja tunalala Hadi asubuhi kwao wanajua Yuko mkesha wa maombi imagine demu anakuja na bible geto hii Dunia iache tu, Hadi walivyo oana ndiyo penzi likawa limeisha coz alienda kuishi Kwa mme wake mkoani
Nyege ni nyege tu, haina mbadala. Pia maisha hayana formula.M naweza msinielewe
Kama una mpango wa KUOA sasa..
Itazame Dunia Kwenye Engo ya Utandawazi ..
Itazame kwenye Engo ya Maadili
Itazame kwenye Engo ya Ushetani.
Itazame kwenye Engo ya Uchaji Mungu.
Alafu jiulize, HUYO UNAYETAKA KUMUOA, ANAHOFU NA MUNGU??? ATAFANYA NYUMBA YAKO IBARIKIWE ???.
ni Mara mia, Kuzalisha ,uwe na watoto wako hata wanne, wa wanawake tofauti..LAKINI SIO UBEBANE NA MFUPA ULOMSHINDA FISI.
Kwa Dunia ya sasa tulonayo, ambayo Suala la Uchaji Mungu linazidi kupotea, WATU hawana mpango na Mungu, WATU ni ushetani tuu.
UKIPATA KABINTI SIO KAZURI KWA SURA, WALA UMBO, LAKINI KANASWALI, KANASALI KWA MOYO WAKE WOTE, NA AKILI ZAKE ZOTE NA NGUVU ZAKE ZOTE ..KAOE CHAPCHAP.
achana na minyama minyama hiyo ,mihips ,mikalio, Ndoa sio mikalio, ndoa sio minyama , mihips .
Sure huo utofauti ulimfanya mwanaume ajione sio mwanaume kamili. In short muuza kitimoto aliolewaYani Mama TRA Mzee Mpishi wa kitimoto? Mauaji Ni Lazima!
Huyo alikuwa msanii hajazama kwenye neno kama unavyodaiHii Hoja Yako naipinga hao watu wakushinda kanisani ni wabaya sana Kuna kipindi nikiwa Chuo Kuna mdada alikuwa amezama sana kwenye neno na alikuwa na mchumba wake huko mkoa mwingine ambaye alikuwa kikazi na huyo mchumba wake alikuwa ameshika neno huwezi amini yule mdada nilikua nikimla Hadi Mda mwingine anakuja tunalala Hadi asubuhi kwao wanajua Yuko mkesha wa maombi imagine demu anakuja na bible geto hii Dunia iache tu, Hadi walivyo oana ndiyo penzi likawa limeisha coz alienda kuishi Kwa mme wake mkoani
Wapiga vinanda na walimu wa kwaya wanavuruga wadada wa sauti ya Kwanza [emoji23][emoji23]Mimi hao walokole nawala sana na vile napiga kinanda kwenye kwaya
Mkuuu unachosema nikweli, Mimi nasemea Mwanamke anayeswali/kusali kwa Moyo wake wote, yaaan yule anayefanya hayo sababu anajua Maisha yake ni Mwenyezi Mungu, kwamba kila kilicho chake ni kwasababu ya Mungu.Hii Hoja Yako naipinga hao watu wakushinda kanisani ni wabaya sana Kuna kipindi nikiwa Chuo Kuna mdada alikuwa amezama sana kwenye neno na alikuwa na mchumba wake huko mkoa mwingine ambaye alikuwa kikazi na huyo mchumba wake alikuwa ameshika neno huwezi amini yule mdada nilikua nikimla Hadi Mda mwingine anakuja tunalala Hadi asubuhi kwao wanajua Yuko mkesha wa maombi imagine demu anakuja na bible geto hii Dunia iache tu, Hadi walivyo oana ndiyo penzi likawa limeisha coz alienda kuishi Kwa mme wake mkoani
Hawa ni mama zetu ila akili zao wanazijua wenyewe.Kaondoka na sikio zote,mme alimwambia we si unajifanya husiki kamfyekaaa, jamaa kauzu
Ova
Unamzungumzia Chacha Wivu wa mapenzi umemponza sasa hivi anakula maharage ya bure LupangoSumbawanga huko kna mme kamkata mke wake maskio yote mawili kaondoka nayo
Mme anasema mke alikuwa hasikii
Ova
100%[emoji818][emoji818][emoji818][emoji818][emoji818][emoji818][emoji818][emoji818]Huyo alikuwa msanii hajazama kwenye neno kama unavyodai
Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app
Huko Kwenye madhabahu wanavuana sana chupi ogopa sana watu wa dini hakuna chakuzama Wala kudumbukia ni usanii tu dini ni vichaka vya watu kutimiza malengo yaoMkuuu unachosema nikweli, Mimi nasemea Mwanamke anayeswali/kusali kwa Moyo wake wote, yaaan yule anayefanya hayo sababu anajua Maisha yake ni Mwenyezi Mungu, kwamba kila kilicho chake ni kwasababu ya Mungu.
Mdau mmoja kasema,naili umpate huyo lazima nawewe umshirkishe Mungu.
Nikweli uliowazi, saizi kuna watu wanaficha maovu yao kupitia Dini., wengine wanaenda kwa sababu ndio Tumaini lamwisho lilobakia.
Wanaitumia vibaya tu. Mauti yanayozungumzwa kwenye biblia siyo haya tuliyoyazoea. Mauti ya kibiblia kutengana na Mungu milele. Haya mauti tuliyonayo Sasa hayachagui uwe mwema au mwenye dhambi wote inawapitia tu.Hii kauli ya mshahara wa dhambi ni mauti ina maana wema hawafi au?