Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Me najuaga Whozu ana mtindio wa ubongo, Si yeye zilaumiwe akili zake apimwe akili kabla hatujamhukum.Wema aache kumchezea huyu mtoto
Kwani ana miaka mingapi?Kwa Wema ni mtoto [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Umekua Mshangazi nin maana kusikua kwa kenge ......Alichokisema mama Wema ni sawasawa na mama yangu, at first sikumwelewa mama ila kumbe ndivyo wanavyoona!
Sasa naamini alikuwa sahihi.
Ameongea vizuri kabisa mama wa watu.Kachukia kitendo cha whozu kuishi kwa wema ,wanaishi tu hawafungi ndoa
ila mama wema nae anapenda kumsema mwanae mbele za watu lazima achomoe betri,anamuambia ukweli ila anapenda drama na attention [emoji23][emoji23]
Huku Rubi kusalimiana na aunt,aunt kacheka kinafiki
Leo insta kwa moto Nasubiria dada wa taifa aamke
Kumekuchaaa nimeona kimyaa humu hebu wadau mkuje wa umbea
View attachment 2766154
Miaka 33 Wema [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Kwani ana miaka mingapi?
Nimesikia wema kaandika anatimiza miaka33
Mambo ni mengi..kwa hiyo nani ako sahihi[emoji23]Mtoto kapost cheti amezaliwa 1990, mama anasema anakumbuka alimzaa mtoto 1988.... patamu hapoooooooo [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Kwa hiyo Whozu kahamia nyumbani kwa Wema [emoji2356]
Ila mama Wema kwa historia ndefu ya Wema kuhusu mahusiano yake hatakiwi kuongelea uhuni...hadi sasa alitakiwa kuelewa na kukubali kwamba amezaa mwanadada muhuni
Kachukia kitendo cha whozu kuishi kwa wema ,wanaishi tu hawafungi ndoa
ila mama wema nae anapenda kumsema mwanae mbele za watu lazima achomoe betri,anamuambia ukweli ila anapenda drama na attention [emoji23][emoji23]
Huku Rubi kusalimiana na aunt,aunt kacheka kinafiki
Leo insta kwa moto Nasubiria dada wa taifa aamke
Kumekuchaaa nimeona kimyaa humu hebu wadau mkuje wa umbea
View attachment 2766154
Unatumia tu wifi ya ofisi kula ubuyu😂😂
Mtoto kapost cheti amezaliwa 1990, mama anasema anakumbuka alimzaa mtoto 1988.... patamu hapoooooooo [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
kenge wewe[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
kenge ww😂😂Alichokisema mama Wema ni sawasawa na mama yangu, at first sikumwelewa mama ila kumbe ndivyo wanavyoona!
Sasa naamini alikuwa sahihi.