Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kuna kukengeuka pia. Shetani hakuumbwa akiwa shetani.Hayo yote ili tuweze kufanikiwa kabla ya kupata mwenza ni kumshirikisha Mungu tu,kuanzia kumpata mahusiano mpaka ndoa izo hatua zote ukimshirikisha Mungu umefaulu sana
Ameshakamatwa? Naskia anamaishu mengi sana ya kunyanyasa wanawake na polishi wanamfahamu huwa anawahonga. Sasa ahonge na hili la kukata mtu masikioUnamzungumzia Chacha Wivu wa mapenzi umemponza sasa hivi anakula maharage ya bure Lupango
Sent from my TECNO-L8 using JamiiForums mobile app
Naona leo umeguswa unatema madini tu.M naweza msinielewe
Kama una mpango wa KUOA sasa..
Itazame Dunia Kwenye Engo ya Utandawazi ..
Itazame kwenye Engo ya Maadili
Itazame kwenye Engo ya Ushetani.
Itazame kwenye Engo ya Uchaji Mungu.
Alafu jiulize, HUYO UNAYETAKA KUMUOA, ANAHOFU NA MUNGU??? ATAFANYA NYUMBA YAKO IBARIKIWE ???.
ni Mara mia, Kuzalisha ,uwe na watoto wako hata wanne, wa wanawake tofauti..LAKINI SIO UBEBANE NA MFUPA ULOMSHINDA FISI.
Kwa Dunia ya sasa tulonayo, ambayo Suala la Uchaji Mungu linazidi kupotea, WATU hawana mpango na Mungu, WATU ni ushetani tuu.
UKIPATA KABINTI SIO KAZURI KWA SURA, WALA UMBO, LAKINI KANASWALI, KANASALI KWA MOYO WAKE WOTE, NA AKILI ZAKE ZOTE NA NGUVU ZAKE ZOTE ..KAOE CHAPCHAP.
achana na minyama minyama hiyo ,mihips ,mikalio, Ndoa sio mikalio, ndoa sio minyama , mihips .
Lipo bado na dadi wa efathaJeshi la police linasemaje juu ya tukio hilo,,,
Ruka ruka kama maharage yapo kwenye sufuria motoni ila tambua kuna siku utaoa hafu watu wa aina yako huwa wanakamatwa sana na wake zao hata kutamba huweziNaam naaam Mkuu, Wanawake tuliumbiwa sisi wanaume.
Sisi wanaume ndio wamiliki wa wanawake.
Ni watumwa Wetu hao.
Ndio maana Joyce Kiria alikua anatunanga weeeee ,nakujiona Feminist, lkn unaona mwisho wasiku kaingia penzin upya, kwa sababu ASINGEWEZA KUISHI BILA MWANAUME kwa umri wake.
Sasa sisi wanaume tufanyeje ???
Kwa kua mpira uko kwetu, na mabadiliko ya mazingira na maisha ,yewabadilisha wao pia..... Hatupaswi kuacha kuwashughulikia.
Kwa sasa tuwashughulikie tukiwa na Akili kichwani, Tusiwape Moyo wala nn.
Muishi kama vile kesho atasepa....USIWEKEZE MOYO. USIWEKEZE AKILI, USIWEKEZE NGUVU, USIWEKEZE PESA,..KWA UFUPI USIFANYE UWEKEZAJI UNAOJUA ,SIKU AKISEPA, UTAKUFWAAA
Alafu kama umegundua Kitu.... WANAWAKE SIKU HIZI NAO WANATAGETI ZAO, YAAN NAWAO SAIZI WANAINGIA KIMAHESABU MNOOO,... HUMJALI . NO FREE PAPUCHI.
Kama anakuelewa ,anakuelewa tu na atajua hapa Mwamba Niko naye kuchapana miti tuu .... Akikubali Poa....asipokubali Poa.
Kwan Utakufa???? Mpaka uanze kuhangaika wee kumvuta. Utumie pesa, nguvu,Moyo,akili..kumshawishi awe wako.... ...unategemea siku ukijua, anakusaliti utafanyaje ????.
UNAPOKUTANA NA DEMU, ASSUME KUA ANA BWANA AU MABWANA ZAKE... IVO USIJIPE USIPESHOO SANA KWENYE MAISHA YAKE.
