Kachukia lote do chá whozu kuishi kwa wema ,ila mama wema nae anapenda kumsema mwanae mbele za watu lazima achomoe betri,anamuambia ukweli ila anapenda drama na attention [emoji23][emoji23]
Huku Rubi kusalimiana na aunt,aunt kacheka kinafiki
Leo insta kwa moto Nasubiria dada wa taifa aamke
Kumekuchaaa nimeona kimyaa humu hebu wadau mkuje wa umbea View attachment 2766113
Whozu ana pulling ya Kula hiyo mifupa?Hapo ilibidi mama yake whozu ndio akasirike.
Kachukia lote do chá whozu kuishi kwa wema ,ila mama wema nae anapenda kumsema mwanae mbele za watu lazima achomoe betri,anamuambia ukweli ila anapenda drama na attention [emoji23][emoji23]
Huku Rubi kusalimiana na aunt,aunt kacheka kinafiki
Leo insta kwa moto Nasubiria dada wa taifa aamke
Kumekuchaaa nimeona kimyaa humu hebu wadau mkuje wa umbea View attachment 2766113
Angalia hili jukwaa gani kisha tembea mguu nyuma geuka
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Kachukia kitendo cha whozu kuishi kwa wema ,wanaishi tu hawafungi ndoa
ila mama wema nae anapenda kumsema mwanae mbele za watu lazima achomoe betri,anamuambia ukweli ila anapenda drama na attention [emoji23][emoji23]
Huku Rubi kusalimiana na aunt,aunt kacheka kinafiki
Leo insta kwa moto Nasubiria dada wa taifa aamke
Kumekuchaaa nimeona kimyaa humu hebu wadau mkuje wa umbea View attachment 2766113
Wema wa kei nao hauozi mkuu?Nami naamini ipo siku nitapewa na Wema [emoji23][emoji23][emoji23], maana sio mchoyo kama jina lake
Whozu sio mtotoWema aache kumchezea huyu mtoto
Kwa Wema ni mtoto [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Whozu sio mtoto