Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hahahahaha.....ndugu yangu umekuwa motivations speaker wa masuala ya muhusiano ghafla. Tatizo ni nini? Fanta, mirinda au henken?M naweza msinielewe
Kama una mpango wa KUOA sasa..
Itazame Dunia Kwenye Engo ya Utandawazi ..
Itazame kwenye Engo ya Maadili
Itazame kwenye Engo ya Ushetani.
Itazame kwenye Engo ya Uchaji Mungu.
Alafu jiulize, HUYO UNAYETAKA KUMUOA, ANAHOFU NA MUNGU??? ATAFANYA NYUMBA YAKO IBARIKIWE ???.
ni Mara mia, Kuzalisha ,uwe na watoto wako hata wanne, wa wanawake tofauti..LAKINI SIO UBEBANE NA MFUPA ULOMSHINDA FISI.
Kwa Dunia ya sasa tulonayo, ambayo Suala la Uchaji Mungu linazidi kupotea, WATU hawana mpango na Mungu, WATU ni ushetani tuu.
UKIPATA KABINTI SIO KAZURI KWA SURA, WALA UMBO, LAKINI KANASWALI, KANASALI KWA MOYO WAKE WOTE, NA AKILI ZAKE ZOTE NA NGUVU ZAKE ZOTE ..KAOE CHAPCHAP.
achana na minyama minyama hiyo ,mihips ,mikalio, Ndoa sio mikalio, ndoa sio minyama , mihips .
Wangapi wanatenda dhambi na wanaishi miaka mingi? Uo mfano wako hauna mashikoKatika Taswira ya Kidunia ...
Mkuu kadiri unavyotenda maovu, ndio ambavyo unafupisha siku zako za uhai.
Yaan kama ilitakiwa uishi miaka 95.
Unaishi miaka 40 tu.
Wakati mtenda MEMA, anaendelea kula miaka mpaka 90 huko
Katika Taswira ya Kiroho....
MTU mwovu akifa, hana nafasi tena ya uzima wa pili...yeye atasubiri Adhabu ya moto tu.
Mwema akikata upepo Leo, anayo nafasi ya kuishi milele katika uzima wa pili.
Noted!Katika taswira ya dunia mbona uwa tunasema wema hufa mapema. Kuna watoto wadogo wanakufa mapema. Ila sasa njoo kwa wauaji unakuta linaishi hadi uzeeni
Haya sasaWana JF,
Mama mmoja mke wa mzee maarufu wa Kiti Moto ya kwa Mzava, amekutwa amefariki na damu zimetapataa sakafuni. Haijulikani chanzo kilichopelekea kifo chake.
Baada ya kifo, mme hapatikani kwenye simu yake, gari la mme limekutwa limetelekezwa getini na halijafungwa. Huyu mama alikuwa mfanyakazi wa TRA Samora karibu na Salamander.
Mzava ni mtu maarufu kule Bunju kwa utaalam wa kupika kitimoto ambaye awali alikuwa wanafanya kiti moto Ubungo shekilango dagaadagaa.
Kanisani siku hizi sio sehemu salama sana kutafuta mchumba, ushahidi wengi uenda kutafuta mke au mme na sio kumtafuta Mungu,wakishapata mume au mke na kanisani mguu ukata.Huko Kwenye madhabahu wanavuana sana chupi ogopa sana watu wa dini hakuna chakuzama Wala kudumbukia ni usanii tu dini ni vichaka vya watu kutimiza malengo yao
Kwa uzoefu nilionao wachawi na makatili wanaishi miaka mingi sana tofauti na sie wenye roho za malaika😅Katika Taswira ya Kidunia ...
Mkuu kadiri unavyotenda maovu, ndio ambavyo unafupisha siku zako za uhai.
Yaan kama ilitakiwa uishi miaka 95.
Unaishi miaka 40 tu.
Wakati mtenda MEMA, anaendelea kula miaka mpaka 90 huko
Katika Taswira ya Kiroho....
MTU mwovu akifa, hana nafasi tena ya uzima wa pili...yeye atasubiri Adhabu ya moto tu.
