Mama wa TRA akutwa amefariki Bunju Beach, mume wake naye amepotea

Mama wa TRA akutwa amefariki Bunju Beach, mume wake naye amepotea

M naweza msinielewe


Kama una mpango wa KUOA sasa..


Itazame Dunia Kwenye Engo ya Utandawazi ..

Itazame kwenye Engo ya Maadili

Itazame kwenye Engo ya Ushetani.


Itazame kwenye Engo ya Uchaji Mungu.



Alafu jiulize, HUYO UNAYETAKA KUMUOA, ANAHOFU NA MUNGU??? ATAFANYA NYUMBA YAKO IBARIKIWE ???.



ni Mara mia, Kuzalisha ,uwe na watoto wako hata wanne, wa wanawake tofauti..LAKINI SIO UBEBANE NA MFUPA ULOMSHINDA FISI.



Kwa Dunia ya sasa tulonayo, ambayo Suala la Uchaji Mungu linazidi kupotea, WATU hawana mpango na Mungu, WATU ni ushetani tuu.


UKIPATA KABINTI SIO KAZURI KWA SURA, WALA UMBO, LAKINI KANASWALI, KANASALI KWA MOYO WAKE WOTE, NA AKILI ZAKE ZOTE NA NGUVU ZAKE ZOTE ..KAOE CHAPCHAP.



achana na minyama minyama hiyo ,mihips ,mikalio, Ndoa sio mikalio, ndoa sio minyama , mihips .
Nani alikudanganya hofu ya mungu sijui inasaidia chochote? It doesnt
 
Wana JF,

Mama mmoja mke wa mzee maarufu wa Kiti Moto ya kwa Mzava, amekutwa amefariki na damu zimetapataa sakafuni. Haijulikani chanzo kilichopelekea kifo chake.

Baada ya kifo, mme hapatikani kwenye simu yake, gari la mme limekutwa limetelekezwa getini na halijafungwa. Huyu mama alikuwa mfanyakazi wa TRA Samora karibu na Salamander.

Mzava ni mtu maarufu kule Bunju kwa utaalam wa kupika kitimoto ambaye awali alikuwa wanafanya kiti moto Ubungo shekilango dagaadagaa.

Mama anaitwa Irene Mzava, aliamishwa kutoka TRA temeke, akaletwa Tegeta. Wanyetishaji wanadai, waliandaa safari kwenda Moshi saa tisa. Lakini safari ikageuka shubiti, baba anaonekana alimpiga na kitu kizito ikawa ndio mwisho, baba akaenda baa akawaomba wahudumu wampatie mauzo ili apelekwe mgonjwa hospital, basi akafika getin na kutelekeza gari, akaingia ndani katoa gari jipya aina Toyota Harrier new model 2015 inaitwa matako ya nyani, gari ilikuwa full tank kwa ajiri ya safari na imepakia vitu, baada ya mauaji akaipiga mogul mpaka Moshi inawezekana alifika saa 11, akaitelekeza gari mpya na kutokomea. Yeye na mke wake ni majuzi walitoka kwenye msiba wa mama wa mauaji. R.i.P Mama Irene Mzava.
Tupen kapicha ka Irene enzi za uhai wake kanaweza kutupa picha halisi na sababu ya kuuwawa
 
Mimi huyu mama watoto nilijiapia kabisa nikisikia kachepuka ama nikimfumania naondoka ma sehemu zake za siri na habari inaishia hapo maana hiyo nyama ndio inawapa jeuri, basi naichana chana iwe na muonekano mbaya zaidi ila ndio hivyo kawa mwema kwangu hadi umri huu ni jambo la kumshukuru Mungu
Utaichana vipi nyama ya hamu
 
Nimekua mdau wa TRA tangu ianzishwe July 96 na kabla ya hapo customs and sales tax.
Nawajua vema wamama wanaofanya kazi TRA wengi sana wanawanyanyasa waume zzao kupitiliza. Nina mifano mingi sana, wengine wamewaacha waume zao kisa tu wanatembea na wafanyabiashara wenye pesa.
Tunawaona wengi tu wanaletwa na lifti za Prado usiku wa manane wakati mume Yuko ndani. Kuna yule aliyemuacha mumewe ndani kalala lodge na kibenten kurudi asubuhi mume keshakufa kwa presha.
Ukiona waif amepata kazi TRA hasa Kama Ni mshamba mshamba, vunja ndoa fasta katafute house wife uinjoi Maisha.
Wanawake wa TRA inaonesha ni malaya sana😂 kuna pepo mchafu katika zile ofisi hasa mke akiwa tamaa tamaa
 
Just imagine umetoka zako ofisini ulikua na vikao na wafanyabihashara wakubwa wanaoagiza bidhaa mbalimbali nchi za nje, unafika getho unamkuta mke/mme kachoka na ananukia harufu na marashi ya kitimoto??
Mzava aliteseka sana aisee mpare mwenzangu huyo😎 sipatii picha kama huyo mama nae alikuwa mpare wanawake wa kipare walivyo naviburi ujumlishe na kuwa ana pesa pia weee😇😇😇
 
Sure huo utofauti ulimfanya mwanaume ajione sio mwanaume kamili. In short muuza kitimoto aliolewa
Dah matusi haya 😅

Sema tu wanawake huwa hamjui kubalance mapenzi yenu. Mwanaume ukimsikiliza mbona mnaenda sawa tu ila shida ni pale mnaanzaga umalaya na dharau kisa una mshahara mkubwa na mapesa.

