Mama Wema Sepetu amvaa Whozu kuishi kwa Wema

Mama Wema Sepetu amvaa Whozu kuishi kwa Wema

Dejane

JF-Expert Member
Joined
Jan 1, 2014
Posts
50,587
Reaction score
71,492
Kachukia kitendo cha whozu kuishi kwa wema ,wanaishi tu hawafungi ndoa
ila mama wema nae anapenda kumsema mwanae mbele za watu lazima achomoe betri,anamuambia ukweli ila anapenda drama na attention [emoji23][emoji23]

Huku Rubi kusalimiana na aunt,aunt kacheka kinafiki
Leo insta kwa moto Nasubiria dada wa taifa aamke

Kumekuchaaa nimeona kimyaa humu hebu wadau mkuje wa umbea

 
Ntashangaa sana kama hii ID ni ya kiume.
Kachukia lote do chá whozu kuishi kwa wema ,ila mama wema nae anapenda kumsema mwanae mbele za watu lazima achomoe betri,anamuambia ukweli ila anapenda drama na attention [emoji23][emoji23]

Huku Rubi kusalimiana na aunt,aunt kacheka kinafiki
Leo insta kwa moto Nasubiria dada wa taifa aamke

Kumekuchaaa nimeona kimyaa humu hebu wadau mkuje wa umbea View attachment 2766113

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kachukia lote do chá whozu kuishi kwa wema ,ila mama wema nae anapenda kumsema mwanae mbele za watu lazima achomoe betri,anamuambia ukweli ila anapenda drama na attention [emoji23][emoji23]

Huku Rubi kusalimiana na aunt,aunt kacheka kinafiki
Leo insta kwa moto Nasubiria dada wa taifa aamke

Kumekuchaaa nimeona kimyaa humu hebu wadau mkuje wa umbea View attachment 2766113

Search Mange Kimambi google upeleke huu ujinga huko.
 
Kachukia kitendo cha whozu kuishi kwa wema ,wanaishi tu hawafungi ndoa
ila mama wema nae anapenda kumsema mwanae mbele za watu lazima achomoe betri,anamuambia ukweli ila anapenda drama na attention [emoji23][emoji23]

Huku Rubi kusalimiana na aunt,aunt kacheka kinafiki
Leo insta kwa moto Nasubiria dada wa taifa aamke

Kumekuchaaa nimeona kimyaa humu hebu wadau mkuje wa umbea View attachment 2766113
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Kumekucha
 
Kwa hiyo Whozu kahamia nyumbani kwa Wema 🤦‍♀️

Ila mama Wema kwa historia ndefu ya Wema kuhusu mahusiano yake hatakiwi kuongelea uhuni...hadi sasa alitakiwa kuelewa na kukubali kwamba amezaa mwanadada muhuni
 
Back
Top Bottom