Mwema akikata upepo Leo, anayo nafasi ya kuishi milele katika uzima wa pili.
Alielewa anielewesheNilicheka sana siku moja nikiwa natuma salamu za mpalange kwa dada mmoja nikawa nafurahia huku nalia yule Dada hakuamini. Nilimuomba tukeshe akakubali cha ajabu yeye kesho yake aliomba abaki na mimi kwa siku 3 zaidi.
Amakweli Buza kumenoga lami kama zote. Dodosa usiulize swali.
Bob , kuna watu Mungu anawaacha waishi ili Kua funzo kwa wengineWangapi wanatenda dhambi na wanaishi miaka mingi? Uo mfano wako hauna mashiko
Just imagine umetoka zako ofisini ulikua na vikao na wafanyabihashara wakubwa wanaoagiza bidhaa mbalimbali nchi za nje, unafika getho unamkuta mke/mme kachoka na ananukia harufu na marashi ya kitimoto??Mke mfanyakazi tra mume anapika kitimoto. Mme atakua alivumilia mengi hadi vikafika mwisho
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] kwa uzoefu wangu pia, sikubishii .Kwa uzoefu nilionao wachawi na makatili wanaishi miaka mingi sana tofauti na sie wenye roho za malaika[emoji28]
Umenena vyemaM naweza msinielewe
Kama una mpango wa KUOA sasa..
Itazame Dunia Kwenye Engo ya Utandawazi ..
Itazame kwenye Engo ya Maadili
Itazame kwenye Engo ya Ushetani.
Itazame kwenye Engo ya Uchaji Mungu.
Alafu jiulize, HUYO UNAYETAKA KUMUOA, ANAHOFU NA MUNGU??? ATAFANYA NYUMBA YAKO IBARIKIWE ???.
ni Mara mia, Kuzalisha ,uwe na watoto wako hata wanne, wa wanawake tofauti..LAKINI SIO UBEBANE NA MFUPA ULOMSHINDA FISI.
Kwa Dunia ya sasa tulonayo, ambayo Suala la Uchaji Mungu linazidi kupotea, WATU hawana mpango na Mungu, WATU ni ushetani tuu.
UKIPATA KABINTI SIO KAZURI KWA SURA, WALA UMBO, LAKINI KANASWALI, KANASALI KWA MOYO WAKE WOTE, NA AKILI ZAKE ZOTE NA NGUVU ZAKE ZOTE ..KAOE CHAPCHAP.
achana na minyama minyama hiyo ,mihips ,mikalio, Ndoa sio mikalio, ndoa sio minyama , mihips .
Acha kabisa yani we kuwa mwema tu uone utavyoisha fasta😅😅😅[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] kwa uzoefu wangu pia, sikubishii .
Nadhan ni sababu Muumbaji Wetu huamua kutoa nafasi ya pili.
Alicheka sana siku moja ..ilikuaje ??Alielewa anieleweshe
Ana ushahidi huyo joyce Kiria?i dont trust that illiterate bitch!Huyo mama nimeona kwa Joyce kiria kuwa mume kamuua na kukimbia
[emoji23][emoji23][emoji23]Nilicheka sana siku moja nikiwa natuma salamu za mpalange kwa dada mmoja nikawa nafurahia huku nalia yule Dada hakuamini. Nilimuomba tukeshe akakubali cha ajabu yeye kesho yake aliomba abaki na mimi kwa siku 3 zaidi.
Amakweli Buza kumenoga lami kama zote. Dodosa usiulize swali.
Anakuzidi kipato, anakudharau.
Mbaya zaidi Ananza kuliwa Ovyoovyo , kiasi cha wewe kujua kua analiwa.
Mshahara wa Dhambi ni Mauti.
Kuliwa liweni, ila liweni kwa Staha basi...
siku hizi ni Utamaduni kua na Mchepuko/michepuko
Maisha ya naenda kasi sana, hiki kizazi cha FB ,IG, Twt, Tktok ,Badoo, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Bladifakeni.