Mama Wema Sepetu amvaa Whozu kuishi kwa Wema

Mama Wema Sepetu amvaa Whozu kuishi kwa Wema

Kachukia kitendo cha whozu kuishi kwa wema ,wanaishi tu hawafungi ndoa
ila mama wema nae anapenda kumsema mwanae mbele za watu lazima achomoe betri,anamuambia ukweli ila anapenda drama na attention [emoji23][emoji23]

Huku Rubi kusalimiana na aunt,aunt kacheka kinafiki
Leo insta kwa moto Nasubiria dada wa taifa aamke

Kumekuchaaa nimeona kimyaa humu hebu wadau mkuje wa umbea

View attachment 2766154
Ameongea vizuri kabisa mama wa watu.
Sema binti yake ndio huyo ashajichoka sijui.

Mungu Atusaidie tuwe na kizazi chema.
 
Kwa hiyo Whozu kahamia nyumbani kwa Wema [emoji2356]

Ila mama Wema kwa historia ndefu ya Wema kuhusu mahusiano yake hatakiwi kuongelea uhuni...hadi sasa alitakiwa kuelewa na kukubali kwamba amezaa mwanadada muhuni

Mzazi huwezi ona mwanao hivyo hata kama wakiwa wahuni unaamin atabadilika na kumuona mzuri maisha yote
 
hao watu ni wawapi kwani?
Kachukia kitendo cha whozu kuishi kwa wema ,wanaishi tu hawafungi ndoa
ila mama wema nae anapenda kumsema mwanae mbele za watu lazima achomoe betri,anamuambia ukweli ila anapenda drama na attention [emoji23][emoji23]

Huku Rubi kusalimiana na aunt,aunt kacheka kinafiki
Leo insta kwa moto Nasubiria dada wa taifa aamke

Kumekuchaaa nimeona kimyaa humu hebu wadau mkuje wa umbea

View attachment 2766154
 
Back
Top Bottom