Mama yake Feisal Salum 'Fei Toto' Kamaliza Utata na Kutema Nyongo dhidi ya Yanga SC

Mama yake Feisal Salum 'Fei Toto' Kamaliza Utata na Kutema Nyongo dhidi ya Yanga SC

Hajamalza utata hapa anataka haki isitendeke kwa kisingizio Cha unyonge mfano mzuri juve amekatwa point kwasababu alichokua nalipa na kwenye mikataba inasoma havikua sawa sasa Fei na Yanga hatukatai alilipwa mshahara mdogo kuliko anao staili lakini huo ndio ulio kua unasoma kwenye mkataba na huo ndio serikali ilikua inakata Kodi hivyo hajamaliza utata wala nini
Umenena vyema ,mkuu
 
Mama yake ameshaamua endeleeni sasa Kudanganyana, kulishana Ujinga na Kupoteza muda.
Wateendelea tu kulishana ujinga subiri utaona.Ndiyo maana nilishasema sibishani tena na shabiki ambaye timu yake haishiriki Super League.
 
"Mwanangu Fei Toto Kanyanyasika sana, tumevumilia mengi, kuna mengine ya Siri tunayajua ila tunaomba Kamati itende Haki kwa Mwanangu Fei Toto. Wanafamilia wote tuko nyuma ya Feisal Salum Fei Toto juu ya hili Suala lake na Mimi kama Mama yake Mzazi nasema hapa yaje Maamuzi yoyote ila Mwanangu hatoichezea tena Yanga SC kwani Wamemnyanyasa na Kumdharau mno" amesema Mama yake Mzazi Feisal Salum ( Fei Toto ) leo Asubuhi akizungumza na EFM Radio katika Kipindi chao cha Michezo cha Sports Headquarters.

GENTAMYCINE ninachowapendea Wazanzibari ni tabia yao ya kuwa na Misimamo Kimaamuzi hata kama watapigiwa Simu za Vitisho na Wastaafu, Mdhamini na Viongozi wa Wizara, Bunge na Mikoa.

Kuanzia sasa hatutaki tena Kusikia Kelele za Wapuuzi na Washamba kuwa Fei Toto anarejea / atarejea Mafurikoni Madimbwini Jangwani kwani tayari Mama yake ameshaufunga Mjadala.
We bana unakuwa kama Jemedari Said Kazumari.
 
Shida watu wanaparamia tu af hakuna sehemu ya mkataba imesema fei asile ugali na sukari unajua duniani kila mtu anakitu chake chakijinga anapenda ko huwenda anapenda Ivo yeye ila sasa wehu ya simba ndo wamesimamia apo
Mshahara wa 4m anakula ugali sukari.
 
"Mwanangu Fei Toto Kanyanyasika sana, tumevumilia mengi, kuna mengine ya Siri tunayajua ila tunaomba Kamati itende Haki kwa Mwanangu Fei Toto. Wanafamilia wote tuko nyuma ya Feisal Salum Fei Toto juu ya hili Suala lake na Mimi kama Mama yake Mzazi nasema hapa yaje Maamuzi yoyote ila Mwanangu hatoichezea tena Yanga SC kwani Wamemnyanyasa na Kumdharau mno" amesema Mama yake Mzazi Feisal Salum ( Fei Toto ) leo Asubuhi akizungumza na EFM Radio katika Kipindi chao cha Michezo cha Sports Headquarters.

GENTAMYCINE ninachowapendea Wazanzibari ni tabia yao ya kuwa na Misimamo Kimaamuzi hata kama watapigiwa Simu za Vitisho na Wastaafu, Mdhamini na Viongozi wa Wizara, Bunge na Mikoa.

Kuanzia sasa hatutaki tena Kusikia Kelele za Wapuuzi na Washamba kuwa Fei Toto anarejea / atarejea Mafurikoni Madimbwini Jangwani kwani tayari Mama yake ameshaufunga Mjadala.
Labda tumtumie makonda,, 😁😁
Ana bahati yuko simba,, makonda akupigie simu kacheze mpira halafu ulete ubishi, angenyoroka,,
Anyway, yanga wamwache kijana aendelee na mambo mengine, 🤷🏼‍♀️
 
Mama yake ameshaamua endeleeni sasa Kudanganyana, kulishana Ujinga na Kupoteza muda.
Nilikua sielewi kwanini wadau hua wanakutukana ,, ila kwa sasa nmeelewa.

