Mama wa watoto 8 atorokwa na mumewe, aomba msaada

Mama wa watoto 8 atorokwa na mumewe, aomba msaada

Umeongea ukweli maisha ni fumbo gumu sana
Kuna watu hata mmoja wanataman ila hawapati

Wako watu wanamtuhumu kuzaa watoto wengi maisha sio ya kuyaogopa sana
Kama maisha sio ya kuogopa, Huyo Mama anacho hangaika kuomba msaada ni nini?

Si akae atulie na hao watoto wake kama haogopi maisha.

Kuna mtu aliwatuma kuzaa watoto wengi halafu aanze kutia tia huruma kutaka msaada?
 
Kama maisha sio ya kuogopa, Huyo Mama anacho hangaika kuomba msaada ni nini?

Si akae atulie na hao watoto wake kama haogopi maisha.

Kuna mtu aliwatuma kuzaa watoto wengi halafu aanze kutia tia huruma kutaka msaada?
acha ujinga dogo
 
Kama maisha sio ya kuogopa, Huyo Mama anacho hangaika kuomba msaada ni nini?

Si akae atulie na hao watoto wake kama haogopi maisha.

Kuna mtu aliwatuma kuzaa watoto wengi halafu aanze kutia tia huruma kutaka msaada?
Msinyimane,peaneni hapo ndio mtihani unapoanzia....
 
Kama maisha sio ya kuogopa, Huyo Mama anacho hangaika kuomba msaada ni nini?

Si akae atulie na hao watoto wake kama haogopi maisha.

Kuna mtu aliwatuma kuzaa watoto wengi halafu aanze kutia tia huruma kutaka msaada?
Kwani umelazimishwa kumsaidia
Hata akizaa watoto mia wewe kinauma nini ishi maisha yako
Ela watoe wengine uumie wewe haya si maajabu
 
Kwani umelazimishwa kumsaidia
Kwani nimekwambia mimi nahitaji kumsaidia?

Wewe kichwa maji nini!
Hata akizaa watoto mia wewe kinauma nini ishi maisha yako
Kwani hapa naishi maisha yako?

Naishi maisha yangu wala si ya mtu mwingine yeyote yule.
Ela watoe wengine uumie wewe haya si maajabu
Silengi hela mimi.

Nawalenga hao wapumbavu kama wewe mnaozaa kama mapanya halafu kulea na kuhudumia hamuwezi mpaka muanze kuomba omba misaada.
 
Hawana maaana yoyote kama hawajalelewa.....wanwanaishia kuwa wavuta bangi, machangudoa na mashoga
Future yao ni Mungu tu ndio anajuwa kuhusu bangi uchangudoa haina uhusiano wowote na changamoto wanazopitia. Wapo wengi humu leo wapo maeneo wasingeweza hata kuyawazia.
 
Kwani nimekwambia mimi nahitaji kumsaidia?

Wewe kichwa maji nini!

Kwani hapa naishi maisha yako?

Naishi maisha yangu wala si ya mtu mwingine yeyote yule.

Silengi hela mimi.

Nawalenga hao wapumbavu kama wewe mnaozaa kama mapanya halafu kulea na kuhudumia hamuwezi mpaka muanze kuomba omba misaada.
Kama huitaji kumsaidia kwanini unamlalamikia
 
Kwani nimekwambia mimi nahitaji kumsaidia?

Wewe kichwa maji nini!

Kwani hapa naishi maisha yako?

Naishi maisha yangu wala si ya mtu mwingine yeyote yule.

Silengi hela mimi.

Nawalenga hao wapumbavu kama wewe mnaozaa kama mapanya halafu kulea na kuhudumia hamuwezi mpaka muanze kuomba omba misaada.
Mimi mpumbavu nikazaa watoto kumi wewe unapungukiwa na nini
Live your life usijipe umuhimu kwenye maisha ya watu wengine ambao hata hamjuani
 
Mimi mpumbavu nikazaa watoto kumi wewe unapungukiwa na nini
Live your life usijipe umuhimu kwenye maisha ya watu wengine ambao hata hamjuani
Kwani mimi nakujua?

Hunijui, sikujui na wala hatujuani.

Ukiamua kuzaa watoto kumi wewe zaa tu. Ila uwe na uwezo wa kuwalea, kuwatunza na kuwahudumia.

Sio uzae watoto kumi halafu uanze kusumbua watu wakupe msaada wa kulea wanao.

Hakuna anaye kusaidia kuleta hao watoto duniani. Vivyo hivyo usitegemee uje usaidiwe kulelewa watoto wako.
 
Kwani mimi nakujua?

Hunijui, sikujui na wala hatujuani.

Ukiamua kuzaa watoto kumi wewe zaa tu. Ila uwe na uwezo wa kuwalea, kuwatunza na kuwahudumia.

Sio uzae watoto kumi halafu uanze kusumbua watu wakupe msaada wa kulea wanao.

Hakuna anaye kusaidia kuleta hao watoto duniani. Vivyo hivyo usitegemee uje usaidiwe kulelewa watoto wako.
Mbona unalalamika kana kwamba Nilishakuja kukulia msaada wa kulea watoto wangu
 
Namlalamikia ujinga wake wa kuleta watoto wengi duniani halafu kulea hawawezi.

Wanaongeza idadi ya maskini duniani na kuipa serikali gharama kubwa sana ya kuhudumia ujinga wao.
YEYE akiwa mjinga wewe inakupunguzia nini
Mbona serikali haina msaada wowote kwake
 
Back
Top Bottom