Mama Wema Sepetu amvaa Whozu kuishi kwa Wema

Mama Wema Sepetu amvaa Whozu kuishi kwa Wema

Alichokisema mama Wema ni sawasawa na mama yangu, at first sikumwelewa mama ila kumbe ndivyo wanavyoona!
Sasa naamini alikuwa sahihi.
hivi kumbe mlikuwa mnaishi wote bila kujitambulisha? , afu kuna mtu humu alisema eti mmemwagana embu tupe ubuyu kidogo basi 😜
 
Kachukia kitendo cha whozu kuishi kwa wema ,wanaishi tu hawafungi ndoa
ila mama wema nae anapenda kumsema mwanae mbele za watu lazima achomoe betri,anamuambia ukweli ila anapenda drama na attention [emoji23][emoji23]

Huku Rubi kusalimiana na aunt,aunt kacheka kinafiki
Leo insta kwa moto Nasubiria dada wa taifa aamke

Kumekuchaaa nimeona kimyaa humu hebu wadau mkuje wa umbea

View attachment 2766154
🤣🤣🤣🤣🤣Kwani humu JF napo mnapenda umbea
 
Kachukia kitendo cha whozu kuishi kwa wema ,wanaishi tu hawafungi ndoa
ila mama wema nae anapenda kumsema mwanae mbele za watu lazima achomoe betri,anamuambia ukweli ila anapenda drama na attention [emoji23][emoji23]

Huku Rubi kusalimiana na aunt,aunt kacheka kinafiki
Leo insta kwa moto Nasubiria dada wa taifa aamke

Kumekuchaaa nimeona kimyaa humu hebu wadau mkuje wa umbea

View attachment 2766154
Hata mim spendi kwa aslimia 100000000000000000000%
 
Watoto wakike wenyewe saivi ndivyo Wanapenda mzazi wewe ni nani wakumtoa maamzi yake
 
Back
Top Bottom