Halafu huku uraiani watu wanaila hata Kama yao.Unamzungumzia Chacha Wivu wa mapenzi umemponza sasa hivi anakula maharage ya bure Lupango
Sent from my TECNO-L8 using JamiiForums mobile app
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Halafu huku uraiani watu wanaila hata Kama yao.Unamzungumzia Chacha Wivu wa mapenzi umemponza sasa hivi anakula maharage ya bure Lupango
Sent from my TECNO-L8 using JamiiForums mobile app
Robot la Matope akili yako Ina matope😂😂😂Just imagine umetoka zako ofisini ulikua na vikao na wafanyabihashara wakubwa wanaoagiza bidhaa mbalimbali nchi za nje, unafika getho unamkuta mke/mme kachoka na ananukia harufu na marashi ya kitimoto??
Mkuu sikupingi. Kuna mama mmoja kwenye ukoo wetu ni mstaafu TRA na alikuwa kigogo, mdogo wake alifanya kazi NGO kubwa na alikuwa kigogo. Hawa walisumbua sana na hata wadogo zao wa kike wote wameachika ndoa zao sababu ya dada zao. Dada ana michepuko kila kona, kamsumbua mume mpaka wakaachana kwa amani, watoto analea kimagharibi, ana marioo kama wote. Wakawa wanashindana kuwaita wadogo zao walioolewa waje kuwatembelea. Wadogo wenyewe hawakusoma na waume zao hawana maisha kivile, mwishoni kabaki mmoja kwenye ndoa naye mumewe kawekwa kiganjani.Nimekua mdau wa TRA tangu ianzishwe July 96 na kabla ya hapo customs and sales tax.
Nawajua vema wamama wanaofanya kazi TRA wengi sana wanawanyanyasa waume zzao kupitiliza. Nina mifano mingi sana, wengine wamewaacha waume zao kisa tu wanatembea na wafanyabiashara wenye pesa.
Tunawaona wengi tu wanaletwa na lifti za Prado usiku wa manane wakati mume Yuko ndani. Kuna yule aliyemuacha mumewe ndani kalala lodge na kibenten kurudi asubuhi mume keshakufa kwa presha.
Ukiona waif amepata kazi TRA hasa Kama Ni mshamba mshamba, vunja ndoa fasta katafute house wife uinjoi Maisha.
Waliojifunza psychology ndio wameanza kupatwaInatakiwa sasaivi serikali iajiri sana watu wengi wa saikolojia wawe kila kata ikiwezekana moja ya kazi yao ni kutembelea kila nyumba na kuzungumza nao,mauaji ya kifamilia sasaivi yamekuwa mengi sana,juzi moshi mtoto kamuua mama,haya temeke jana napo mtoto wa kiume kamuua baba,na leo ni Baba kamuua mama,Allah atunusuru sana
Wanawake wanyanyasaji, tatizo inakuja, mkiwa matajiri kila mtu umakini anakopa ushauri. Unabaki na lako manyoni mpaka unasikia kutenda unyama.Mkuu sikupingi. Kuna mama mmoja kwenye ukoo wetu ni mstaafu TRA na alikuwa kigogo, mdogo wake alifanya kazi NGO kubwa na alikuwa kigogo. Hawa walisumbua sana na hata wadogo zao wa kike wote wameachika ndoa zao sababu ya dada zao. Dada ana michepuko kila kona, kamsumbua mume mpaka wakaachana kwa amani, watoto analea kimagharibi, ana marioo kama wote. Wakawa wanashindana kuwaita wadogo zao walioolewa waje kuwatembelea. Wadogo wenyewe hawakusoma na waume zao hawana maisha kivile, mwishoni kabaki mmoja kwenye ndoa naye mumewe kawekwa kiganjani.
Lipo kabisa, linaanzia bomba la mkanada na kwenda mpaka mpaka wa mbweni. Hata hivyo watunzi wa majina ni watu sio mizimu hivyo kusitisha kushangaaHivi Dar es Salaam kuna eneo linaitwa Bunju Beach? Tuanzie hapa Kwanza tafadhali.