Anyways sasa kama Mama ake kaamua kwani ndio maamuzi ya Kamati , au kuamua kwake ndio sheria , hapo haiitaji huruma bali inatakiwa sheria itendeke.
 
Mchezaji hawawezi kujiondokea kama kwenye mkataba hakuna kipengele kinachomruhusu kuvunja mkataba kwa kutoa kiasi fulani cha pesa.

Yaani mlimdharau Feisal hadi mkadhani hawezi pata milioni 100 za kuvunja mkataba.
Hata angekuanazo hela nyingi zaidi ya hizo hawezi kuvunja mkataba kama aliovunja yeye,, hakuna timu duniani inaruhusu mchezaji kuvunjwa mkataba pekeake bila bila kuzingatia vipengere vya mkataba
 
Mke ukiwa mcharuko, mme atatafuta kwingine ambako atapewa heshma yake.
Screenshot_20230227-213510_1.jpg
 
Hata angekuanazo hela nyingi zaidi ya hizo hawezi kuvunja mkataba kama aliovunja yeye,, hakuna timu duniani inaruhusu mchezaji kuvunjwa mkataba pekeake bila bila kuzingatia vipengere vya mkataba
Sawaaa ila kumbuka hiyo milioni 100 ilikuwa pia ni kipengele cha mkataba.

Tusubiri tuone hatma yake.
 
"Mwanangu Fei Toto Kanyanyasika sana, tumevumilia mengi, kuna mengine ya Siri tunayajua ila tunaomba Kamati itende Haki kwa Mwanangu Fei Toto. Wanafamilia wote tuko nyuma ya Feisal Salum Fei Toto juu ya hili Suala lake na Mimi kama Mama yake Mzazi nasema hapa yaje Maamuzi yoyote ila Mwanangu hatoichezea tena Yanga SC kwani Wamemnyanyasa na Kumdharau mno" amesema Mama yake Mzazi Feisal Salum ( Fei Toto ) leo Asubuhi akizungumza na EFM Radio katika Kipindi chao cha Michezo cha Sports Headquarters.

GENTAMYCINE ninachowapendea Wazanzibari ni tabia yao ya kuwa na Misimamo Kimaamuzi hata kama watapigiwa Simu za Vitisho na Wastaafu, Mdhamini na Viongozi wa Wizara, Bunge na Mikoa.

Kuanzia sasa hatutaki tena Kusikia Kelele za Wapuuzi na Washamba kuwa Fei Toto anarejea / atarejea Mafurikoni Madimbwini Jangwani kwani tayari Mama yake ameshaufunga Mjadala.
Mnaacha kufuatillia timu isipigwe tena Chuma tatu mna kazi ya kufuatillia mambo ya Yanga 😂😂
 
Leo wanasimba mnafurahia. Lakini kumbukeni huyu dogo anatengeneza precedent mbaya sana kama atashinda. Kesho wachezaji watakuwa wanajiondokea kiholela tu kwenye timu
Vipi mkataba wa SportPesa!? Mlikuwa sawa kupachika mdhamini mwingine!?
 
"Mwanangu Fei Toto Kanyanyasika sana, tumevumilia mengi, kuna mengine ya Siri tunayajua ila tunaomba Kamati itende Haki .
Duh kumbe ndiyo hivyo. Hapo kwenye siri ni kuwa kuna kigogo mmoja alitaka kumfanyia usodoma dogo ndiyo hasa kiini cha yote haya. Dogo alikasirika na kujiapiza kuwa ni Bora akavue samaki au awe mkwezi kuliko kucheza mpira Yanga kwa kitendo hicho cha kuombwa penzi kwani dogo siyo mshiriki wa huo upuuzi. Ameamua kutumia tafsida tu kutoa sababu ya mshahara mdogo,lakini ugomvi wa Feisal na Yanga ni huyo tajiri kumtongoza dogo.
 
Back
Top Bottom