Dream Queen
JF-Expert Member
- Nov 4, 2015
- 8,263
- 18,201
Kama Shangazi yako wa KibaigwaHuna Maana.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kama Shangazi yako wa KibaigwaHuna Maana.
Chomelea.Kama Shangazi yako wa Kibaigwa
Sasa Kusah na Anti Ezekiel tusemeje?Kwa Wema ni mtoto [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Wale wale tuSasa Kusah na Anti Ezekiel tusemeje?
Mtu na mama yake?
😄 🤣 ila naona kafata jina kama brand tuHapo ilibidi mama yake whozu ndio akasirike.
Mtoto kapost cheti amezaliwa 1990, mama anasema anakumbuka alimzaa mtoto 1988.... patamu hapoooooooo [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Hakuna mtu natamani mwanae akae vile wazazi huwa hawapendi
[emoji1][emoji1][emoji1][emoji2][emoji2][emoji1][emoji1]Hapo ilibidi mama yake whozu ndio akasirike.
Mwenyewe Hana mume piaKumbe huyu mama yupo[emoji16]
Sema inaonekana mama ana tamani wema aolewe
Yeye mwenyewe kalea donda ...acha limnukieKwa hiyo Whozu kahamia nyumbani kwa Wema [emoji2356]
Ila mama Wema kwa historia ndefu ya Wema kuhusu mahusiano yake hatakiwi kuongelea uhuni...hadi sasa alitakiwa kuelewa na kukubali kwamba amezaa mwanadada muhuni
Hainaga ukabila hyooo...wachaga wa Sasa hv majangaWhozu kaenda kulelewa kwa hiyo, tunasemwa sisi wapwani kumbe hata wachaga wamo nao.
Dogoooo mmekumis ujueAlichokisema mama Wema ni sawasawa na mama yangu, at first sikumwelewa mama ila kumbe ndivyo wanavyoona!
Sasa naamini alikuwa sahihi.
[emoji38][emoji38][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]dunia sio yetu hiii...Sasa mkweli mzazi au mtoto?!!!!!Mtoto kapost cheti amezaliwa 1990, mama anasema anakumbuka alimzaa mtoto 1988.... patamu hapoooooooo [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Sasa wewe hapa celebrities forum umeijia influence gani....hebu bwanaaaaNafikiri mnajisumbua sana na maisha ya watu ambao hawana influence wala impact yeyote.