ALlah has no ears to hear youInatakiwa sasaivi serikali iajiri sana watu wengi wa saikolojia wawe kila kata ikiwezekana moja ya kazi yao ni kutembelea kila nyumba na kuzungumza nao,mauaji ya kifamilia sasaivi yamekuwa mengi sana,juzi moshi mtoto kamuua mama,haya temeke jana napo mtoto wa kiume kamuua baba,na leo ni Baba kamuua mama,Allah atunusuru sana
Sumbawanga huko kna mme kamkata mke wake maskio yote mawili kaondoka nayo
Mme anasema mke alikuwa hasikii
Ova
Ukitaka kuishi vizuri na hawa wadada , inabidi uwe nao wengi zaidi ya 20, wazuri wa shape nzuri. wengi wawe ni malaya wanajiuza, ukitoka kulala naye jamaa mwingine akichukuwa mzigo uone kawaida bila wivu, ukidumu nao miezi kadhaa kwenye mazingira hayo hutaweza kuwa na wivu wa kijinga utamwona mwanamke Kama chombo Cha starehe kwa kila mwanaume, mwanzoni utoana kinyaa jamaa anaenda kupiga na wewe uende kupiga shimo hilo hilo, lakini baadaye itakujengea immunity furani ya kutokuwa na mapenzi ya kweli na mwanamke yeyote hata mke wako utamwona ni wale wale tu, hivyo ukimwona mke wako au ukihisi anapigwa nje ni rahisi kumwacha bila kutoa uhai wake maana utaona ni wale wale hana tofauti na wanaojiuza. Na Sasa hivi wake za watu ndo wanaongoza kutoa uchi na wengine kujiuza. Na hawana neno hapana. Hivyo sasa hivi kuoa ni very big risk ya kupoteza maisha kwa ugonjwa, kuuwa, kuwa kilema kwa kupigana au kwenda jera kwa kuuwa mwenzi wako.Amemalizwa
Mbn km unakimbizwa mkuuWana JF,
Mama mmoja mke wa mzee maarufu wa Kiti Moto ya kwa Mzava, amekutwa amefariki na damu zimetapataa sakafuni. Haijulikani chanzo kilichopelekea kifo chake.
Baada ya kifo, mme hapatikani kwenye simu yake, gari la mme limekutwa limetelekezwa getini na halijafungwa. Huyu mama alikuwa mfanyakazi wa TRA Samora karibu na Salamander.
Mzava ni mtu maarufu kule Bunju kwa utaalam wa kupika kitimoto ambaye awali alikuwa wanafanya kiti moto Ubungo shekilango dagaadagaa.
Mama anaitwa Irene Mzava, aliamishwa kutoka TRA temeke, akaletwa Tegeta. Wanyetishaji wanadai, waliandaa safari kwenda Moshi saa tisa. Lakini safari ikageuka shubiti, baba anaonekana alimpiga na kitu kizito ikawa ndio mwisho, baba akaenda baa akawaomba wahudumu wampatie mauzo ili apelekwe mgonjwa hospital, basi akafika getin na kutelekeza gari, akaingia ndani katoa gari jipya aina Toyota Harrier new model 2015 inaitwa matako ya nyani, gari ilikuwa full tank kwa ajiri ya safari na imepakia vitu, baada ya mauaji akaipiga mogul mpaka Moshi inawezekana alifika saa 11, akaitelekeza gari mpya na kutokomea. Yeye na mke wake ni majuzi walitoka kwenye msiba wa mama wa mauaji. R.i.P Mama Irene Mzava.
