Mama wa watoto 8 atorokwa na mumewe, aomba msaada

Mama wa watoto 8 atorokwa na mumewe, aomba msaada

Gwajima atajifanya hajausoma Uzi huu!
Ila tunaomba huyu mama ajengewe nyumba ya kuishi na serikali.
Japo nimeguswa,nami nitamchangia frdha
 
Waziri Dkt. Gwajima D kuna hii familia ya kuitazama inahitaji msaada wa kiuchumi na kijamii. Mama wa watoto nane, Belita Deus, ambaye mumewe katoroka.

Mkuu wa Dawati la Jinsia na Watoto wa Wilaya ya Malinyi, Mkaguzi wa Polisi Michael Rasha, ameguswa na hali ya mama wa watoto nane, Belita Deus (37), ambaye alitorokwa na mumewe kutokana na ugumu wa maisha.
Mkaguzi Rasha, akiwa katika jukumu lake la kutoa elimu katika kijiji na kata ya Kilosa Mpepo, Wilaya ya Malinyi mkoani Morogoro, alipokea ujumbe kutoka kwa mama huyo akiomba msaada wa kutafutiwa mumewe ambaye ametoroka na kumtelekeza pamoja na watoto.
Baada ya kupokea wito huo, Rasha alifika nyumbani kwa Belita na kuelezwa changamoto alizonazo baada ya mume wake kumtoroka. Ameeleza kuwa maisha yamekuwa magumu sana na anakabiliwa na tatizo la makazi, kwani anakaa kwenye kibanda alichopewa na msamaria ambaye sasa anakitaka. Pia, amekosa mahitaji muhimu kwa ajili yake na watoto wake na hawezi kuwaendeleza kielimu.
Belita amesema njia pekee inayomfanya aishi ni kufanya vibarua vya kulima na usafi kwenye nyumba za watu ili apate pesa za kusukuma maisha. Mtoto wake mkubwa ana miaka 14 na alitakiwa kuwa darasa la sita, huku mtoto mdogo akiwa na miezi mitano tu.
Mkaguzi Rasha amempatia Belita kilo 20 za unga, mche wa sabuni, na fedha kidogo ya kujikimu ili kumfariji. Hata hivyo, mama huyo anahitaji msaada zaidi kutoka kwa wasamaria wema walioguswa na hali yake.

Picha: Michael Rasha
Fikiria Malinyi ni sehemu inayostawi mazao ya chakula kwa wingi.

Lakini Mzee Baba yeye yuko Bize kipiga mabao tu hadi Chakula cha kulisha watoto hana amekimbia😅😅😅
 
Huwa nina hasira sana na wanaume wanao zalisha hovyo kama mapanya halafu kulea hawawezi.

Mijitu ya namna hii ndio inazalisha umaskini na kuongeza idadi ya maskini kuwa wengi duniani.

Na ndio maana huwa nafurahi sana watoto wa namna hii, wanao kulia katika shida hizi, wanapokuja kufanikiwa na kuwatupilia mbali hao baba zao wapumbavu na wazembe wakwepa majukumu.

Li mzazi la namna hii siku likija kukuomba msamaha wewe mtoto wake, Unamfurumusha na mabapa ya panga akafie mbali.
Mkuu,mbona hasira,vipi yashakukumba nini!
 
Inauma sana. Hao watoto hawana kosa lolote.

Sisi wazazi ni wavinafsi.....kwa starehe zetu wenyewe zinapelekea maumivu na mateso makali kwa watoto.

Kule Geita Mzee mmoja alizaa watoto 11 akawatelekeza wote akaenda kuoa kigoli kipya.

Yaani miafrika na ngino ni hatari
Lizee kama hilo unakamata unasweka ndani jela.

Ndio maana kwa nchi za wenzetu Ulaya na Amerika ukikwepa kulea mtoto. Either unyang'anywe huyo mtoto au adhabu na faini juu za child support.

Huku Afrika watu wana zaa zaa hovyo kama mapanya halafu kulea hawawezi.

Ndio maana umaskini hauishi.
 
Mkuu,mbona hasira,vipi yashakukumba nini!
Hayajawahi kunikumba.

Ila napata hasira sana kuona watoto wadogo na wachanga wasio na hatia yeyote ile wakiteseka kwa sababu ya upumbavu na uzembe wa mzazi Mpumbavu mkwepa majukumu.

Wazazi wa namna hii hawafai kabisa. Wanapaswa wahasiwe hizo kende zao.

Maana wana ongeza maskini wengine duniani tu.
 
Waziri Dkt. Gwajima D kuna hii familia ya kuitazama inahitaji msaada wa kiuchumi na kijamii. Mama wa watoto nane, Belita Deus, ambaye mumewe katoroka.

