Mama Wema Sepetu amvaa Whozu kuishi kwa Wema

Alichokisema mama Wema ni sawasawa na mama yangu, at first sikumwelewa mama ila kumbe ndivyo wanavyoona!
Sasa naamini alikuwa sahihi.
hivi kumbe mlikuwa mnaishi wote bila kujitambulisha? , afu kuna mtu humu alisema eti mmemwagana embu tupe ubuyu kidogo basi 😜
 
🤣🤣🤣🤣🤣Kwani humu JF napo mnapenda umbea
 
Hata mim spendi kwa aslimia 100000000000000000000%
 
Watoto wakike wenyewe saivi ndivyo Wanapenda mzazi wewe ni nani wakumtoa maamzi yake
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…