waliandaa safari kwenda Moshi saa tisa. Lakini safari ikageuka shubiti, baba anaonekana alimpiga na kitu kizito ikawa ndio mwisho, baba akaenda baa akawaomba wahudumu wampatie mauzo ili apelekwe mgonjwa hospital, basi akafika getin na kutelekeza gari, akaingia ndani katoa gari jipya aina Toyota Harrier new model 2015 inaitwa matako ya nyani, gari ilikuwa full tank kwa ajiri ya safari na imepakia vitu, baada ya mauaji akaipiga mogul mpaka Moshi inawezekana alifika saa 11, akaitelekeza gari mpya na kutokomea. Yeye na mke wake ni majuzi walitoka kwenye msiba wa mama wa mauaji. R.i.P Mama Irene Mzava.[emoji3064][emoji3064][emoji3064][emoji3064][emoji848][emoji848][emoji848][emoji31][emoji31][emoji29][emoji29]Wana JF,
Mama mmoja mke wa mzee maarufu wa Kiti Moto ya kwa Mzava, amekutwa amefariki na damu zimetapataa sakafuni. Haijulikani chanzo kilichopelekea kifo chake.
Baada ya kifo, mme hapatikani kwenye simu yake, gari la mme limekutwa limetelekezwa getini na halijafungwa. Huyu mama alikuwa mfanyakazi wa TRA Samora karibu na Salamander.
Mzava ni mtu maarufu kule Bunju kwa utaalam wa kupika kitimoto ambaye awali alikuwa wanafanya kiti moto Ubungo shekilango dagaadagaa.
Mama anaitwa Irene Mzava, aliamishwa kutoka TRA temeke, akaletwa Tegeta. Wanyetishaji wanadai, waliandaa safari kwenda Moshi saa tisa. Lakini safari ikageuka shubiti, baba anaonekana alimpiga na kitu kizito ikawa ndio mwisho, baba akaenda baa akawaomba wahudumu wampatie mauzo ili apelekwe mgonjwa hospital, basi akafika getin na kutelekeza gari, akaingia ndani katoa gari jipya aina Toyota Harrier new model 2015 inaitwa matako ya nyani, gari ilikuwa full tank kwa ajiri ya safari na imepakia vitu, baada ya mauaji akaipiga mogul mpaka Moshi inawezekana alifika saa 11, akaitelekeza gari mpya na kutokomea. Yeye na mke wake ni majuzi walitoka kwenye msiba wa mama wa mauaji. R.i.P Mama Irene Mzava.
Joyce kiherehere sanaHuyo mama nimeona kwa Joyce kiria kuwa mume kamuua na kukimbia
Dar mume kamuua mke wa ndoa katokomeaIzi habari zinatisha,.huu mwaka unaisha vibaya sana Mauaji yamekua mengi.
Mungu uturehemu.
Ilianzia legho uwanja wa sanaaDagaa dagaa ipo shekilango au kibo??
Mimi huyu mama watoto nilijiapia kabisa nikisikia kachepuka ama nikimfumania naondoka ma sehemu zake za siri na habari inaishia hapo maana hiyo nyama ndio inawapa jeuri, basi naichana chana iwe na muonekano mbaya zaidi ila ndio hivyo kawa mwema kwangu hadi umri huu ni jambo la kumshukuru MunguMjuba kaona sio swala bora amfyeke fyeke tu akaliwe na funza huko kwa adabu maana kashindwa kuliwa na binadamu kwa adabu!
Tusubirie retaliation yao sasa 😂😂😂Dar mume kamuua mke wa ndoa katokomea
Arusha mtoto kamuua mama mzazi kadakwa
Mombasa mtoto kamuua baba mzazi katokomea
This time wanaume ndio wamefanya mauaji
DuhMimi huyu mama watoto nilijiapia kabisa nikisikia kachepuka ama nikimfumania naondoka ma sehemu zake za siri na habari inaishia hapo maana hiyo nyama ndio inawapa jeuri, basi naichana chana iwe na muonekano mbaya zaidi ila ndio hivyo kawa mwema kwangu hadi umri huu ni jambo la kumshukuru Mungu
Sio akili tu, mwili mzimaRobot la Matope akili yako Ina matope[emoji23][emoji23][emoji23]