Mkuu wa Dawati la Jinsia na Watoto wa Wilaya ya Malinyi, Mkaguzi wa Polisi Michael Rasha, ameguswa na hali ya mama wa watoto nane, Belita Deus (37), ambaye alitorokwa na mumewe kutokana na ugumu wa maisha.
Mkaguzi Rasha, akiwa katika jukumu lake la kutoa elimu katika kijiji na kata ya Kilosa Mpepo, Wilaya ya Malinyi mkoani Morogoro, alipokea ujumbe kutoka kwa mama huyo akiomba msaada wa kutafutiwa mumewe ambaye ametoroka na kumtelekeza pamoja na watoto.
Baada ya kupokea wito huo, Rasha alifika nyumbani kwa Belita na kuelezwa changamoto alizonazo baada ya mume wake kumtoroka. Ameeleza kuwa maisha yamekuwa magumu sana na anakabiliwa na tatizo la makazi, kwani anakaa kwenye kibanda alichopewa na msamaria ambaye sasa anakitaka. Pia, amekosa mahitaji muhimu kwa ajili yake na watoto wake na hawezi kuwaendeleza kielimu.
Belita amesema njia pekee inayomfanya aishi ni kufanya vibarua vya kulima na usafi kwenye nyumba za watu ili apate pesa za kusukuma maisha. Mtoto wake mkubwa ana miaka 14 na alitakiwa kuwa darasa la sita, huku mtoto mdogo akiwa na miezi mitano tu.
Mkaguzi Rasha amempatia Belita kilo 20 za unga, mche wa sabuni, na fedha kidogo ya kujikimu ili kumfariji. Hata hivyo, mama huyo anahitaji msaada zaidi kutoka kwa wasamaria wema walioguswa na hali yake.

Picha: Michael Rasha
Maisha ya Sasa Kama huna Hela uzikimbilie kuzaa au kuzalishwa.
 
Hayajawahi kunikumba.

Ila napata hasira sana kuona watoto wadogo na wachanga wasio na hatia yeyote ile wakiteseka kwa sababu ya upumbavu na uzembe wa mzazi Mpumbavu mkwepa majukumu.

Wazazi wa namna hii hawafai kabisa. Wanapaswa wahasiwe hizo kende zao.

Maana wana ongeza maskini wengine duniani tu.

Uzazi wa mpango ni muhimu sana
Wafia Dini watapinga
 
Waziri Dkt. Gwajima D kuna hii familia ya kuitazama inahitaji msaada wa kiuchumi na kijamii. Mama wa watoto nane, Belita Deus, ambaye mumewe katoroka.

Mkuu wa Dawati la Jinsia na Watoto wa Wilaya ya Malinyi, Mkaguzi wa Polisi Michael Rasha, ameguswa na hali ya mama wa watoto nane, Belita Deus (37), ambaye alitorokwa na mumewe kutokana na ugumu wa maisha.
Mkaguzi Rasha, akiwa katika jukumu lake la kutoa elimu katika kijiji na kata ya Kilosa Mpepo, Wilaya ya Malinyi mkoani Morogoro, alipokea ujumbe kutoka kwa mama huyo akiomba msaada wa kutafutiwa mumewe ambaye ametoroka na kumtelekeza pamoja na watoto.
Baada ya kupokea wito huo, Rasha alifika nyumbani kwa Belita na kuelezwa changamoto alizonazo baada ya mume wake kumtoroka. Ameeleza kuwa maisha yamekuwa magumu sana na anakabiliwa na tatizo la makazi, kwani anakaa kwenye kibanda alichopewa na msamaria ambaye sasa anakitaka. Pia, amekosa mahitaji muhimu kwa ajili yake na watoto wake na hawezi kuwaendeleza kielimu.
Belita amesema njia pekee inayomfanya aishi ni kufanya vibarua vya kulima na usafi kwenye nyumba za watu ili apate pesa za kusukuma maisha. Mtoto wake mkubwa ana miaka 14 na alitakiwa kuwa darasa la sita, huku mtoto mdogo akiwa na miezi mitano tu.
Mkaguzi Rasha amempatia Belita kilo 20 za unga, mche wa sabuni, na fedha kidogo ya kujikimu ili kumfariji. Hata hivyo, mama huyo anahitaji msaada zaidi kutoka kwa wasamaria wema walioguswa na hali yake.

Picha: Michael Rasha
Changamoto hizi nadhani ziwaguse Wabunge wanaopitisha mambo nengi sana ya kukidhi haja za viongozi walioko madarakani na wastaafu kwa kweli Mungu anawaona enyi viongozi wetu mnaotaka kila kitu kizuri mfaidi nyie wakati sisi walalahoi mnatukausha damu hadi maiti mnazidai gharama za malazi na huduma ambayo marehemu hakuipata ipasavyo hadi akafariki. Shame on you all.
 
Afunge uzazi SASA watoto 8 maisha Yao ni choka mbaya.
Anamuachia papuchi mumewe amwage mbegu huku kutunza hawezi??
Inatisha sana hayo maisha.
Unajua waafrika ni wajinga sana.

Watu wanajijua wana hali ngumu, ila bado wanaendelea kuzaa kuleta watoto duniani.

Umaskini wa waafrika unatokana na ujinga na upumbavu wao.
 
Back
Top Bottom