Infropreneur
JF-Expert Member
- Aug 15, 2022
- 9,830
- 20,686
Ila una maanisha nini kusema vibarua?Sijasema mtu akimbie watoto..
Kwa nini wewe huzai watoto wengi waje kuwa vibarua?
Ila unaona sawa watu wengine kuzaa watoto wengi ili waje kuwa vibarua?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ila una maanisha nini kusema vibarua?Sijasema mtu akimbie watoto..
Kila mtu azae na kulea kwa kadiri yake. Wa kuwa vibarua watakuwa tu..Ila una maanisha nini kusema vibarua?
Kwa nini wewe huzai watoto wengi waje kuwa vibarua?
Ila unaona sawa watu wengine kuzaa watoto wengi ili waje kuwa vibarua?
Kweli kabisa mkuu.Hivi mtu unapata wapi ujasiri wa kuzaa watoto zaidi ya wawili kwenye kibanda cha nyasi, chini ya maisha ya kifukara?.
Matokeo yake ndio kuja kutia huruma na kuwapa watu wengine mzigo wa kusaidia malezi. Huyu mama na huyo mume wake wamefanya jambo la kijinga sana, watoto nane hapo kwenye icho kibanda kwelii?, stupid!.
Haya huyo baba aliyezaa na kukimbia, Kalea nini zaidi ya kukwepa uwajibikaji na majukumu huku akiacha familia kwenye umaskini?Kila mtu azae na kulea kwa kadiri yake. Wa kuwa vibarua watakuwa tu..
Yani huu ni ujinga mkubwa sanaKweli kabisa mkuu.
Waafrika ni wajinga na wapumbavu sana.
Wanazaliana kama mapanya, Halafu mwisho wa siku wana anza kutia tia huruma kutaka msaada.
Wakati wana nyanduana sijui wanadhani kuzaa ni kama kuangua maembe mtini!!!!
Uzazi ni neema tu, wapo watu maskini pia uzazi unawasumbua, na wako matajiri wana-team ya watoto. Kabla sijapata watoto nilitamani kuwa nao 7, ila baada ya kuzaa hawa wawili. Hapana kwa kweli. Ujasiri wa kutembea na mioyo miwili wakati mmoja sina.Huo uzazi angeupata Wema Sepetu au lady JD wangeringa sana! Mungu ana siri sana, watu wanaoweza kulea hata watoto 10 kawanyima uzazi hata wa kuzaa katoto kamoja,ila wale wasiokua na uwezi wa kulea kawapa kizazi chepesi sana, mwanaume ukitupia tu kanasa tayari!!
Mama naye wa kulaumiwa!Wabongo wanapenda kulia lia huyo mama nae n kiaz unapanua mapaja unazaa watoto wote hao ili uje kutia huruma uchangie na hapo unakuta huyo mume wake amemtuma aombe msaada
Kabisa....Huyu mama nae kichwani hamna kitu kwa kweli. Hali ya mumeo unaijua alafu unaendelea kumpa tu, tena amwage na hzo mbegu.Mama naye wa kulaumiwa!
Anatanuwa tu, tanuwa tanuwa x 8!
Tuwalaumu wote!
Kwani hao watoto alijifungulia wapi mkuu? Au vijijini watu wanajifungua nyumbani? Mi naona ni ujinga wao wazazi, usikute hospital walishaendaga na wakapewa huo ushauri wa uzaz wa mpango.Kukosekana kwa elimu na huduma ya uzazi wa mpango hasa maeneo ya vijijini ni chanzo cha matatizo kama haya.
Mfumo dume pia huchangia. Wanawake hawana maamuzi juu ya miili yako. Yani kisa mwanaume kakuoa basi atakufanya kila anapojisikia bila kujali siku salama/hatari.
Hakikisha unafyatua vibarua wengi kwa ajili ya miradi kama BRTHao watoto huwezi ona wala kujua umuhimu wao sasa hivi.., wakikua utaelewa umuhimu wao katika taifa.., tunahitaji vubarua kwa ajili ya miradi kama BRT, elewa hilo..
Huyo Mungu pia atakuwa mpumbavu sana kwa kufanya watoto wazaliwe kwenye umaskini wateseke badala ya kufanya wazaliwe kwenye utajiri.Huo uzazi angeupata Wema Sepetu au lady JD wangeringa sana! Mungu ana siri sana, watu wanaoweza kulea hata watoto 10 kawanyima uzazi hata wa kuzaa katoto kamoja,ila wale wasiokua na uwezi wa kulea kawapa kizazi chepesi sana, mwanaume ukitupia tu kanasa tayari!!
SahihiKukosekana kwa elimu na huduma ya uzazi wa mpango hasa maeneo ya vijijini ni chanzo cha matatizo kama haya.
Mfumo dume pia huchangia. Wanawake hawana maamuzi juu ya miili yako. Yani kisa mwanaume kakuoa basi atakufanya kila anapojisikia bila kujali siku salama/hatari.