HAMNA MWANAMKE SINGO.!!.
Mauaji haya yamezidiAna ushahidi huyo joyce Kiria?i dont trust that illiterate bitch!
Madini wapi pumba tu hizo[emoji1787][emoji1787]Naona leo umeguswa unatema madini tu.
Mambo mengi ya nini mtu umeshaona hakuthamini sepa habari ya kuanza kujitia nuksi kisa mbususu inahusu?My Love,, Mwanaume atavumilia yote yampayo jaziba.
Lakini kwenye suala la Usaliti, suala linalogusa Hisia zake, Heshima yake kama Mume.
ATAKUFANYIA KITU MBAYA KAMA HANA MOYO MGUMU.
Mkuu weka sahv ,tupate taarifa kamiliNimepata taarifa kamili nitawawekea kesho tukio
Kama hujaoa , Weee kua nao wengi tu wakutosha ,na usiwapende kwa dhati.
Yaan usipende kiasi kwamba hata umkute analiwa nje hapo, Unajipitia zako kimya kimya.
Huyooooooo...Yann malumbano ?? Akili yake.... Papuchi yake[emoji23][emoji23]
Wewe ukiletewaa, Vaa ndomu pigaaa pigaaa, arudi kwake , siku isonge.
Mausenge sengee ,ohoooo Baby siwez ishi bila wewe..ohoooo baby wee ni Moyo wangu, ohoooo baby weee nikila kitu kwangu ...mamaeeee zako.
Unayempenda, naye anampenda mwingine, mwingine naye anampenda mwingine ,naye ana mwingine.
Chanzo kitakuwa mapenzi, mke kwa vile alikuwa na kipato Cha huhakika na pesa za hongo atakuwa alidharau sana mume, wake,pia inawezekana mama alikuwa anapigwa sana miti uko ofisini dharau analeta nyumbani.Anakuzidi kipato, anakudharau.
Mbaya zaidi Ananza kuliwa Ovyoovyo , kiasi cha wewe kujua kua analiwa.
Mshahara wa Dhambi ni Mauti.
Kuliwa liweni, ila liweni kwa Staha basi...
siku hizi ni Utamaduni kua na Mchepuko/michepuko
Maisha ya naenda kasi sana, hiki kizazi cha FB ,IG, Twt, Tktok ,Badoo, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Bladifakeni.
Walikosa nauli ya kwenda Upareni?Wana JF,
Mama mmoja mke wa mzee maarufu wa Kiti Moto ya kwa Mzava, amekutwa amefariki na damu zimetapataa sakafuni. Haijulikani chanzo kilichopelekea kifo chake.
Baada ya kifo, mme hapatikani kwenye simu yake, gari la mme limekutwa limetelekezwa getini na halijafungwa. Huyu mama alikuwa mfanyakazi wa TRA Samora karibu na Salamander.
Mzava ni mtu maarufu kule Bunju kwa utaalam wa kupika kitimoto ambaye awali alikuwa wanafanya kiti moto Ubungo shekilango dagaadagaa.
Inatakiwa sasaivi serikali iajiri sana watu wengi wa saikolojia wawe kila kata ikiwezekana moja ya kazi yao ni kutembelea kila nyumba na kuzungumza nao,mauaji ya kifamilia sasaivi yamekuwa mengi sana,juzi moshi mtoto kamuua mama,haya temeke jana napo mtoto wa kiume kamuua baba,na leo ni Baba kamuua mama,Allah atunusuru sana
Wachawi wengi, jambazi, taperi wanaishi mpaka 100 years wema ufa mapema, kwa sababu wanakuwa victim kwa wengiKatika taswira ya dunia mbona uwa tunasema wema hufa mapema. Kuna watoto wadogo wanakufa mapema. Ila sasa njoo kwa wauaji unakuta linaishi hadi uzeeni
Huyo mama nimeona kwa Joyce kiria kuwa mume kamuua na kukimbia
Wewe Dada kitimoto ukiichoma vizuri inalipa kuliko vijirushwa vya TRASure huo utofauti ulimfanya mwanaume ajione sio mwanaume kamili. In short muuza kitimoto aliolewa