Jamaa itakuwa aligundua mkewe anachit na alishaanza kumletea madharau yani..Anyways naskia wanawake wa huko TRA wanaliwa sana na wafanyabiashara wakubwa kubwa wale.
 
Dah matusi haya 😅

Sema tu wanawake huwa hamjui kubalance mapenzi yenu. Mwanaume ukimsikiliza mbona mnaenda sawa tu ila shida ni pale mnaanzaga umalaya na dharau kisa una mshahara mkubwa na mapesa.

Jamaa itakuwa aligundua mkewe anachit na alishaanza kumletea madharau yani..Anyways naskia wanawake wa huko TRA wanaliwa sana na wafanyabiashara wakubwa kubwa wale.
Sana sana sana, hasa kipindi cha yule mzee cheupe dawa mvaa miwani, ni sodoma na gomorah TRA
 
Hapo sasa?! Kama siyo kumalizia maisha Segerea, kisa papuchi ambayo hujazaliwa nayo?! Mihemko tu mwisho majuto.
Bora kuwa malaya tu mi nikijua mke wangu kashaanza umalaya nje ya ndoa nakuwa malaya mara 3 yake😅 na wala sijali huku naandaa exit plan tu au tunatengana tu kila mtu alale chumba chake wakati tuna co-parent!
 
Dah matusi haya 😅

Sema tu wanawake huwa hamjui kubalance mapenzi yenu. Mwanaume ukimsikiliza mbona mnaenda sawa tu ila shida ni pale mnaanzaga umalaya na dharau kisa una mshahara mkubwa na mapesa.

Jamaa itakuwa aligundua mkewe anachit na alishaanza kumletea madharau yani..Anyways naskia wanawake wa huko TRA wanaliwa sana na wafanyabiashara wakubwa kubwa wale.
Sana sana sana, hasa kipindi cha yule mzee cheupe dawa mvaa miwani, ni sodoma na gomorah TRA
Mzava aliteseka sana aisee mpare mwenzangu huyo😎 sipatii picha kama huyo mama nae alikuwa mpare wanawake wa kipare walivyo naviburi ujumlishe na kuwa ana pesa pia weee😇😇😇
Nina jirani yangu dada yako wa kipare, si utani ana hekalu, ila bro ni mkorofi kuliko da mange! Alipohamia nilimwangalia na kudai atapatikana tu, nilimchapa matako kwa mikono usiku kucha kwenye local pub yetu, aise anamuendesha mme wake ile mbaya, jamaa ni Marine Engineer aliyebobea mpaka kuitwa Dr ila kwa dada wa kipare hafurukuti kabisa, na sisi majirani wa kiume hayatuhusu, mme ni kutoka Tanga, yuko peace ile mbaya pamoja na senti alizonazo, ila thats life bro
 
Wana JF,

Mama mmoja mke wa mzee maarufu wa Kiti Moto ya kwa Mzava, amekutwa amefariki na damu zimetapataa sakafuni. Haijulikani chanzo kilichopelekea kifo chake.

Baada ya kifo, mme hapatikani kwenye simu yake, gari la mme limekutwa limetelekezwa getini na halijafungwa. Huyu mama alikuwa mfanyakazi wa TRA Samora karibu na Salamander.

Mzava ni mtu maarufu kule Bunju kwa utaalam wa kupika kitimoto ambaye awali alikuwa wanafanya kiti moto Ubungo shekilango dagaadagaa.

Mama anaitwa Irene Mzava, aliamishwa kutoka TRA temeke, akaletwa Tegeta. Wanyetishaji wanadai, waliandaa safari kwenda Moshi saa tisa. Lakini safari ikageuka shubiti, baba anaonekana alimpiga na kitu kizito ikawa ndio mwisho, baba akaenda baa akawaomba wahudumu wampatie mauzo ili apelekwe mgonjwa hospital, basi akafika getin na kutelekeza gari, akaingia ndani katoa gari jipya aina Toyota Harrier new model 2015 inaitwa matako ya nyani, gari ilikuwa full tank kwa ajiri ya safari na imepakia vitu, baada ya mauaji akaipiga mogul mpaka Moshi inawezekana alifika saa 11, akaitelekeza gari mpya na kutokomea. Yeye na mke wake ni majuzi walitoka kwenye msiba wa mama wa mauaji. R.i.P Mama Irene Mzava.

Atashikwa mapema Sana; ukitaka kukumbia; chukua Ka rasket, beba jeans 2, Shati 3, hela nyingi.

Simu tupa kabisa, wala Gari hapana, acha; panda daladala Kama watokea Bunju, nenda Stand wa Mzezi, panda Gari ya Morogoro vijijini, kalime vibarua huko.

Wewe unakaa Kilimanjaro unaenda Kilimanjaro kweli? Haifai
 
Back
Top Bottom